MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,861
- 6,230
Heshima kwenu wadau,
Yaani afadhali imefika ijumaa maana nipo hoi, hapa kibaruani kampuni ina utaratibu wa kuajiri sana jamaa walioamua kurudi nyumbani baada ya kufanya sana kazi huko dunia ya kwanza, as company ina amini hawa jamaa wachapakazi na hawana longo longo as maisha ya ulaya na america yamewafundisha kuwajibika.
Dah basi kwenye department yangu juzi kati tukapata senior manager dissapora aliyepigika sana texas huko amekuja na strategies zake balaa, targets kibao yaani full presha,
Jamani kama upo jamvini huko jua hii tabia hatuitaki sisi ni watanzania and no hurry in tanzania si tumeshazoea kufanya kazi huku tunasindikiza na castle light baridiii... Msituletee maisha yenu ya kubeba maboksi kwenye nchi yetu ya longo longo kama vipi mbaki huko huko ughaibuni... Si tushazoea leo naumwa, kesho msiba wa jirani, kesho kutwa naozesha so ninaandaa send of kitu wekend imefika,
Nchi yetu tumeshaizoea mafao yenyewe hadi ufike miaka 55 wakati life expectancy miaka 40,
Yaani nashindwa hata kupata chance ya kufukuzia dili zangu, alaaniwe huyu dissapora
Yaani afadhali imefika ijumaa maana nipo hoi, hapa kibaruani kampuni ina utaratibu wa kuajiri sana jamaa walioamua kurudi nyumbani baada ya kufanya sana kazi huko dunia ya kwanza, as company ina amini hawa jamaa wachapakazi na hawana longo longo as maisha ya ulaya na america yamewafundisha kuwajibika.
Dah basi kwenye department yangu juzi kati tukapata senior manager dissapora aliyepigika sana texas huko amekuja na strategies zake balaa, targets kibao yaani full presha,
Jamani kama upo jamvini huko jua hii tabia hatuitaki sisi ni watanzania and no hurry in tanzania si tumeshazoea kufanya kazi huku tunasindikiza na castle light baridiii... Msituletee maisha yenu ya kubeba maboksi kwenye nchi yetu ya longo longo kama vipi mbaki huko huko ughaibuni... Si tushazoea leo naumwa, kesho msiba wa jirani, kesho kutwa naozesha so ninaandaa send of kitu wekend imefika,
Nchi yetu tumeshaizoea mafao yenyewe hadi ufike miaka 55 wakati life expectancy miaka 40,
Yaani nashindwa hata kupata chance ya kufukuzia dili zangu, alaaniwe huyu dissapora