Kama tume imechafuliwa ungewashauri waende mahakamani.....Mei 11,2022 CHADEMA imeandika historia ya kuwavua uanachama, Wanachama wao 19 ambao wengi ni waandamizi na wamewahi kuwa viongozi wakubwa katika chama hicho. Baadhi ya Makosa makubwa yaliyosababisha wavuliwe uanachama ni pamoja na;
1. KUGHUSHI NYARAKA ZA CHAMA
2. KUGHUSHI SAINI YA KATIBU MKUU WA CHAMA
3. KUTENGENEZA ORODHA ISIYO HALALI YA WABUNGE WA VITI MAALUM KUTOKA CHAMA HICHO.
4. KUGHUSHI MUHURI WA CHAMA.
Tujikumbushe baadhi ya taratibu zinazowapa uhalali wabunge wa viti maalum kuteuliwa kuwa wabunge.
1. Orodha ya majina ya wanaopendekezwa kuwa wabunge wa viti maalumu huandaliwa na na kila chama cha siasa kinanachogombea nafasi za urais na ubunge katika Uchaguzi Mkuu, hii ni kwa mujibu wa ibara ya 66(1) na ibara ya 78 ya Katiba ya JMT ya mwaka 1977.
2. Orodha hii huwasilishwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi siku 30 kabla ya Uchaguzi Mkuu, CHADEMA ni miongoni mwa vyama vilivyotii jambo hili la kisheria.
3. Majina ya Wanawake wagombea waliopendekezwa na vyama vya siasa yatakuwa katika mpangilio kwa kuzingatia kipaumbele (order of preference) hii ni kwamujibu wa kifungu cha 86A(4) cha sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343.
Itakumbukwa kwamba, CHADEMA iliilalamikia Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa umma kuhusu kughushi majina ya kina Halima Mdee, na sasa CHADEMA hiyo hiyo imewahukumu wabunge hao kwa kughushi nyaraka.
Kwa hiki kilichotokea Tume ya Uchaguzi haikustahili kulaumiwa hata kidogo, CHADEMA walipotea kwenye njia zao wenyewe na kama ushahidi umewaweka hatiani wabunge hao 19, chama kinatakiwa kukanusha yale kiliyoyasema awali kuhusu uteuzi wa Wabunge kwamba wametokana na Spika wa Bunge na Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Kwa namna nyingine, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ilikuwa sahihi kabisa kupeleka majina ya wabunge wateule kwa Spika wa Bunge la JMT kwasababu kilipelekewa nyaraka zenye uthibitisho wa chama. Na siyo jukumu la Tume kuverify uhalali wa nyaraka hizo bali chama chenyewe ndio kinapaswa kujiridhisha.
Hukumu hii ya kuwafukuza Wabunge 19 haiondoi uhalali wa nyaraka zilizowasilishwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi ambapo sheria inawataka CHADEMA kuwasilisha Orodha siku 30 kabla ya uchaguzi mkuu kufanyika.
Swali hapa ni je, Ni ipi Orodha ya Bw. Mnyika (KM-CDM) iliyowasilishwa Tume kwa uzingativu wa sheria tajwa?
Pia, tunaweza kujiuliza ikiwa wamefukuzwa wabunge pekee 19, je orodha yao inayolalamikiwa kughushiwa ina wateule 19 pekee?
Na kama imezidi hao wengine uhalali wa uanachama wao uko wapi ikiwa wenzao kwenye kundi moja wamefukuzwa?
Kwa Mtazamo wangu.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Bunge la JMT wamechafuliwa kwa makosa ya kutozingatia sheria kwa baadhi ya viongozi wa CHADEMA.
Ingefaa wajitafakari na kujipanga upya kwa hatua zinazofuata kuliko kurudia makosa yaleyale.
Asante sana kwa hizi credits. Respect!mleta mada umesema kwa akili kubwa sidhani wote wataelewa! wabongo tunapenda kushindana na ukweli
Chadema ni watu wabaya sana kwenye medani ya siasa wanendekeza mapenzi kuliko uhalisia mnyika alipeleka majina na nyaraka zote husika tume zikapokelewa na zikapekekwa kwa spika ndiyo wakaapishwa ndiyo maana chadema huwaga hawajibu swali hili kwanini wasiende mahakamani kama majina na nyaraka za uteuzi zilifojiwa? Je hiyo siyo jinai? Hapo wanapata kigugumizi maana hakuna fojari hapo document halali wanachofanya ni ubabe kisa demu wa mbowe hakuwemo kwenye orodha kakosa ubungeMimi sijui lolote kuhusiana na jinsi wabunge wa viti maalumu wanavyopatikana,naomba kujua hiyo orodha ya wateule wa CHADEMA ilipelekwa na nani?au ni nani anapaswa kuiwasilisha huko tume ya uchagzi?
