Annie john
Member
- Oct 2, 2021
- 38
- 31
Meona matokeo ya pharmaceutical technicians ya lessen kwa waliofanya mthian October hayaridhishi hata kidogo kati ya asilimia 100 walofaulu ni asilimia 15 tu..!!shida iko wap kwa baraza au pharmaceutical technicians wenyewe?
Na njia zipi zitumike kusaidia kukuza ufaulu? Kwasababu inatokea watu wamefanya mthian hata mara sita and still wana fail kwa wenye mawazo yanayoweza wasaidia hawa watu na kuwapatia mwanga kidg waweze kupata matumaini na taaluma walio isomea.
Uhalisia hii course ni ngum. Mpk mtu kumaliza chuo anakua amefanya mithian ya wizara kwa miaka mitatu yote. Sasa anapokuja mtaan kupata lessen inakua kipengere tena kidg inakatisha tamaa.
Summary ya matokeo
Na njia zipi zitumike kusaidia kukuza ufaulu? Kwasababu inatokea watu wamefanya mthian hata mara sita and still wana fail kwa wenye mawazo yanayoweza wasaidia hawa watu na kuwapatia mwanga kidg waweze kupata matumaini na taaluma walio isomea.
Uhalisia hii course ni ngum. Mpk mtu kumaliza chuo anakua amefanya mithian ya wizara kwa miaka mitatu yote. Sasa anapokuja mtaan kupata lessen inakua kipengere tena kidg inakatisha tamaa.
Summary ya matokeo