Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,744
- Thread starter
- #61
hivyo vimodo unafikiri vina shida na hela? hata kidogo. kila kitu vinapata, na shule vinaenda, basi tu vibweka vyaoukiweza kupata ambaye alishazaa, kaolewa akaachika tayari anajua mtoto ni nini? na anajua shida ya maisha. kwahiyo hatakuletea za kuleta sana kama hivyo vimodal ulivyo navyo, tena kabla ya kulala ni ratiba kama sipo wanasali nao! nikiwepo tunasali wote, so kukaa nao chini kuongea nao pia Fixed Point ni muhimu, kuwakumbusha wajibu wao na kusikiliza shida zao, atakwambia tu mshahara hautoshi, mwambie jirekebishe hapa na hapa, nakuahidi next month nitakuongeza, utaona atakavyobadilika, akifiwa na ndugu zake nakwenda msibani, au kama wana mgonjwa nakwenda hospitali na kapesa kidogo! basi utaona watoto wako anakaa nao vizuri, anakuthamini, coz ataona na we pia unamthamini! likizo mara mojamoja huwa namwambia walete wanao waje wacheze na twins, wanakuja mwezi mzima, wakiondoka nawafanyia kashoping, utaona anafurahi na kukuheshimu kweli!