Nchi hii ni ngumu haswaa! Hata aliyekuwa anaminiwa na wanyonge alikuwa tapeli pia!
Mkuu;Mimi sijui lolote kuhusiana na jinsi wabunge wa viti maalumu wanavyopatikana,naomba kujua hiyo orodha ya wateule wa CHADEMA ilipelekwa na nani?au ni nani anapaswa kuiwasilisha huko tume ya uchagzi?
Nchi hii ni ngumu haswaa! Hata aliyekuwa anaminiwa na wanyonge alikuwa tapeli pia!
Sasa kama hujui kitu si ungeuliza kiliko kujiita Single Burtan kumbe hata batan yenyewe huna.Mei 11,2022 CHADEMA imeandika historia ya kuwavua uanachama, Wanachama wao 19 ambao wengi ni waandamizi na wamewahi kuwa viongozi wakubwa katika chama hicho. Baadhi ya Makosa makubwa yaliyosababisha wavuliwe uanachama ni pamoja na;
1. KUGHUSHI NYARAKA ZA CHAMA
2. KUGHUSHI SAINI YA KATIBU MKUU WA CHAMA
3. KUTENGENEZA ORODHA ISIYO HALALI YA WABUNGE WA VITI MAALUM KUTOKA CHAMA HICHO.
4. KUGHUSHI MUHURI WA CHAMA.
Tujikumbushe baadhi ya taratibu zinazowapa uhalali wabunge wa viti maalum kuteuliwa kuwa wabunge.
1. Orodha ya majina ya wanaopendekezwa kuwa wabunge wa viti maalumu huandaliwa na na kila chama cha siasa kinanachogombea nafasi za urais na ubunge katika Uchaguzi Mkuu, hii ni kwa mujibu wa ibara ya 66(1) na ibara ya 78 ya Katiba ya JMT ya mwaka 1977.
2. Orodha hii huwasilishwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi siku 30 kabla ya Uchaguzi Mkuu, CHADEMA ni miongoni mwa vyama vilivyotii jambo hili la kisheria.
3. Majina ya Wanawake wagombea waliopendekezwa na vyama vya siasa yatakuwa katika mpangilio kwa kuzingatia kipaumbele (order of preference) hii ni kwamujibu wa kifungu cha 86A(4) cha sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343.
Itakumbukwa kwamba, CHADEMA iliilalamikia Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa umma kuhusu kughushi majina ya kina Halima Mdee, na sasa CHADEMA hiyo hiyo imewahukumu wabunge hao kwa kughushi nyaraka.
Kwa hiki kilichotokea Tume ya Uchaguzi haikustahili kulaumiwa hata kidogo, CHADEMA walipotea kwenye njia zao wenyewe na kama ushahidi umewaweka hatiani wabunge hao 19, chama kinatakiwa kukanusha yale kiliyoyasema awali kuhusu uteuzi wa Wabunge kwamba wametokana na Spika wa Bunge na Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Kwa namna nyingine, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ilikuwa sahihi kabisa kupeleka majina ya wabunge wateule kwa Spika wa Bunge la JMT kwasababu kilipelekewa nyaraka zenye uthibitisho wa chama. Na siyo jukumu la Tume kuverify uhalali wa nyaraka hizo bali chama chenyewe ndio kinapaswa kujiridhisha.
Hukumu hii ya kuwafukuza Wabunge 19 haiondoi uhalali wa nyaraka zilizowasilishwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi ambapo sheria inawataka CHADEMA kuwasilisha Orodha siku 30 kabla ya uchaguzi mkuu kufanyika.
Swali hapa ni je, Ni ipi Orodha ya Bw. Mnyika (KM-CDM) iliyowasilishwa Tume kwa uzingativu wa sheria tajwa?
Pia, tunaweza kujiuliza ikiwa wamefukuzwa wabunge pekee 19, je orodha yao inayolalamikiwa kughushiwa ina wateule 19 pekee?
