Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
nimepata tathmini kutoka kwa mdau anayeshiriki mchakato wa kampeni za ccm huko arumeru east na ameniambia kuwa hali ya chama hiko ni mbaya sana.
Maeneo ambayo ccm imeendelea kuungwa mkono ni pamoja na kata zifuatazo;
NKUARISAMBU-huku anatoka diwani wa ccm ambaye ni mwenyekiti wa halmashauri ya meru.
MBUGUNI-diwani wa mbuguni ni maarufu sana bw thomas laizer au 'askofu' ingawa kuna baadhi ya watu wana wasiwasi na kata hii kwani askofu alipata kashfa ya rushwa hivi karibuni.
MARORONI na KINGO'RI-madiwani wa kata hizi ni maarufu na wanaheshimika kwa kazi yao.
Jumla ya kata huko arumeru ni 17.
Maeneo ambayo ccm imeendelea kuungwa mkono ni pamoja na kata zifuatazo;
NKUARISAMBU-huku anatoka diwani wa ccm ambaye ni mwenyekiti wa halmashauri ya meru.
MBUGUNI-diwani wa mbuguni ni maarufu sana bw thomas laizer au 'askofu' ingawa kuna baadhi ya watu wana wasiwasi na kata hii kwani askofu alipata kashfa ya rushwa hivi karibuni.
MARORONI na KINGO'RI-madiwani wa kata hizi ni maarufu na wanaheshimika kwa kazi yao.
Jumla ya kata huko arumeru ni 17.