Kuelekea day 100 Gaza, Marekani kukabiliwa na Migomo serikalini

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
27,882
35,898
1. Mambo yenda yakiongezwa, si white house, mabakabaka, tiss ya huko, nk wataonyesha hadharani kutoridhika kwao na mambo yalivyo.

2. Hii sasa ni serikalini, kwamba mambo lukumba lukumba!

IMG_20240113_103111.jpg


3. Kwamba kitanuka vilivyo huko kuelekea anniversary day 100 ya uvamizi wa Israel Gaza.

IMG_20240113_103241.jpg

IMG_20240113_103332~2.jpg


4. Mahsusi kwa wale wafia dini sasa, vipi hapo na hali hapo? Hawa nao ni mnaowaita wavaa kobazi aka vipedo?

5. Kwa hakika haki ya wapalestina italipwa hapa hapa duniani.

6. Kucheleweshwa sawa, ila watawalipa wote nasema mtawalipa.
 
1,600 Israeli Soldiers Suffer from Combat Stress as Mental Health System Faces Collapse

January 2, 2024

By Palestine Chronicle Staff Israeli media reported that 1,600 soldiers show symptoms of combat stress reaction as the country’s mental health system faces collapse.

At least 1,600 Israeli soldiers show symptoms of combat stress reaction and 250 were discharged from service for this reason, according to Israeli media.

The Israeli news website Walla reported on Tuesday that “symptoms of battle combat stress reaction have appeared on at least 1,600 Israeli soldiers since the start of the ground operation in the Gaza Strip about two months ago”.
 
1,600 Israeli Soldiers Suffer from Combat Stress as Mental Health System Faces Collapse

January 2, 2024

By Palestine Chronicle Staff Israeli media reported that 1,600 soldiers show symptoms of combat stress reaction as the country’s mental health system faces collapse.

At least 1,600 Israeli soldiers show symptoms of combat stress reaction and 250 were discharged from service for this reason, according to Israeli media.

The Israeli news website Walla reported on Tuesday that “symptoms of battle combat stress reaction have appeared on at least 1,600 Israeli soldiers since the start of the ground operation in the Gaza Strip about two months ago”.

Utakuwa msiba mkubwa huo kwa wale wenye wajomba zake Mungu huko
 
Video: Mateka 250 waokolewa, HAMAS 60 wauawa na 26 kukamatwa

Huu utopolo ulilishwa wapi kinyume cha maumbile?

Zombi la dini hebu tudhihirishie uwepo wa huyo 'mungu' wako ambaye husababisha mchinje watu...
fukia-jpg.2865966
 
Zombi la dini hebu tudhihirishie uwepo wa huyo 'mungu' wako ambaye husababisha mchinje watu...
fukia-jpg.2865966

Bila ufafanuzi kwa uzi wako huu:

Video: Mateka 250 waokolewa, HAMAS 60 wauawa na 26 kukamatwa

Posts zako zote ni ushuzi mtupu.
 
1. Mambo yenda yakiongezwa, si white house, mabakabaka, tiss ya huko, nk wataonyesha hadharani kutoridhika kwao na mambo yalivyo.

2. Hii sasa ni serikalini, kwamba mambo lukumba lukumba!

View attachment 2870561

3. Kwamba kitanuka vilivyo huko kuelekea anniversary day 100 ya uvamizi wa Israel Gaza.

View attachment 2870562
View attachment 2870565

4. Mahsusi kwa wale wafia dini sasa, vipi hapo na hali hapo? Hawa nao ni mnaowaita wavaa kobazi aka vipedo?

5. Kwa hakika haki ya wapalestina italipwa hapa hapa duniani.

6. Kucheleweshwa sawa, ila watawalipa wote nasema mtawalipa.
3802b094050172f7fdf1665d58db4cdf.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila ufafanuzi kwa uzi wako huu:

Video: Mateka 250 waokolewa, HAMAS 60 wauawa na 26 kukamatwa

Posts zako zote ni ushuzi mtupu.

Zombi la dini hebu tudhihirishie uwepo wa huyo 'mungu' wako ambaye husababisha mchinje watu...

Umuue binadamu mwenzako kwa mawe kisa dini, halafu uje kugundua huyo 'Mungu' wako hayuko!

Unamzika mtu akiwa hai, tena kwa ukatili, yote hii kisa sheria za kidini, halafu ukifa uje kushangaa huyo ambaye umekuwa ukimuabudu na kusababisha ufanye ukatili mengi kumbe siye. Mimi japo ni muumini wa uwepo wa Mungu, lakini haya masuala ya kiimani ni ya mtu binafsi na wala sina uwezo wa...
www.jamiiforums.com

www.jamiiforums.com
fukia-jpg.2865966
 
Zombi la dini hebu tudhihirishie uwepo wa huyo 'mungu' wako ambaye husababisha mchinje watu...

Umuue binadamu mwenzako kwa mawe kisa dini, halafu uje kugundua huyo 'Mungu' wako hayuko!

Unamzika mtu akiwa hai, tena kwa ukatili, yote hii kisa sheria za kidini, halafu ukifa uje kushangaa huyo ambaye umekuwa ukimuabudu na kusababisha ufanye ukatili mengi kumbe siye. Mimi japo ni muumini wa uwepo wa Mungu, lakini haya masuala ya kiimani ni ya mtu binafsi na wala sina uwezo wa...
www.jamiiforums.com

www.jamiiforums.com
fukia-jpg.2865966
Ushuzi
 

Zombi la dini hebu tudhihirishie uwepo wa huyo 'mungu' wako ambaye husababisha mchinje watu...

Umuue binadamu mwenzako kwa mawe kisa dini, halafu uje kugundua huyo 'Mungu' wako hayuko!

Unamzika mtu akiwa hai, tena kwa ukatili, yote hii kisa sheria za kidini, halafu ukifa uje kushangaa huyo ambaye umekuwa ukimuabudu na kusababisha ufanye ukatili mengi kumbe siye. Mimi japo ni muumini wa uwepo wa Mungu, lakini haya masuala ya kiimani ni ya mtu binafsi na wala sina uwezo wa...
www.jamiiforums.com


www.jamiiforums.com
fukia-jpg.2865966
 
Zombi la dini hebu tudhihirishie uwepo wa huyo 'mungu' wako ambaye husababisha mchinje watu...

Umuue binadamu mwenzako kwa mawe kisa dini, halafu uje kugundua huyo 'Mungu' wako hayuko!

Unamzika mtu akiwa hai, tena kwa ukatili, yote hii kisa sheria za kidini, halafu ukifa uje kushangaa huyo ambaye umekuwa ukimuabudu na kusababisha ufanye ukatili mengi kumbe siye. Mimi japo ni muumini wa uwepo wa Mungu, lakini haya masuala ya kiimani ni ya mtu binafsi na wala sina uwezo wa...
www.jamiiforums.com


www.jamiiforums.com
fukia-jpg.2865966
Niko busy sasa na ukombozi wa mama Tanzania:

Mbowe ajiuzulu mara moja Kama mwenyekiti wa CHADEMA

Nyuzi zako ushuzi baki nazo tu, honestly sizihitaji.
 
Back
Top Bottom