Kuelekea April 01, uchaguzi Arumeru...

Jackbauer

JF-Expert Member
Oct 28, 2010
6,038
2,199
nimepata tathmini kutoka kwa mdau anayeshiriki mchakato wa kampeni za ccm huko arumeru east na ameniambia kuwa hali ya chama hiko ni mbaya sana.

Maeneo ambayo ccm imeendelea kuungwa mkono ni pamoja na kata zifuatazo;
NKUARISAMBU-huku anatoka diwani wa ccm ambaye ni mwenyekiti wa halmashauri ya meru.

MBUGUNI-diwani wa mbuguni ni maarufu sana bw thomas laizer au 'askofu' ingawa kuna baadhi ya watu wana wasiwasi na kata hii kwani askofu alipata kashfa ya rushwa hivi karibuni.

MARORONI na KINGO'RI-madiwani wa kata hizi ni maarufu na wanaheshimika kwa kazi yao.

Jumla ya kata huko arumeru ni 17.
 
Bado haitoshi, hadi tarehe 01 Apr ndio tutajua mbivu na mbichi.
Wananchi wapige kura, zihesabiwe kihalali na mshindi atangazwe kihalali.
 
nimepata tathmini kutoka kwa mdau anayeshiriki mchakato wa kampeni za ccm huko arumeru east na ameniambia kuwa hali ya chama hiko ni mbaya sana.

Maeneo ambayo ccm imeendelea kuungwa mkono ni pamoja na kata zifuatazo;
NKUARISAMBU-huku anatoka diwani wa ccm ambaye ni mwenyekiti wa halmashauri ya meru.

MBUGUNI-diwani wa mbuguni ni maarufu sana bw thomas laizer au 'askofu' ingawa kuna baadhi ya watu wana wasiwasi na kata hii kwani askofu alipata kashfa ya rushwa hivi karibuni.

MARORONI na KINGO'RI-madiwani wa kata hizi ni maarufu na wanaheshimika kwa kazi yao.

Jumla ya kata huko arumeru ni 17.

Mkuu Nassari ameshaziteka na hizo kwenye red. labda hizo mbili ndiyo anazishughulikia kujua how they can handle it out!
 
hio tathmini hata mimi mwenyewe nimefanya kwa kuwauliza makada wa ccm waliopo kwenye kampeni na wengine ni marafiki zangu tulisoma wote hata kule kwenye post yangu nafikiri umeona ccm haiwezi kushinda zaidi ya kata tano arumeru na nguvu yetu kubwa kwa sasa tunahamishia mbuguni na hizo zingine kwa siku hizi zilizobaki pia tunaweza chukua la muhimu ni kusisitiza watu kwenda kupiga kura
 
Mkuu Nassari ameshaziteka na hizo kwenye red. labda hizo mbili ndiyo anazishughulikia kujua how they can handle it out!
waongeze majeshi kwenye hizo kata mbili hasa maroroni.nimefurahi kwamba kata ya akheri anapotoka siyoi imekuwa ngome muhimu ya cdm.
 
Katika tathmini zenu tafadhari ongezeeni hoja zifuatazo na kuzitolea ripoti:
1. Vijana wengi ndio wapenda mabadiliko, lakini kadi za kupigia kura wanazo?
2. Tarehe 1.04.2012 ambayo ni siku ya kupiga kura itakuwa pia ni siku kuu ya "WAJINGA" KAMA ILIVYOZOELEKA KUITWA,je watu wameandaliwa kupambana na ghilba zinazoweza kujitokeza kwa mgongo wa siku hiyo?
 
za Mwizi ni 40 April mosi mdudu anaipata pata aibu yake, kwan wameanza kuvuanaa nguo mwenyewe
 
nimepata tathmini kutoka kwa mdau anayeshiriki mchakato wa kampeni za ccm huko arumeru east na ameniambia kuwa hali ya chama hiko ni mbaya sana.

Maeneo ambayo ccm imeendelea kuungwa mkono ni pamoja na kata zifuatazo;
NKUARISAMBU-huku anatoka diwani wa ccm ambaye ni mwenyekiti wa halmashauri ya meru.

MBUGUNI-diwani wa mbuguni ni maarufu sana bw thomas laizer au 'askofu' ingawa kuna baadhi ya watu wana wasiwasi na kata hii kwani askofu alipata kashfa ya rushwa hivi karibuni.

MARORONI na KINGO'RI-madiwani wa kata hizi ni maarufu na wanaheshimika kwa kazi yao.

Jumla ya kata huko arumeru ni 17.

Huu ni uongo. Kata ya Mbuguni ccm imezikwa siku nyingi sana. Hata hizo kata zingine ccm haina nguvu kabisa. Kwa uhakika ccm itashindwa vibaya sana. Niko Mbuguni hivyo ninajua kinachoendelea huku.
 
Katika tathmini zenu tafadhari ongezeeni hoja zifuatazo na kuzitolea ripoti:
1. Vijana wengi ndio wapenda mabadiliko, lakini kadi za kupigia kura wanazo?
2. Tarehe 1.04.2012 ambayo ni siku ya kupiga kura itakuwa pia ni siku kuu ya "WAJINGA" KAMA ILIVYOZOELEKA KUITWA,je watu wameandaliwa kupambana na ghilba zinazoweza kujitokeza kwa mgongo wa siku hiyo?

vijana wengi sio arumeru pekee wana vitambulisho vya kupiga kura,hii imesababishwa na matumizi mbalimbali ya vitambulisho hivi.nenda benki halafu uliza kama vijana waliohakikiwa walileta vitambulisho gani kwa uhakiki,nenda taasisi za mikopo au kampuni za simu hapo ndipo utakapojua vitambulisho wanavyo.
 
