Kuelekea Mfumo wa Utangazaji wa Digital: Maswali na Majibu Muhimu

Tv za chogo hazina mwisho wa kuingizwa hapa nchini, kinachogusiwa hapa na tcra ni ile hali ya watumiaji wa tv kununua dekoda ili kupata matangazo ya tv ktk mfumo wa digitali, haiusiani na aina ya tv aidha chogo au flat.
 
Asante mkuu kwa kuileta hii kitu na Mimi nimeianzisha huko kwenye jukwaa la Hoja na habari mchanganyiko.

Sijui kama TCRA wanafika humu ndugu yangu polo haka kamfumo ka DVB_T katakuja kutusumbua sana mfumo niuonao mimi ungeliboreshwa na ni mzuri zaidi ni wa DVB_S tena ni mzuri kama tutahama kwenye band ya C_BAND tunayotumia sasa hivi na kwenda kwenye band ya KU_BAND kama ilivyo DSTV na tena mamlaka ya mawasiliano iwabane hawa iliyowapa vibali vya kusambaza digitali kuwa wawe na king'amuzi kimoja chenye option mbili hapohapo ya DVB_T na DVB_S ili nitakaponunua king'amuzi nikiwa jijini Dar nikitumie kwa njia ya DVB_T nikienda mikoani pasipokuwa na network ya DVB_T nitumie network ya DVB_S na tena wote hao wawe wanatumia satelite moja kama walivyo wenzetu wa Nigeria wa makampuni haya MY TV, TRENDTV, na MUVI TV

Wenzetu Wanajeria wana umoja sana na serikali yao huwa inawasikiliza sana, sisi hapa kwetu ni tofauti kabisa mara nyingi tunacho sikia ni lecture kutoka TCRA na TBC/StarTimes kuhusu DVB-T, lecture zenyewe ni kama vitisho vile hasa hasa jamaa wa TBC, kuna wakati fulani nilimuona jamaa mmoja TBC akitisha watu kwamba kama una analogue TV basi afadhali ukaitupilie mbali maanake come next year aitakuwa na kazi! Anacho sahau ni kwamba watu wengi huko Ulaya na merikani huwa awatupi TV zao za analogue wanachofanya ni kununua digital-to-analog converter box basi, hii inakusaidia kuangalia channels zote za Digital ambazo hasiko scrambled. Sasa ukitaka uagalie both telesterial na za satellite kutumia kifaa kimoja hapo kuna kibarua kidogo maanake telesterial mawimbi yanasambazwa kwenye BAND ya UHF lakini ya satellite ni Super High Frequence kwenye Band za C (4/6GHz) au Ku(10/12GHz)-nimesahau kidogo. Haya mawimbi ya satellite yanapashwa kupoozwa kidogo mpaka yafikie kwenye frequency za IF ambazo actually ni UHF, kwa hiyo kwenye Satellite receiver inatakiwa iwepo a downconvertor module (Radio to be precise) kufanikisha kupata UHF abayo unaweza ku-connect to Digital-2-analogue convertor box sasa how do you switch between the two, unaweza kuwa na electronic switch or through software, mimi nafikili uki-google unaweza kupata kifaa kama hicho kwenye market, au hata wewe kama huko mdadisi unaweza ku-assemble mwenyewe, it is not a rocket science.
 
Mkuu Polo, ubarikiwe kwa jinsi unavyotupa darasa lenye manufaa sana.
Nina swali moja kuhusu satellite. Hivi unapoambiwa satellite ipo 64.8°E au 36°E au 3°W, kwenye ku-tune dish lako ili upate signal ya hiyo satellite, hiyo angle unaipataje? kuzungusha horizantally left or right au ku-adjust inclination up and down? na point ya kuanzia 0° kwenda E or W au direction yoyote ni wapi?
Sisi tumezoea kuambiwa elekeza mashariki, zungusha zungusha , juu na chini, mwishowe tunapata signal kwa shida na kutumia muda mwingi sana kwa vile hatujui undani wa haya mavitu.
Naomba msaada tafadhali.
 
