Kuelekea 2015, Dr. SLAA kuandika historia.

Kuelekea 2015, Dr. SLAA kuandika historia.

No reason to object but to support the fact.With Dr. Slaa, Tanganyikans will enjoy the fruits of their natural resources

Mkuu unanipa FARAJA YA MOYONI!! Thanks..
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1375967787967.jpg
    uploadfromtaptalk1375967787967.jpg
    19.9 KB · Views: 119
siyo Dr Slaa pekee mwenye kustahili sifa za kuijenga CDM, ni jumla yetu sisi, mimi na wewe na juhudi za dhati za akina Ben, Mwanakijiji et zilizoifikisha CDM hapa ilipo...Kazi ni kubwa mbele yetu maana CCM inalindwa na fedha za wawekezaji wenye kutuubia madini yetu, hizo MNCs zimejiwekea bajeti ya matrilioni ya kuhonga uchaguzi ili wamweke mtu wamtakao...Narudia tena sasa ni wakati wa CDM kujipanga na si kusherehekea maana kazi iliyoko mbele yetu ni kubwa sana. tusitarajie kampuni kama Mantra ya George Bush, Symbion, Barrick na sasa nasikia Exxon nayo inaingia Mtwara thru Sysmbion watakubali kirahisi CCM itoke madarakani kirahisi - chaguzi iliyopita Barrick walitoa kiasi kikubwa sana cha fedha, waangalizi wa uchaguzi walikuwa pale kuhakikisha CCM inashinda kwa gharama yoyote ile ndiyo maana mtandao mpaka leo umechanganyikiwa kwa kushindwa kutoa idadi ya kura zilizopigwa...Pia wagombea wa Upinzani huwa wanahongwa wakati mwingine ili wasigombee ama wakubali kushindwa!!! Kazi ipo...tusi mwachie Mbowe, Slaa et al ukombozi wa Taifa letu ... Tushirikiane mimi na wewe na wengineo ili hatimae dhahabu zetu, almasi zetu, Gesi yetu na rasilimali zetu zitunufaishe sis Watanzania kwanza...

Nnawasiwasi na upeo wako wa kupembua mambo,maneno mengi point hakuna,polee
 
Nnawasiwasi na upeo wako wa kupembua mambo,maneno mengi point hakuna,polee

Join Date : 31st July 2013
Posts : 61
Rep Power : 314
Likes Received4
Likes Given0
....Wengi wetu humu ndani hatulipwi na wala hatupo kwenye payroll za pale lumumba...Hatuandiki bila ya kufanya utafiti, nipinge kwa hoja kwa hayo niliyoyaainisha hapo juu kama lina chembe ya uongo... punguza mapovu, usifikiri kwa kitambi wala makalio think beyond tour nose... Ndani ya CCM na Sera za CCM Umasikini utatoweka ama unaongezeka Tanzania?...karibu tujadili kwa data sera na hoja nzito mtambuka zenye maslahi mapana kwa Taifa letu ...
 
Ndoto sio lazma uote usiku hata mchaana unaota pia,Kwa utash upi alionao mpaka aje kuwa Rais wa Tz,fanya utafti utagundua hata umaarufu aliokuwa nao 2010 na sasaa umeporomoka sana na n baada ya kutopima kipi aseme kwenye media na kip asiseme,angalia issue ya PK bado hyo haitosh kawalau watu wa din wasiombee Tz aman kuwa n wanafki,,,,,,,ooh ndo nn hko anafanya?kalisaliti kanisa hashindwi tusaliti waTz huyo,umri umemtupa awe mshauri tu wa Zitto Kabwe,Mdee na Mnyika.ova.
Mkuu Kiboko naona wewe utakuwa na Chuki binafsi na Dr SLAA, hiv wewe unadhani kuwahudumia kondoo wa bwana, had uhubiri na utoe komunio? utawahubiria wasiibe, wasiue huku wanalala njaa? Mungu anaweza kukuita kwa namna nyingi, hoja ya PK unaweza kuniambia alivunja ibara ya ngap ya katiba kwa kutoa maoni yake? issue ya amani, uliona wap watu wanaomba amani huku wananyima wenzao hak? we unaona mtoto anaesoma E.A SCHOOLS na anaesoma Yusuph MAKAMBA day wanaiva chungu kimoja? achen unafk bhana, amani ni tunda la haki
 
Binafsi namuamini dr slaa, ataisogeza nchi yetu mbele kuliko ilipo sasa.
 
Kumekuwepo na maneno mengi kumhusu DR. W. SLAA, na mimi c mshabiki sana wa majina ya watu lakini Kwa Dr. SLAA.. mnyonge mnyongeni haki yake mpeni... nimeangalia makatibu wakuu na viongozi wote wa vyama vikuu vya siasa nchini toka mwaka 1992.. Nimegundua.. ni DR. SLAA pekee., 1. aliyeweza kujenga chama cha siasa kwa mafanikio makubwa mno na kwa muda mfupi sana bila kuyumbishwa.. mf. kutoka wabunge 5-50 (the figure subjected to increase b4 2015 G. elect) 2. Ndio katibu mkuu pekee wa chama cha upinzani aliyesababisha kuvunywa na kupanguliwa kwa mfumo wote wa chama tawala tokea chini had juu, na kuweka mikakat dhaifu kama kujivua gamba, nk 3. Ni katibu mkuu pekee jasiri, mwenye uwezo mkubwa wa ku handle conflict bila kuvuruga chama(ref. Shibuda, Shonza, Mwampamba etc) na anaejibu hoja kwenye mitandao ya kijamii bila kupepesa macho. 4. Ndie Katibu mkuu peke anaeweza kuja kuwa rais wa tanzania kuelekea 2015. Tafadhal pinga kwa hoja

Hata kwenye makampuni makubwa performance appraisal inazingatia jinsi Corporate ilivyoweza kukabiliana na ushindani wa corporate nyingine especially kipindi cha Crisis.Kwa msomi mzuri wa Management na Uchumi anaelewa haya.