Huu ni uongo. Kata ya Mbuguni ccm imezikwa siku nyingi sana. Hata hizo kata zingine ccm haina nguvu kabisa. Kwa uhakika ccm itashindwa vibaya sana. Niko Mbuguni hivyo ninajua kinachoendelea huku.

mkuu usiwasilishe kishabiki!hata mimi nimesema mbuguni kuna utatakidogo.
 
Huu ni uongo. Kata ya Mbuguni ccm imezikwa siku nyingi sana. Hata hizo kata zingine ccm haina nguvu kabisa. Kwa uhakika ccm itashindwa vibaya sana. Niko Mbuguni hivyo ninajua kinachoendelea huku.
Sio kwamba nakupinga ila naomba unisaidie kujua 2010 kata hiyo Nassari alipata kura ngapi na Marehemu Sumari alipata ngapi, hata kama huna idadi kamili just tell us who won the ward
 
nimepata tathmini kutoka kwa mdau anayeshiriki mchakato wa kampeni za ccm huko arumeru east na ameniambia kuwa hali ya chama hiko ni mbaya sana.

Maeneo ambayo ccm imeendelea kuungwa mkono ni pamoja na kata zifuatazo;
NKUARISAMBU-huku anatoka diwani wa ccm ambaye ni mwenyekiti wa halmashauri ya meru.

MBUGUNI-diwani wa mbuguni ni maarufu sana bw thomas laizer au 'askofu' ingawa kuna baadhi ya watu wana wasiwasi na kata hii kwani askofu alipata kashfa ya rushwa hivi karibuni.

MARORONI na KINGO'RI-madiwani wa kata hizi ni maarufu na wanaheshimika kwa kazi yao.

Jumla ya kata huko arumeru ni 17.

Bwana nimesema humu jamvini, do not trust these rural illiterate people. They are the most unruly, unprincipled persons on earth
 
Katika tathmini zenu tafadhari ongezeeni hoja zifuatazo na kuzitolea ripoti:
1. Vijana wengi ndio wapenda mabadiliko, lakini kadi za kupigia kura wanazo?
2. Tarehe 1.04.2012 ambayo ni siku ya kupiga kura itakuwa pia ni siku kuu ya "WAJINGA" KAMA ILIVYOZOELEKA KUITWA,je watu wameandaliwa kupambana na ghilba zinazoweza kujitokeza kwa mgongo wa siku hiyo?

Yaani sijui hichi kitufe cha "Like" kiko wapi nikogongee. Maana kuna fununu kuwa kadi zimenunuliwa kama njugu tena kwa bei kubwa hadi 50,000/= kwa kijana anayeonekana kuwa na msimamo. Kama mnabisha mkiwa kwenye vikao vyenu hivyo, fanya sampling fulani na kuomba kadi kutoka kwa vijana, mtaziona kuanzia tarehe 02/04/2012.
 
Bwana nimesema humu jamvini, do not trust these rural illiterate people. They are the most unruly, unprincipled persons on earth
mkuu hata hapa jamvini tuna mitazamo tofauti hivyo si busara kuwachukia hao illiterate bali ni muhimu wakapewa elimu zaidi ya ukombozi.nina uhakika wataelewa ndani ya siku hizi mbili.
 
Hii inatia moyo, tusisahau wajibu wetu wa kulinda kura, pamoja na kuweka mawakala waaminifu kwa CDM.
 
Hiyo tathmini haina mashiko,Mwenyekiti wa halmashauri ya meru,ni diwani wa kata ya وLeguruki sio Nkoarisambu,King'ori diwani wa huko hana lolote,ni Baba yangu Mkubwa amekuwa diwani kwa miaka 30,tena kwa kuhujumu hujumu tu,ndio kata natokea,tumefanya kazi kubwa sana,na uhakika wa kuchukua kura zote kwenye hii kata ni mkubwa,Mbuguni,askofu ana kesi mahakamani dhidi ya wapiga kura wake,yaani wananchi wamemshitaki mahakamani diwani wao kuhusu tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka,na ubadhirifu.Kimsingi kila kata ina hoja,hivyo CHADEMA tunawashinda mapemaaaaa
nimepata tathmini kutoka kwa mdau anayeshiriki mchakato wa kampeni za ccm huko arumeru east na ameniambia kuwa hali ya chama hiko ni mbaya sana.

Maeneo ambayo ccm imeendelea kuungwa mkono ni pamoja na kata zifuatazo;
NKUARISAMBU-huku anatoka diwani wa ccm ambaye ni mwenyekiti wa halmashauri ya meru.

MBUGUNI-diwani wa mbuguni ni maarufu sana bw thomas laizer au 'askofu' ingawa kuna baadhi ya watu wana wasiwasi na kata hii kwani askofu alipata kashfa ya rushwa hivi karibuni.

MARORONI na KINGO'RI-madiwani wa kata hizi ni maarufu na wanaheshimika kwa kazi yao.

Jumla ya kata huko arumeru ni 17.
 
Back
Top Bottom