Polo asante kwa ufafanuzi wako,ila nina swali
1.wenye madish,kuanzia januar 2013,watakua hawapati local chanel mf itv,startv,ten,eatv,tbc,ila watapata tv za naijeria kama wewe
2.Kama za ndani azipatikan akuna aja ya dish
 
Polo asante kwa ufafanuzi wako,ila nina swali
1.wenye madish,kuanzia januar 2013,watakua hawapati local chanel mf itv,startv,ten,eatv,tbc,ila watapata tv za naijeria kama wewe
2.Kama za ndani azipatikan akuna aja ya dish

sio kila dish halitafungua local channels.ni dish la ting pekee kupitia decoder yao ya aal-003 ndiyo itakayofungua local channels bure.kwa ss napata itv startv na ch10 bure.
 
Wakuu, hivi ikiwa nitanunua hizi tv za digital ambazo zina king'amuzi ndani, nitatumia account gani?
Kwa sababu kila service provider ana king'amuzi chake, kwa technology yake.

Au hizo tv ni universal, kwamba inakubali kila mtandao!
 
Wakuu, hivi ikiwa nitanunua hizi tv za digital ambazo zina king'amuzi ndani, nitatumia account gani?
Kwa sababu kila service provider ana king'amuzi chake, kwa technology yake.

Au hizo tv ni universal, kwamba inakubali kila mtandao!

Zenye digital tunner ndani zitakupa access ya station za bure (Free to Air) kama unavyopata access ya bure ya TV za analog kwa sasa hivi, haitakusaidia kupata station za kulipia.

Ila ni muhimu tunner hiyo iwe compatible na standard itakayotumika bongo DVB-T maana kuna standard nyingi duniani.
 
Zenye digital tunner ndani zitakupa access ya station za bure (Free to Air) kama unavyopata access ya bure ya TV za analog kwa sasa hivi, haitakusaidia kupata station za kulipia.

Ila ni muhimu tunner hiyo iwe compatible na standard itakayotumika bongo DVB-T maana kuna standard nyingi duniani.

Nimekusoma boss.

Sounds like king'amuzi cha nje hakikwepeki, maana kwa mfano Startimes unatumia antena, ila Zuku unatumia dishi,
so, likely itabidi mtu achague moja; ama kutumia minara ya startimes au aweke dishi la kawaida ambalo tunaambiwa baadaye wataondoa channel za kibongo.

Au nimekosea mkuu?!
 
Nimekusoma boss.

Sounds like king'amuzi cha nje hakikwepeki, maana kwa mfano Startimes unatumia antena, ila Zuku unatumia dishi,
so, likely itabidi mtu achague moja; ama kutumia minara ya startimes au aweke dishi la kawaida ambalo tunaambiwa baadaye wataondoa channel za kibongo.

Au nimekosea mkuu?!

Naona kuna swali zuri ambalo halikujibiwa.
 
Nimekusoma boss.

Sounds like king'amuzi cha nje hakikwepeki, maana kwa mfano Startimes unatumia antena, ila Zuku unatumia dishi,
so, likely itabidi mtu achague moja; ama kutumia minara ya startimes au aweke dishi la kawaida ambalo tunaambiwa baadaye wataondoa channel za kibongo.

Au nimekosea mkuu?!

Siyo Kweli Mkuu
 
Nimelhpenda darasa mi naomba ushauri niko mpakani na burundi huku sina uwezo na dstv je ting ya aal 003 inanifaa ? Maana antena hazishiki kabisa
 
Nimelhpenda darasa mi naomba ushauri niko mpakani na burundi huku sina uwezo na dstv je ting ya aal 003 inanifaa ? Maana antena hazishiki kabisa

ingawa ting wameingia mitini, bado decoder yao ya aal-003 bado ni dili kwani unaweza kui2mia kwa kunasa sat yoyote unayoitaka ambayo inapatikana ktk eneo lako.
 
Back
Top Bottom