Na kama imezidi hao wengine uhalali wa uanachama wao uko wapi ikiwa wenzao kwenye kundi moja wamefukuzwa?
Kwa Mtazamo wangu.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Bunge la JMT wamechafuliwa kwa makosa ya kutozingatia sheria kwa baadhi ya viongozi wa CHADEMA.
Ingefaa wajitafakari na kujipanga upya kwa hatua zinazofuata kuliko kurudia makosa yaleyale.
daaaah, haya bhana.Chadema ni watu wabaya sana kwenye medani ya siasa wanendekeza mapenzi kuliko uhalisia mnyika alipeleka majina na nyaraka zote husika tume zikapokelewa na zikapekekwa kwa spika ndiyo wakaapishwa ndiyo maana chadema huwaga hawajibu swali hili kwanini wasiende mahakamani kama majina na nyaraka za uteuzi zilifojiwa? Je hiyo siyo jinai? Hapo wanapata kigugumizi maana hakuna fojari hapo document halali wanachofanya ni ubabe kisa demu wa mbowe hakuwemo kwenye orodha kakosa ubunge
Huna cha mantiki labda matiki.Nakushauri Kasome maelekezo ya ibara ya 86A sura ya 343 ya sheria ya Taifa ya Uchaguzi na uielewe, itakusaidia kujikosoa kwenye upotoshaji ulio katika hili andiko lako lakini pia utaelewa vizuri mantiki iliyopo katika andiko langu.
Wewe unafikiria kama nguruwe!Kikiwa chama cha upinzani waliweza kugushi baadhi ya nyaraka wangechukua nchi si wangegushi kila kitu!
Nakushauri Kasome maelekezo ya ibara ya 86A sura ya 343 ya sheria ya Taifa ya Uchaguzi na uielewe, itakusaidia kujikosoa kwenye upotoshaji ulio katika hili andiko lako lakini pia utaelewa vizuri mantiki iliyopo katika andiko langu.Sasa kama hujui kitu si ungeuliza kiliko kujiita Single Burtan kumbe hata batan yenyewe huna.
1.Kabla ya uchaguzi Chama kinapeleka majina.
2.Majina yanahifadhiwa na Tume Kwa sifa zilizoainishwa ikiwa ni pamoja na kujua kusoma na uhalali wa uanachama.
3.Uchaguzi Mkuu unaendeshwa na Kura zinapigwa.
4.Tume inapiga hesabu Kila Chama kinastahili kupata Viti maalum wangapi kutokana na Kura za Urais na idadi ya Wabunge majimboni.
5.Tume inakiandikia Chama husika kukijulisha idadi ya Viti maalum kiliopatiwa.
6.Chama kinapeleka majina kulingana na idadi kilichoandikwa na Tume kutokana na majina yaliyoko Tume. Ni kama mahakamani mlalamikaji anavyotaja mashahidi wake na si lazima wote watoe ushahidi Ila haruhusiwi kuleta mashahidi wapya.
7.Baada ya Tume kupokea inaangalia kama waliopelekwa bado Wana sifa.
8.Inateua na kumpelekea Spika orodha ya Viti maalum vya Chama husika.
NB; Hii ndo maana ya Tume kujadiliana na Chama husika kuhusu uteuzi wa Viti maalum.
Vinginevyo tume ingechukua orodha na kuandika majina inayoona yenyewe toka kwenye orodha na kuyapeleka Bungeni.
Kwa hiyo Acha kupotosha Kwa usichokijua.
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Vyema! Ni muhimu Mkumbuke katazo la M. Kiti wako wa Chama kuhusu ustaarabu
Mwanzo walifukuzwa bila kufuata taratibuKwani hawa watu, siwalishafukuzwa siku nyingi tu, ipi tofauti ya awali na sasaivi kufukuzwa kwao
Hahahahaha.... Humuamini yeyote sio?Mimi Bado siamini Kama kweli Halima amefanya alichofanya..
Siwaamini wanasiasa..
Upo sahihi kabisa ndugu.na ndio maana hata mbunge wa viti maalum anapofariki tume hurudi kwenye orodha na kuchukua jina linalofuata,katika hili mahakamani ni suluhisho la yote.Nakushauri Kasome maelekezo ya ibara ya 86A sura ya 343 ya sheria ya Taifa ya Uchaguzi na uielewe, itakusaidia kujikosoa kwenye upotoshaji ulio katika hili andiko lako lakini pia utaelewa vizuri mantiki iliyopo katika andiko langu.
