Kufanya kazi mkoani Mbeya

Kufanya kazi mkoani Mbeya

Mbeya utaambulia kupigwa nondo au kulogwa, jiji gan ikifika saa 2 usiku watu wote wamejifungia ndani mjini hakuna mtu, Mbeya sio mji wa kuishi , uchawi kila kona, vibaka kila kona, bora ubaki dar uuze mchicha.
 
Mbeya utaambulia kupigwa nondo au kulogwa, jiji gan ikifika saa 2 usiku watu wote wamejifungia ndani mjini hakuna mtu, Mbeya sio mji wa kuishi , uchawi kila kona, vibaka kila kona, bora ubaki dar uuze mchicha.

mbeya ipi unayoizungumzia
 
Wakuu, mimi ni binti nimebahatika kupata kazi Mbeya ila sijawahi kuishi huko, maisha yangu yote nimesoma na kukulia Dar. Naombeni ushauri kuhusu vyumba, maisha na aina ya watu huko.

Wengi wananitisha nisiende nibaki Dar kwasababu Mbeya kuna mzunguko mdogo wa hela pia sio kuzuri wa usalama compared to Dar. Msaada..

Sent using Jamii Forums mobile app

haaaaa nenda bhana.... wanakutisha tu mi napambana leo kesho nipate kaz mbeya
 
Wakuu, mimi ni binti nimebahatika kupata kazi Mbeya ila sijawahi kuishi huko, maisha yangu yote nimesoma na kukulia Dar. Naombeni ushauri kuhusu vyumba, maisha na aina ya watu huko.

Wengi wananitisha nisiende nibaki Dar kwasababu Mbeya kuna mzunguko mdogo wa hela pia sio kuzuri wa usalama compared to Dar. Msaada..

Hivi kwanza hiyo kazi ni kazi gani unayopewa uchague Mbeya au Dar? Nimesoma post zako humu ndilo swali la kwanza nililojiuliza - utakuwa unafanya kazi gani kwa profiling niliyokufanya. Tayari nina picha fulani.
 
Naomba uwe mgeni wangu unapo kuja kuripoti kazini hahaaaa
Wakuu, mimi ni binti nimebahatika kupata kazi Mbeya ila sijawahi kuishi huko, maisha yangu yote nimesoma na kukulia Dar. Naombeni ushauri kuhusu vyumba, maisha na aina ya watu huko.

Wengi wananitisha nisiende nibaki Dar kwasababu Mbeya kuna mzunguko mdogo wa hela pia sio kuzuri wa usalama compared to Dar. Msaada..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una profession gani? Kama ni mwalimu ama bwana shamba kidogo shida maana utapangiwa vijijini na kama unasema umekulia DSM kidogo ni shida ila cha msingi we nenda secure hiyo check number ndio umhimu baadae utaangalia cha kufanya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani wewe mpuuzi sana, sijui umepataje hiyo ajira. Hizo pesa zinazozunguka hapa Dar zinazunguka mifukoni mwako au waziona juu tu zikipita? Kama kuna mzunguko mkubwa mbona umeenda kuomba ajira? Acha kazi, wachukue wenye uhitaji.

Wakuu, mimi ni binti nimebahatika kupata kazi Mbeya ila sijawahi kuishi huko, maisha yangu yote nimesoma na kukulia Dar. Naombeni ushauri kuhusu vyumba, maisha na aina ya watu huko.

Wengi wananitisha nisiende nibaki Dar kwasababu Mbeya kuna mzunguko mdogo wa hela pia sio kuzuri wa usalama compared to Dar. Msaada..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Mbeya City napakubali sana hali ya hewa na vitu vingine viko poa sana as long as una mzunguko wa pesa yako GREEN CITY imetulia. Nakumbuka huko nyuma niliharibu chuo udom nikaona soo kuwaambia washua ikabidi niingie mbeya kimya kimya na kuanza chuo tena mpaka nikamaliza miaka yangu pale TIA. Mpaka kesho na kesho kutwa mbeya city huwa sijiulizi mara mbili mbili kwenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi hapo TIA mkiramweni na mwakinyuki, mbasya bado wapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu umeajiriwa mzunguko wa hela unakutesaje wwe ?
Wakuu, mimi ni binti nimebahatika kupata kazi Mbeya ila sijawahi kuishi huko, maisha yangu yote nimesoma na kukulia Dar. Naombeni ushauri kuhusu vyumba, maisha na aina ya watu huko.

Wengi wananitisha nisiende nibaki Dar kwasababu Mbeya kuna mzunguko mdogo wa hela pia sio kuzuri wa usalama compared to Dar. Msaada..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpuuzi mwenyewe, mjinga nini. Akili mbili alafu unajikuta genius. Kama huna la kucomment bora ukae kimya. Kama wewe umepata ajira alafu umeridhika na kujibweteka ni wewe. Mimi ni lazima extra time niuze hata urembo, na hiyo ndo plan yangu.
Yaani wewe mpuuzi sana, sijui umepataje hiyo ajira. Hizo pesa zinazozunguka hapa Dar zinazunguka mifukoni mwako au waziona juu tu zikipita? Kama kuna mzunguko mkubwa mbona umeenda kuomba ajira? Acha kazi, wachukue wenye uhitaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni issue za environmental engineering mkuu. So kufika kijijini ni lazima
Una profession gani? Kama ni mwalimu ama bwana shamba kidogo shida maana utapangiwa vijijini na kama unasema umekulia DSM kidogo ni shida ila cha msingi we nenda secure hiyo check number ndio umhimu baadae utaangalia cha kufanya

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbeya utaambulia kupigwa nondo au kulogwa, jiji gan ikifika saa 2 usiku watu wote wamejifungia ndani mjini hakuna mtu, Mbeya sio mji wa kuishi , uchawi kila kona, vibaka kila kona, bora ubaki dar uuze mchicha.
Nilikuwa nakuona kichwani zimo,lakini kumbe una pumba tupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom