Kuelekea uchaguzi wa TLS, figisu zaanza kanuni zatungwa kwa siri, mbunge kutoruhusiwa kugombea TLS

Lord Diplock MR

JF-Expert Member
Mar 16, 2015
1,393
3,234
Kuelekea uchaguzi wa TLS hapo April mwaka huu katika hali isiyo ya kawaida figisu kuhakikisha Tundu Lissu harudi madarakani zimekwishaanza ambapo kanuni zimetungwa kinyemela bila kusainiwa na Rais wa TLS Bwana Tundu Lissu huku zikiwa na vigezo tofauti na vya mwaka Jana.

Mojawapo ya vigezo ni vile vinavyotaka mgombea nafasi ya urais TLS kutokuwa mbunge wala na nafasi ya uongozi katika chama chochote cha siasa kilichosajiliwa.

Kanuni hizo zimepitishwa na wajumbe wa baraza la uongozi TLS (GC) bila Tundu Lissu kushirikishwa wala kusaini.

Hali hiyo imezua taharuki miongoni mwa wanachama wa TLS ambao wamesema hawatakubali.

IMG-20180309-WA0085.jpeg
Screenshot_2018-03-09-20-49-28.png
Screenshot_2018-03-09-20-49-47.png
 
IMG-20180309-WA0084.jpeg
Screenshot_2018-03-09-20-49-28.png
Screenshot_2018-03-09-20-49-47.png


Kuelekea uchaguzi wa TLS hapo April mwaka huu katika hali isiyo ya kawaida figisu kuhakikisha Tundu Lissu harudi madarakani zimekwishaanza ambapo kanuni zimetungwa kinyemela bila kusainiwa na Rais wa TLS Bwana Tundu Lissu huku zikiwa na vigezo tofauti na vya mwaka Jana.

Mojawapo ya vigezo ni vile vinavyotaka mgombea nafasi ya urais TLS kutokuwa mbunge wala na nafasi ya uongozi katika chama chochote cha siasa kilichosajiliwa.

Kanuni hizo zimepitishwa na wajumbe wa baraza la uongozi TLS (GC) bila Tundu Lissu kushirikishwa wala kusaini.

Hali hiyo imezua taharuki miongoni mwa wanachama wa TLS ambao wamesema hawatakubali.
 
Sasa la kushangaza ni lipi.. kwanza hawezi kugombea.. alipewa cheo akawa bizi na mambo ya siasa.. hana hata moja la kukumbukiwa.. atulie tu akirudi aende jimboni kwake.. maana huko ni majanga.. na 2020 asigombee kabisa atatemwa vibaya sana. [HASHTAG]#kajitakia[/HASHTAG] [HASHTAG]#tamaayapesa[/HASHTAG] [HASHTAG]#hanauzalendo[/HASHTAG]
 
Sasa la kushangaza ni lipi.. kwanza hawezi kugombea.. alipewa cheo akawa bizi na mambo ya siasa.. hana hata moja la kukumbukiwa.. atulie tu akirudi aende jimboni kwake.. maana huko ni majanga.. na 2020 asigombee kabisa atatemwa vibaya sana. [HASHTAG]#kajitakia[/HASHTAG] [HASHTAG]#tamaayapesa[/HASHTAG] [HASHTAG]#hanauzalendo[/HASHTAG]
We ni advocate hadi useme hajafanya mambo kwenye Chama?
 
Hili linawezekana kufanyika kwa mawakili wachumia tumbo, ila sio mawakili wasomi.

I know we have learned friends and not cheap and robbed friends!
 
Kama ni kweli hii ni hatari
Hatari gani? TLS ni chama cha kitaaluma (professinal) kama vilivyo vyama vingine vya kitaaluma nchini kwetu hususani Chama cha Madaktari Tanzania (MAT). Huwezi ukawa waziri wa afya halafu ukawa pia ni raisi wa chama cha madaktari! Kutakuwa na conflicting interests. Vivyo hivyo kwa mbunge au kiongozi kwenye chama cha siasa. Na sheria inayosimamia vyama hivi ilishafanyiwa au iko mbioni kufanyiwa marekebisho kukidhi matakwa haya.
 
mimi huwa naamini ndugu lisu ana ushawishi mkubwa sana kwenye jamii.ila pia huwa naamini jenerali ulimwengu anatumia akili sana kujenga hoja na anasoma sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom