Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,400
- 4,074
Najua mtabisha lakini Ukweli utabaki Ukweli.Utaratibu wa kufundisha Kutunga Mitihani kufanya Mitihani kusahihisha Mitihani na kisha Zoezi hilo Huchunguzwa na kuhakikiwa na Bodi kama kuna Dosari na Upendeleo uliofanywa Bodi ikijiridhisha MATOKEO HUTANGAZWA. Utaratibu huo ni Tofauti kabisa na Vyuo vingine.
Vyuoni Mwalimu mmoja ana uwezo wa KUKUFAULISHA. Naipongeza BODI Uongozi na Watendaji wa LAW SCHOOL kwa kusimamia Weledi.
TATIZO la Wanafunzi kufeli linachangiwa na
1. Lugha ya KIINGEREZA ni Tatizo kubwa sana kwa Wanafunzi
2. Vyuo walikotoka hawakuandaliwa ipasavyo
3. Rushwa ya Fedha na Ngono kwa Wanafunzi wengi ili WAFAULU.
4. Kununua Mitihani
LAW SCHOOL hakuna UJINGA HUO pale ni KUSOMA TU
Naipongeza BODI Uongozi na Watendaji ni Bora kupata Wanafunzi Wachache Waliofanya Vizuri kuliko Wengi waliofeli kwa Ajili tu ya kutaka kuwa na IDADI KUBWA ya Waliofaulu
LAW SCHOOL IPO kwa Ajili ya KUWAANDAA WANASHERIA WALIOELIMIKA KISHERIA TANZANIA sio Kichaka cha Wanasheria MAKANJANJA.
Sasa hivi Wanafunzi wengi wa Vyuo vingi ukiangalia VYETI vyao Wana UFAULU wa KUTISHA Lakini HAWAELEWI KITU wengi wana DEGREE za MAGUMASHI.
LAW SCHOOL imekataa UHUNI huo
Vyuoni Mwalimu mmoja ana uwezo wa KUKUFAULISHA. Naipongeza BODI Uongozi na Watendaji wa LAW SCHOOL kwa kusimamia Weledi.
TATIZO la Wanafunzi kufeli linachangiwa na
1. Lugha ya KIINGEREZA ni Tatizo kubwa sana kwa Wanafunzi
2. Vyuo walikotoka hawakuandaliwa ipasavyo
3. Rushwa ya Fedha na Ngono kwa Wanafunzi wengi ili WAFAULU.
4. Kununua Mitihani
LAW SCHOOL hakuna UJINGA HUO pale ni KUSOMA TU
Naipongeza BODI Uongozi na Watendaji ni Bora kupata Wanafunzi Wachache Waliofanya Vizuri kuliko Wengi waliofeli kwa Ajili tu ya kutaka kuwa na IDADI KUBWA ya Waliofaulu
LAW SCHOOL IPO kwa Ajili ya KUWAANDAA WANASHERIA WALIOELIMIKA KISHERIA TANZANIA sio Kichaka cha Wanasheria MAKANJANJA.
Sasa hivi Wanafunzi wengi wa Vyuo vingi ukiangalia VYETI vyao Wana UFAULU wa KUTISHA Lakini HAWAELEWI KITU wengi wana DEGREE za MAGUMASHI.
LAW SCHOOL imekataa UHUNI huo