Baba Wille
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 548
- 554
Njoo ntakupokea, nyumba pia unaweza kuishi kwangu kwa kuanzia kabla hujapata sehemu yako. Mbeya pako sawa na maisha sio gharama sana, sema nimeoa pia. 


kweli una point
wakishua!
Utaenda kuliwa kimasihara na wanyakusa kutokea tukuyuWakuu, mimi ni binti nimebahatika kupata kazi Mbeya ila sijawahi kuishi huko, maisha yangu yote nimesoma na kukulia Dar. Naombeni ushauri kuhusu vyumba, maisha na aina ya watu huko. Wengi wananitisha nisiende nibaki Dar kwasababu Mbeya kuna mzunguko mdogo wa hela pia sio kuzuri wa usalama compared to Dar. Msaada..
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unapenda kuajiriwa na kulipwa mshahara unahofia mzunguko?au unamaanisha rushwaWakuu, mimi ni binti nimebahatika kupata kazi Mbeya ila sijawahi kuishi huko, maisha yangu yote nimesoma na kukulia Dar. Naombeni ushauri kuhusu vyumba, maisha na aina ya watu huko. Wengi wananitisha nisiende nibaki Dar kwasababu Mbeya kuna mzunguko mdogo wa hela pia sio kuzuri wa usalama compared to Dar. Msaada..
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unapenda kuajiriwa na kulipwa mshahara unahofia mzunguko?au unamaanisha rushwa
Sent using Jamii Forums mobile app
ubaki huko huko dar una matusi sanaMjinga mwenyewe. Huwezi elekeza mtu bila maneno ya kashfa. Kama nina options nyingine ni vibaya kuuliza ili nijue wapi pa kwenda? Au unadhani kila mtu ana option moja kwenye maisha kama wewe. Nyie wazee mnaosema sisi vijana wa siku hizi wajinga enzi zenu ndo mlikuaga mazero brain cause mnashindwa kuelewa nyakati zimebadilka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu mkuu kila kitu hulingana na matakwa ya mtu na uhalisia wakipato chake nadhani ukifika pia utaweza kujionea mwenyewe karibu sana mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu, mimi ni binti nimebahatika kupata kazi Mbeya ila sijawahi kuishi huko, maisha yangu yote nimesoma na kukulia Dar. Naombeni ushauri kuhusu vyumba, maisha na aina ya watu huko. Wengi wananitisha nisiende nibaki Dar kwasababu Mbeya kuna mzunguko mdogo wa hela pia sio kuzuri wa usalama compared to Dar. Msaada..
Sent using Jamii Forums mobile app

utapata tabu sanaKama si mfuasi wa Chadema usiende huko, tuendelee kubanana hapaWakuu, mimi ni binti nimebahatika kupata kazi Mbeya ila sijawahi kuishi huko, maisha yangu yote nimesoma na kukulia Dar. Naombeni ushauri kuhusu vyumba, maisha na aina ya watu huko. Wengi wananitisha nisiende nibaki Dar kwasababu Mbeya kuna mzunguko mdogo wa hela pia sio kuzuri wa usalama compared to Dar. Msaada..
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiache bahati hiyo. Mby ni mji ambao ni simple kuishi hasa kama ni mtu wa budget na pia overall papo vizuri japo vidosari vidogovidogo unaweza kutana nazo japo ni kawaida tu.Wakuu, mimi ni binti nimebahatika kupata kazi Mbeya ila sijawahi kuishi huko, maisha yangu yote nimesoma na kukulia Dar. Naombeni ushauri kuhusu vyumba, maisha na aina ya watu huko. Wengi wananitisha nisiende nibaki Dar kwasababu Mbeya kuna mzunguko mdogo wa hela pia sio kuzuri wa usalama compared to Dar. Msaada..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo maana tunasema vijana wa sikuhizi ni WAJINGA-WAJINGA wasio na vichwa wala mkia,
Uwoga wa maisha unawafanya watu wengi kushindwa kutoka DAR na kwenda mikoani
kwa haya matusi,mbeya utapaweza kweli?utaishia kurogwa bure..Mjinga mwenyewe. Huwezi elekeza mtu bila maneno ya kashfa. Kama nina options nyingine ni vibaya kuuliza ili nijue wapi pa kwenda? Au unadhani kila mtu ana option moja kwenye maisha kama wewe. Nyie wazee mnaosema sisi vijana wa siku hizi wajinga enzi zenu ndo mlikuaga mazero brain cause mnashindwa kuelewa nyakati zimebadilka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli maisha hatufanani mpendwa, na kwenye hii dunia inabidi tukubali hilo. Yani hatuwezi kuforce usawa hapa duniani, leo mimi niliepata kazi mbeya na dar napata shida kuchagua wapi pa kufanya kazi while kuna mtu anachagua akafanye kazi Spain au Germany anauliza pia aende nchi gani. That's life. It is what it is
Sent using Jamii Forums mobile app
Anashangaza eti kukulia Dar ndiyo asiende Mbeya, aache kwenda aone kesho yake watu 500 wanaitaka hiyo kazi, sijui angekuwa London au Paris ingekuwaje
Sent using Jamii Forums mobile app