Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,626
- 40,859
- Thread starter
- #41
Ukikuta haipo utafanyaje, utavunja ndoa?Kwa mwanamke ambae hana bikira kutest mitambo ni lazima
Heri mwenye bikra naweza kumwelewa atakaponibania
Ukikuta haipo utafanyaje, utavunja ndoa?Kwa mwanamke ambae hana bikira kutest mitambo ni lazima
Heri mwenye bikra naweza kumwelewa atakaponibania
Hapa haujajibu swali mkuuAliye ipa huo uzito ndo anajua ni kwann amepa huo uzito.
Kuna jamaa mmoja aliuliza swali, wakati unakutana na mwenzako kwa mara ya kwanza, kwa nini hukukosea kulenga? badala ya kulenga kwenye kwapa, ukajikuta umelenga sehemu sahihi?Nani alikupata utashi wa kujua/kutambua uchakatajia?
Navunja ndoaUkikuta haipo utafanyaje, utavunja ndoa?
Aliye sema, imeunganishwa na Mungu; ni binadamu au ni Mungu mwenyewe?Ndio ni dhambi hata kama umetolewa mahari. Tendo la ndoa ni baada ya ndoa takatifu na kuunganishwa na Mungu! Ndio maana maandiko yanasema alichounganisha Mungu mwanadamu asitenganishe!
Maisha ya sasa, malimwengu na mazoea yamefanya tendo la ndoa kuwa kitu cha kawaida! Starehe kama kunywa pombe!
Na kama ulitoa mahari, utaomba urudishiwe?Navunja ndoa
We soma tu, siku ziendeLeo ntasoma comments tu maana maada ni hot sana
Lakini utamu anaufurahiaAccording to iringa's girl wee niangusage tu thambi sote sako
Anakwambia thambi sote sako kumbe naye anataka konyo kabisa haoLakini utamu anaufurahia
ha ha ha hatari sanaAnakwambia thambi sote sako kumbe naye anataka konyo kabisa hao
Naweza 100%Wengi hawawezi kuvumilia, wewe utaweza?
Mahari ni kitu ambacho siwez kutoa hata nikitoa natoa isiyozidi laki 3,kwahyo siwez kuiombaNa kama ulitoa mahari, utaomba urudishiwe?