Laki Si Pesa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 5,225
- 9,185
Mbeya utaambulia kupigwa nondo au kulogwa, jiji gan ikifika saa 2 usiku watu wote wamejifungia ndani mjini hakuna mtu, Mbeya sio mji wa kuishi , uchawi kila kona, vibaka kila kona, bora ubaki dar uuze mchicha.
