aAllen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 279
- 366
Wenzako tupo Maparawe ndan kabisaaaa kjjjn Mozambique border...we Mbeya town unajishaua...duuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wewe mbeya,mwanza,dar hata sielewi ni mwenyeji wa wapKaribu Sana mbeya ujionee green city
Ila uliipondea sana mbeya weweHaka kadada kajinga sana. Kanachagua kazi. Ovyooo
Haka kadada kajinga sana. Kanachagua kazi. Ovyooo
Ila uliipondea sana mbeya wewe
Mbeya kuna maisha mazuri marahisi kuliko Dar, tatizo la vijana mnadanganyana sana, ukija nitafute nikutembezeWakuu, mimi ni binti nimebahatika kupata kazi Mbeya ila sijawahi kuishi huko, maisha yangu yote nimesoma na kukulia Dar. Naombeni ushauri kuhusu vyumba, maisha na aina ya watu huko.
Wengi wananitisha nisiende nibaki Dar kwasababu Mbeya kuna mzunguko mdogo wa hela pia sio kuzuri wa usalama compared to Dar. Msaada..
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeolewa mdada..??Wakuu, mimi ni binti nimebahatika kupata kazi Mbeya ila sijawahi kuishi huko, maisha yangu yote nimesoma na kukulia Dar. Naombeni ushauri kuhusu vyumba, maisha na aina ya watu huko.
Wengi wananitisha nisiende nibaki Dar kwasababu Mbeya kuna mzunguko mdogo wa hela pia sio kuzuri wa usalama compared to Dar. Msaada..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna sehemu nzuri ya kuanzia maisha kama mbeyaWanakudanganya sana tu,,karibu mbeya!! Nyumba zipo za kutosha ambapo nyumba ya bei kubwa sana ni laki mbili, kuhusu maisha huku maisha ni mzuri kwa sababu aina zote za vyakula mbeya ndio kwenyewe, hata ukiwa na jelo tu utakula kupitisha siku!
Ubaya wa huku labda baridi tu na mvua mvua ambapo kwa kipindi hiki ni janga la kote!! Kama umepangiwa mbeya mjini karibu sana naweza kuwa mwenyeji wako ukipendezewa.
Karibu mbeya
Sent using Jamii Forums mobile app
Usalama gani unaomaanisha?. Mzunguko wa hela,sawa hauwezi kuwa sawa na dar. Lakini katika huo mzunguko dar ukikaa tu bila kujishughurisha hela zinakuja zenyewe?. Hakuna mahala jijini Kama mbeya ambapo mtu ukajishughurisha usipate helaWakuu, mimi ni binti nimebahatika kupata kazi Mbeya ila sijawahi kuishi huko, maisha yangu yote nimesoma na kukulia Dar. Naombeni ushauri kuhusu vyumba, maisha na aina ya watu huko.
Wengi wananitisha nisiende nibaki Dar kwasababu Mbeya kuna mzunguko mdogo wa hela pia sio kuzuri wa usalama compared to Dar. Msaada..
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu, mimi ni binti nimebahatika kupata kazi Mbeya ila sijawahi kuishi huko, maisha yangu yote nimesoma na kukulia Dar. Naombeni ushauri kuhusu vyumba, maisha na aina ya watu huko.
Wengi wananitisha nisiende nibaki Dar kwasababu Mbeya kuna mzunguko mdogo wa hela pia sio kuzuri wa usalama compared to Dar. Msaada..
Sent using Jamii Forums mobile app