Kuelekea uchaguzi wa TLS, figisu zaanza kanuni zatungwa kwa siri, mbunge kutoruhusiwa kugombea TLS

Hatari gani? TLS ni chama cha kitaaluma (professinal) kama vilivyo vyama vingine vya kitaaluma nchini kwetu hususani Chama cha Madaktari Tanzania (MAT). Huwezi ukawa waziri wa afya halafu ukawa pia ni raisi wa chama cha madaktari! Kutakuwa na conflicting interests. Vivyo hivyo kwa mbunge au kiongozi kwenye chama cha siasa. Na sheria inayosimamia vyama hivi ilishafanyiwa au iko mbioni kufanyiwa marekebisho kukidhi matakwa haya.
Shida ni kwamba anaye lengwa ni Lisu, nafasi hiyo ingekuwa inashikiliwa na mwana ccm haya yote tusinge yasikia!!!
 
Mnachekesha sana, msajili wa vyama, wakurugenzi wa halmashauri na manispaa, mkurugenzi wa nec wote ni makada wa ccm, hapo hawajaona kosa kule kuna upinzani, kweli nyani haoni makalio yake, sasa lazma isainiwe na huyo msiyemtaka, kwani kipengele hicho hakipo, hii nchi haitasonga mbele bali kurudi nyuma, kiwanda chenu cha magari cha kibaha mlichotuaminisha kipo wapi?
 
Mbona Uyo anayejiita Nguli wa Sheria Palamagamba anajambishwa jambishwa na John Pombe?????
Unategenea atasema nini, viongozi wetu wamejaa woga, fikiria mahakamani zikipelekwa hoja za kuwashtaki wao, mahakimubwanakuwa waoga kupokea hizo kesi, wanajua watapigwa chini na anayewaremote atawashughulikia
 
Hatari gani? TLS ni chama cha kitaaluma (professinal) kama vilivyo vyama vingine vya kitaaluma nchini kwetu hususani Chama cha Madaktari Tanzania (MAT). Huwezi ukawa waziri wa afya halafu ukawa pia ni raisi wa chama cha madaktari! Kutakuwa na conflicting interests. Vivyo hivyo kwa mbunge au kiongozi kwenye chama cha siasa. Na sheria inayosimamia vyama hivi ilishafanyiwa au iko mbioni kufanyiwa marekebisho kukidhi matakwa haya.
Anzeni na nec kwanza mumejaza makada waliopigwa chini kwenye kura za maoni
 
Hatari gani? TLS ni chama cha kitaaluma (professinal) kama vilivyo vyama vingine vya kitaaluma nchini kwetu hususani Chama cha Madaktari Tanzania (MAT). Huwezi ukawa waziri wa afya halafu ukawa pia ni raisi wa chama cha madaktari! Kutakuwa na conflicting interests. Vivyo hivyo kwa mbunge au kiongozi kwenye chama cha siasa. Na sheria inayosimamia vyama hivi ilishafanyiwa au iko mbioni kufanyiwa marekebisho kukidhi matakwa haya.
Kumbuka Sheria ni taluma yake na Ubunge ni kuwatumikia wananchi
 
Kwambali nimeona Tundu lissu kaweka DP picha ya Nyerere, kamkubali lini Nyerere??
Au Kwa kuwa yamempata laana ya kumtusi ndo akaamua ajirekebishe?
 
Hajafanya lolote..
Si utaje ambacho hajafanya kumbuka Jengo lao lililokuwa limesimama kujengwa miaka mingi sasa ujenzi unaendelea na maslahi mengi ambayo Mawakili walikuwa hawapati baada. ya kuingia pale na kubadilisha sheria kandamizi. Utasemaje hajafanya lolote tusipindishe ukweli kuwa uongo kisa kwa kuwa ni mpinzani akifanya vizuri ni aibu kwetu ccm kama ni aibu tayari inaonekana kwani tumebaki na kazi ya kupambana upinzani badala kudili na maendeleo ya wananchi.
Kwenye umoja ukiingia kwa ajili ya kutibua usitegemee kutekeleza ahadi kwani malalamiko ni laana na upofu wa kutokujua nini cha kufanya maendeleo yapatikane
 
Ccm ni mabingwa wa kuvuruga kila kitu ila kwa TLS naona kama mmechezea koki mbovu mtalowa sawasawa jamaa wanahoji hadi unaamua ulale ukiamka unakuta maswali wamekuandikia mezani uyajibu.
Naona shida mbeleni msipofafanua hicho kifungu.Hata mnyalu atahaha na frustrations zitaongezeka.
 
Sasa la kushangaza ni lipi.. kwanza hawezi kugombea.. alipewa cheo akawa bizi na mambo ya siasa.. hana hata moja la kukumbukiwa.. atulie tu akirudi aende jimboni kwake.. maana huko ni majanga.. na 2020 asigombee kabisa atatemwa vibaya sana. [HASHTAG]#kajitakia[/HASHTAG] [HASHTAG]#tamaayapesa[/HASHTAG] [HASHTAG]#hanauzalendo[/HASHTAG]
Lissu anatisha sana, sheria zinatungwa kwa ajili ya kumuhofia yeye!
 
Sasa la kushangaza ni lipi.. kwanza hawezi kugombea.. alipewa cheo akawa bizi na mambo ya siasa.. hana hata moja la kukumbukiwa.. atulie tu akirudi aende jimboni kwake.. maana huko ni majanga.. na 2020 asigombee kabisa atatemwa vibaya sana. [HASHTAG]#kajitakia[/HASHTAG] [HASHTAG]#tamaayapesa[/HASHTAG] [HASHTAG]#hanauzalendo[/HASHTAG]
Sasa kama hajafanya kitu si acheni wanachama waamue kwa kura, hofu ya nini mapema....!!!!
 
Hatari gani? TLS ni chama cha kitaaluma (professinal) kama vilivyo vyama vingine vya kitaaluma nchini kwetu hususani Chama cha Madaktari Tanzania (MAT). Huwezi ukawa waziri wa afya halafu ukawa pia ni raisi wa chama cha madaktari! Kutakuwa na conflicting interests. Vivyo hivyo kwa mbunge au kiongozi kwenye chama cha siasa. Na sheria inayosimamia vyama hivi ilishafanyiwa au iko mbioni kufanyiwa marekebisho kukidhi matakwa haya.
Fafanua zaidi hujaeleweka na mfano wa waziri haufai...fafanua kama mbunge anakuwa na conflict ipi.....
 
Chama pekee kisijojua proffession ni kitu gani ni TLS pekee wengine wote wanajitambua.Iwe bodi ya mainjinia,wahasibu,wagavi,madaktari,wafarmasia,geologist nk TLS wamesoma ila hawajaelimika hawajui mtu anayetakiwa kuongoza TLS aweje,Hizi kanuni mpya naziona nzuri zinawarudisha kwenye proffessionalism
wewe ni limbukeni wa kupindukia! unavijua vyama vingapi ? utasema chama cha walimu wanajitambua ? utasema chama cha ma dr wanajitambua? utasema chama cha wafuga nyuki wanajitambua? kuwa mwerevu kidogo? kama profesional association zinajitambua kungekuwa na migomo isiyoisha hapa? yani mtu anaahidi nyongeza ya mishahara may mosi halafu haongezi kitu na watu wapo kimya tuuuu unasema wanajitambua hao? mkuu wa wilaya anafukuza walimu unasema wanajitambua? kila siku wanaambiwa wanauza dawa za serikali wakati dawa hakuna na hawasemi kitu kama wana taalumuma?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom