Halaiser
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 3,995
- 6,293
Mkuu hapo ni mtego umetegwa ni nani kati ya Rais na Bunge atakaenasa kwenye mtego ule??? Hili sio suala dogo Mkuu, kuna fedha za ndani na za Wahisani pia. Tusipofanya lolote kwa uoga wetu basi tegemea nguvu kutoka upande wa pili.This is a Katibalessness if not lawlessness country, hivyo lolote linaweza kufanywa na wenye madaraka! msijisumbue na maandiko yoyote. Asipofanya mtamfanya nini? Bunge ni la kwake, kuna wa kuepeleka motion ya impeachment? 89% ni CCM, itapita na wote wanamuogopa? Shithole country ni yetu kweli kweli!
Sent using Jamii Forums mobile app