Kufanya kazi mkoani Mbeya

Kufanya kazi mkoani Mbeya

Wewe uambiwe ni mjinga mjinga huna kichwa wala mkia na lijitu huko from nowhere kwenye mada ambayo haiitaji hayo utafurahi? Hata hujakutana na mimi unasema nna madharau, unaishije na watu kwa kuhukumu ovyo wewe? . Dharau ikwapi hapo nimemjibu accordingly. Una inferiority complex. Sikushangai ni gonjwa letu waafrika. Ugua pole
Nimemuona anamadharau. Kwa madharau yake mbeya hapamfai atapata shida sana kuishi na hawa watu wakijipandisha sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli maisha hatufanani mpendwa, na kwenye hii dunia inabidi tukubali hilo. Yani hatuwezi kuforce usawa hapa duniani, leo mimi niliepata kazi mbeya na dar napata shida kuchagua wapi pa kufanya kazi while kuna mtu anachagua akafanye kazi Spain au Germany anauliza pia aende nchi gani. That's life. It is what it is

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwenye maisha hakuna kitu kizuri kama kupata exposure na kwa vile wewe ushaishi dar ni vyema uende mwenyewe ukajionee uhalisia wa maisha sehemu nyingine, Huku kila mtu atakushauri kulingana na mtazamo wake. Ushauri wangu we nenda maisha nipopote
 
Ukimaliza kazi zako weekend njo kyela nikupeleke ngonga au matema beach ni zaidi ya coco
 
Back
Top Bottom