Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Naona watu wengi mnaponda, ila sina uhakika kama mmezaliwa mjini au mmeshushwa tu na Mungu mjini na maisha mmeyakuta bora.
Kiuswazi uswazi hili ni jambo la kawaida sana, sasa kuna wengine huwa wanatembelewa hadi na wakwe na kwa ustaarabu mmoja wa wapenzi huwa anatafuta sehemu kwa mshikaji kujibanza hadi ugeni utapoondoka.
Mpwa soma uzi vizuri. Hapa anazungumziwa boyfriend, sio mume. Yani ukakae kwa njemba inayokukanyagia dadako isivyo rasmi! Unaweza kuta njemba yenyewe mme wa mtu inakutafunia dadako kabaang tuuu, baaas.