1. Kama hao wabunge 19 wa Chadema walighushi saini ya katibu mkuu wa chama, kughushi mhuri wa chama na kuandaa na kupeleka orodha ya majina bungeni na ushahidi usio kuwa na shaka upo bayana basi wawasiliane na DPP wafunguliwe kesi maana ni makosa ya jinai sio nidhamu pekeeMei 11,2022 CHADEMA imeandika historia ya kuwavua uanachama, Wanachama wao 19 ambao wengi ni waandamizi na wamewahi kuwa viongozi wakubwa katika chama hicho. Baadhi ya Makosa makubwa yaliyosababisha wavuliwe uanachama ni pamoja na;
1. KUGHUSHI NYARAKA ZA CHAMA
2. KUGHUSHI SAINI YA KATIBU MKUU WA CHAMA
3. KUTENGENEZA ORODHA ISIYO HALALI YA WABUNGE WA VITI MAALUM KUTOKA CHAMA HICHO.
4. KUGHUSHI MUHURI WA CHAMA.
Tujikumbushe baadhi ya taratibu zinazowapa uhalali wabunge wa viti maalum kuteuliwa kuwa wabunge.
1. Orodha ya majina ya wanaopendekezwa kuwa wabunge wa viti maalumu huandaliwa na na kila chama cha siasa kinanachogombea nafasi za urais na ubunge katika Uchaguzi Mkuu, hii ni kwa mujibu wa ibara ya 66(1) na ibara ya 78 ya Katiba ya JMT ya mwaka 1977.
2. Orodha hii huwasilishwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi siku 30 kabla ya Uchaguzi Mkuu, CHADEMA ni miongoni mwa vyama vilivyotii jambo hili la kisheria.
3. Majina ya Wanawake wagombea waliopendekezwa na vyama vya siasa yatakuwa katika mpangilio kwa kuzingatia kipaumbele (order of preference) hii ni kwamujibu wa kifungu cha 86A(4) cha sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343.
Itakumbukwa kwamba, CHADEMA iliilalamikia Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa umma kuhusu kughushi majina ya kina Halima Mdee, na sasa CHADEMA hiyo hiyo imewahukumu wabunge hao kwa kughushi nyaraka.
Kwa hiki kilichotokea Tume ya Uchaguzi haikustahili kulaumiwa hata kidogo, CHADEMA walipotea kwenye njia zao wenyewe na kama ushahidi umewaweka hatiani wabunge hao 19, chama kinatakiwa kukanusha yale kiliyoyasema awali kuhusu uteuzi wa Wabunge kwamba wametokana na Spika wa Bunge na Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Kwa namna nyingine, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ilikuwa sahihi kabisa kupeleka majina ya wabunge wateule kwa Spika wa Bunge la JMT kwasababu kilipelekewa nyaraka zenye uthibitisho wa chama. Na siyo jukumu la Tume kuverify uhalali wa nyaraka hizo bali chama chenyewe ndio kinapaswa kujiridhisha.
Hukumu hii ya kuwafukuza Wabunge 19 haiondoi uhalali wa nyaraka zilizowasilishwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi ambapo sheria inawataka CHADEMA kuwasilisha Orodha siku 30 kabla ya uchaguzi mkuu kufanyika.
Swali hapa ni je, Ni ipi Orodha ya Bw. Mnyika (KM-CDM) iliyowasilishwa Tume kwa uzingativu wa sheria tajwa?
Pia, tunaweza kujiuliza ikiwa wamefukuzwa wabunge pekee 19, je orodha yao inayolalamikiwa kughushiwa ina wateule 19 pekee?
Na kama imezidi hao wengine uhalali wa uanachama wao uko wapi ikiwa wenzao kwenye kundi moja wamefukuzwa?
Kwa Mtazamo wangu.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Bunge la JMT wamechafuliwa kwa makosa ya kutozingatia sheria kwa baadhi ya viongozi wa CHADEMA.
Ingefaa wajitafakari na kujipanga upya kwa hatua zinazofuata kuliko kurudia makosa yaleyale.
Walifukuzwa na kamati kuu, wakakata rufaa halmashauri kuu. Halmashauri imeridhia uamuzi wa kamati kuu.Mwanzo walifukuzwa bila kufuata taratibu
Na sasa wamefukuzwa "tena" mara nyingine kwa utaratibu wa kidemokrasia