Polonium210
Member
- Nov 24, 2011
- 58
- 39
- Thread starter
- #121
Utatambuaje kwamba TV yako ni ya Dijitali? Au labda niweke hivi, Je kuna Umuhimu wa Mtu sasa kukimbilia TV ya Dijitali kuliko Kin'gamuzi
Naomba kwanza Nianze hivi
1. Fact 1 : - Flat Screen nyingi zilizoko Madukani be it Samsung Smart TV, Sony Bravia na Blah blah ni analogue kwa maana ya kwamba hazina Mfumo uliojengwa kwa ndani kuweza kung'amua Mawimbi ya Digitali kwa maana hiyo hata uende leo Mlimani City Ukanunua Samsung Smart TV bado utahitaji Kin'gamuzi ili uweze kuona Matangazo yaliyo katika Mfumo wa Dijitali
Mkuu @Supervisor
Naomba nikijibu kwa Kifupi kwa njia ya Kukupa Ushauri
1. Hata kama una uwezo sasa Nakushauri Usinunue TV ambayo ina uwezo ndani yake wa Kung'amua Mawimbi ya Dijitali. Najua waafrika wengi tuna Kasumba ya Kununua vitu kwa bei yeyote ili mradi na sisi tuonekane TUMO. Katika hili Nakushauri Nunua King'amuzi tumia katika TV yako uliyo nayo na hata kama unataka Flat Screen Nakushauri go for the normal and Cheap LED (Not LCD)
Nakupa Ushauri huu kwa Sababu Bado Teknolojia ya Digitali (DVB-T ambayo tunayoitumia) haija stabilize na watu bado wako Darasani wanaendelea kuiboresha. Tatizo la kukimbilia kununua vitu vya Bei ghali wakati Technolojia bado HAIJABALEHE unaweza ukaja kujilaumu na kujikuta ndani ya Mwaka Mmoja ukatakiwa Kukitupa kitu ulichokinunua kwa Gharama kubwa
Mkuu Nakupa Mfano wa Kenya. Makampuni yalianza kutoa huduma kwa kutumia Teknolojia ya Mwanzo (DVB-T) lakini baada ya Muda mfupi sana wakagundua kwamba DVB-T imepitwa na Wakati wakabadilisha Mitambo na Kuweka teknolojia mpya ya DVB-T2 you know what? Wakenya wengi walikuwa wamenunua Ma TV ya DVB-T kwa gharama lakini sasa hayafanyi kazi tena maana mfumo wa Matangazo umehama kutoka DVB-T kwenda DVB-T2 (Juzi nilikuwa na Rafiki yangu wa Uingereza akaniambia hii inaitwa Transition with Transition).
Mkuu nakushauri subiri Teknolojia Istabilize ndio uweze kununua la Sivyo inaweza kula Kwako Mazima
Ha ha haaa
Naomba kwanza Nianze hivi
1. Fact 1 : - Flat Screen nyingi zilizoko Madukani be it Samsung Smart TV, Sony Bravia na Blah blah ni analogue kwa maana ya kwamba hazina Mfumo uliojengwa kwa ndani kuweza kung'amua Mawimbi ya Digitali kwa maana hiyo hata uende leo Mlimani City Ukanunua Samsung Smart TV bado utahitaji Kin'gamuzi ili uweze kuona Matangazo yaliyo katika Mfumo wa Dijitali
Mkuu @Supervisor
Naomba nikijibu kwa Kifupi kwa njia ya Kukupa Ushauri
1. Hata kama una uwezo sasa Nakushauri Usinunue TV ambayo ina uwezo ndani yake wa Kung'amua Mawimbi ya Dijitali. Najua waafrika wengi tuna Kasumba ya Kununua vitu kwa bei yeyote ili mradi na sisi tuonekane TUMO. Katika hili Nakushauri Nunua King'amuzi tumia katika TV yako uliyo nayo na hata kama unataka Flat Screen Nakushauri go for the normal and Cheap LED (Not LCD)
Nakupa Ushauri huu kwa Sababu Bado Teknolojia ya Digitali (DVB-T ambayo tunayoitumia) haija stabilize na watu bado wako Darasani wanaendelea kuiboresha. Tatizo la kukimbilia kununua vitu vya Bei ghali wakati Technolojia bado HAIJABALEHE unaweza ukaja kujilaumu na kujikuta ndani ya Mwaka Mmoja ukatakiwa Kukitupa kitu ulichokinunua kwa Gharama kubwa
Mkuu Nakupa Mfano wa Kenya. Makampuni yalianza kutoa huduma kwa kutumia Teknolojia ya Mwanzo (DVB-T) lakini baada ya Muda mfupi sana wakagundua kwamba DVB-T imepitwa na Wakati wakabadilisha Mitambo na Kuweka teknolojia mpya ya DVB-T2 you know what? Wakenya wengi walikuwa wamenunua Ma TV ya DVB-T kwa gharama lakini sasa hayafanyi kazi tena maana mfumo wa Matangazo umehama kutoka DVB-T kwenda DVB-T2 (Juzi nilikuwa na Rafiki yangu wa Uingereza akaniambia hii inaitwa Transition with Transition).
Mkuu nakushauri subiri Teknolojia Istabilize ndio uweze kununua la Sivyo inaweza kula Kwako Mazima
Ha ha haaa