Hata hivyo nimejifunza kitu kimoja kikubwa na Cha msingi sana.Kinachomsaidia katibu mkuu wa CHADEMA ni elimu,exposure na uwezo binafsi (IQ).

Nimefanya kazi kwa taasisi na makampuni makubwa kabisa ambayo ni private entity.Miongoni mwa mabosi ambao huwezi kuchoka kufanya nao kazi if you know what entails to be a subordinate or a Boss basi ni Dr.Slaa.Huu ndio ukweli ambao always nakua proud kuusema.

Bosi mzuri ni yule anayejali principle,Ni mwalimu mzuri,anajali humanity,anayeheshimu taaaluma na vipaji na anayeweza kufanya maamuzi ambayo hayatawafanya subordinates au yeyote from periphery kujiskia aibu juu ya maamuzi yaliyochukuliwa na bosi wake.Ninaweza kuona responsible government ya CHADEMA kwa kipindi kifupi kijacho.

Maelewano ya Mwenyekiti,Katibu Mkuu na viongozi wengine,watendaji na wanachama wa CHADEMA ni tunu muhimu kwa watanzania wanaosubiri kwa hamu mabadiliko.Mungu Ibariki CHADEMA,Mungu Ibariki Tanzania.
 
Kila ninaposikia Dr Slaa anaongea napata faraja sana.Natamani kuendelea kumsikiliza.Ni mzalendo.Genukne.Anachukia ufisadi kwa vitendo.Aoonafiki.Mungu amlinde mtetezi huyu qa qanyong wa
Ananikunaje! CHADEMA & Dr wa ukweli Watosha!!!!!
 
Kama Dkt. Slaa ataamua kuchukua form za kuwania uraisi wa JMT kupitia chama chetu nitamuunga mkono bila wasiwasi wowote!
Namuombea kwa Mungu aendelee kumlinda ili aifikishe Chadema katika kilele cha mafanikio.
 
Kumekuwepo na maneno mengi kumhusu DR. W. SLAA, na mimi c mshabiki sana wa majina ya watu lakini Kwa Dr. SLAA.. mnyonge mnyongeni haki yake mpeni... nimeangalia makatibu wakuu na viongozi wote wa vyama vikuu vya siasa nchini toka mwaka 1992.. Nimegundua.. ni DR. SLAA pekee., 1. aliyeweza kujenga chama cha siasa kwa mafanikio makubwa mno na kwa muda mfupi sana bila kuyumbishwa.. mf. kutoka wabunge 5-50 (the figure subjected to increase b4 2015 G. elect) 2. Ndio katibu mkuu pekee wa chama cha upinzani aliyesababisha kuvunywa na kupanguliwa kwa mfumo wote wa chama tawala tokea chini had juu, na kuweka mikakat dhaifu kama kujivua gamba, nk 3. Ni katibu mkuu pekee jasiri, mwenye uwezo mkubwa wa ku handle conflict bila kuvuruga chama(ref. Shibuda, Shonza, Mwampamba etc) na anaejibu hoja kwenye mitandao ya kijamii bila kupepesa macho. 4. Ndie Katibu mkuu peke anaeweza kuja kuwa rais wa tanzania kuelekea 2015. Tafadhal pinga kwa hoja

Pamoja na mambo mengine, namkubali kwa 'thinking and reasoning capacity' yake. Ni mtu aliyeiva na hawezi kuyumbishwa na mtu yeyote. Nilishawahi kumfanya naye mahojiano wakati ule anagombea urais 2010 - ni mtu asiye babaika na ana uwezo mkubwa sana kiakili/kielimu. Actually, Dr Slaa ni 'think tank'.
 
Katibu mkuu wa kwanza kugawa ajira pale Lumumba, kuwaokoa vijana na kuwa "Mapunda" na hatimae kunyongwa huko nchi za mbali.!!
 
Ananikunaje! CHADEMA & Dr wa ukweli Watosha!!!!!
ile clique ya wenye CDM hasa hawatampa tena nafasi ya kugombea huyo Slaa. Nyie mtabwabwaja humu lakini wanaoamua nani agombee urais CDM wapo, siyo nyie. Lakini pia watu wameshaona weakness kubwa aliyo nayo huyo Dr. Sijui kwanini hamwoni kwamba Slaa hafai urais kama ambavyo Magufuli hafai kuwa rais, wanafanana kwenye mambo ya kukurupuka, visasi n.k. Sifa hizi mbaya sana kwa rais!
 
Kila ninaposikia Dr Slaa anaongea napata faraja sana.Natamani kuendelea kumsikiliza.Ni mzalendo.Genukne.Anachukia ufisadi kwa vitendo.Aoonafiki.Mungu amlinde mtetezi huyu qa qanyong wa

Daaa. . . .umenitoa machozi mkuu, huyu mtu ameingia moyoni mwangu aisee
 
Pamoja na mambo mengine, namkubali kwa 'thinking and reasoning capacity' yake. Ni mtu aliyeiva na hawezi kuyumbishwa na mtu yeyote. Nilishawahi kumfanya naye mahojiano wakati ule anagombea urais 2010 - ni mtu asiye babaika na ana uwezo mkubwa sana kiakili/kielimu. Actually, Dr Slaa ni 'think tank'.

huyu dr slaa ni hazina kuu ya taifa kwa kweli.
 
Back
Top Bottom