Kufahamishwa juu ya RAM, GHZ, Internal Memory Tafadhari.

Kufahamishwa juu ya RAM, GHZ, Internal Memory Tafadhari.

Mbuty

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2011
Posts
421
Reaction score
254
Nimekuwa nikiangalia specifications za simu nimekuwa nikikutana na RAM kwa kiasi najua ni Random Access Memory na si zaidi ya hapo, GHZ hii siifahamu na Internal Memory najua kama inavyojieleza. Naomba kufahamu mchango wa kila nilichokitaja kwenye perfomamce ya simu, na kuna simu huwa slow au zinastack, visababishi ni nini? Ninajaribu kuelewa termonologies hizo ili nifanye maamuzi ya kununua simu ambayo nitaitumia kwa matumizi mazuri na kwa muda angalau mrefu. Asanteni.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
kwa bigginer the bigger the number the better the perfomance.. usitake kujua sana .

ram ni temporary memory inayotunza mafile ya applications zote unazotumia muda huo. mfn upo watsapp uku message imeingia huku una download kwenye browser basi hizi apps zote kwa muda huo files zake zipo kweny ram. ukizma simu znafutika/ ram kubwa helpz u kufngua apps nyngi .bila kuathiri spid y cm
 
Okay asante sana, nimeanza kufunguza na kujiongeza sasa.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom