jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Acha hizo,unawashwa nini this mornging? Nani kakwanbia nafundishwa mambo ya binadamu wote ni sawa huku marekani? We vipi mkuu? na wapi hapo nimeshindana? Wewe si unajuwa kila kitu,kuanzia kwenye mapenzi,mahusiano,michezo,kila jukwaa humu humo ndani,you know everything unajua,sasa nitashidana vipi na wewe? Ama kweli una muda! Duh!Sasa bwana Mangi baada ya kupata elimu zaidi huko ughaibuni bado unaamini kwa Mwalimu ndiye mwanzilishi wa hiyo falsafa?
Halafu acha ghadhabu Mangi. Tunajadiliana tu hapa. Hatushindani, okay?
For ya info sina muda kuwa kushindana.