Kuelekea 2015, Dr. SLAA kuandika historia.

Kuelekea 2015, Dr. SLAA kuandika historia.

na ndiye katibu mkuu pekee aliyeweza kuwataja mapanyabuku wanaotafuna kwenye ghala la Taifa bila kupepesa macho , pamoja na mikwala yote hakuna hata mmoja aliyekwenda mahakamani !

kama kuna mchunguzi wa lugha teyari kishajuwa kwamba hii nayo ni kaskaz.
 
Ndoto sio lazma uote usiku hata mchaana unaota pia,Kwa utash upi alionao mpaka aje kuwa Rais wa Tz,fanya utafti utagundua hata umaarufu aliokuwa nao 2010 na sasaa umeporomoka sana na n baada ya kutopima kipi aseme kwenye media na kip asiseme,angalia issue ya PK bado hyo haitosh kawalau watu wa din wasiombee Tz aman kuwa n wanafki,,,,,,,ooh ndo nn hko anafanya?kalisaliti kanisa hashindwi tusaliti waTz huyo,umri umemtupa awe mshauri tu wa Zitto Kabwe,Mdee na Mnyika.ova.

Maruhani yamewapandia shindwa ibilisi
 
mwisho mtoa mada anaposema PINGA KWA HOJA.
mimi nataka ni muulize kama ana uhakika na kile alichokileta kwa 100%,sasa kwa nini anawekea mashaka? au kwanini anaonekana kana kwamba ana akiba ya maneno ukweli ni huu.
mtoa mada anasifia mkimbizwaji anamsahau anaekimbiza.mimi naona cdm kime take advantage kwa sababu 5
1 contradiction between ccm them selves
2 domans of kikwete leadership
3 intervation of some religional leader especial....
4 secret aids from abroad
5 media propergation.
sasa kuhusu slaa kuvunja record ktk mambo yote ulio yataja hayana ukweli ndani yake.
1) chama hakina mafanikio yoyote.mpaka sasa hakina ofisi yake.hata ile ya mtaa wa ufipa mmepanga, na kama ni ya cdm tonaomba hati miliki hapa jf.
2)hao wabunge utakuwa unajidanya kama utazumza tanzania nzima kwa sababu cuf inao wabunge wa jamhuri na wabunge ktk b/la wwkilishi znz.ambao kwa ujumla ni cdm mara2.
3)ccm reform as adeologe bearing out the skin,this is the only matter of time due to contradict as i mention above.
 
Hata mwenyekiti hajafanya lolote kabisaaa wala wanachama ni Dr pekee yakeee
 
mataka nimalizie nukta mbili zilizobaki.
1)slaa hana ushujaa wowote.kama angekuwa shujaa asingekuwa anafukuza watu kwenye chama ambao wamechaguliwa kidemocrasia.wala asingekuwa analalamika kwamba roho yake inawindwa. au labda wewe ushawahi kumsikia katibu gani tangia 1992.
mwisho kama unategemea slaa kuwa rais andika"umeumia"mpaka sasa kuna watu wamejipanga kugombea kupitia cdm,na kama democrasia itafuatwa jamaa lazima apigwe chini.
kuhusu urais mi nakuomba muandae namna ya kulalamika hiyo ndio nafasi iliobaki,kama tshangilai.
 
Well said. Anayesema sijui baba wataifa........ Mbona alishasema kuwa kikwete hafai kua raisi........ Kajifia na propaganda zake.
 
Kwa mzalendo yeyote hata walioko ccm wanamkubali kwamba ni kiongozi bora tuliyenaye Tanzania, kwa wale wote wasio wazalendo wanaangalia vyama vyao tuu na kumkashifu, kiukweli huyu Dr anafaa sana kuwa rais wa nchi hii na kuweza kusukuma mbele maendeleo ya nchii hii
 
Kwa mzalendo yeyote hata walioko ccm wanamkubali kwamba ni kiongozi bora tuliyenaye Tanzania, kwa wale wote wasio wazalendo wanaangalia vyama vyao tuu na kumkashifu, kiukweli huyu Dr anafaa sana kuwa rais wa nchi hii na kuweza kusukuma mbele maendeleo ya nchii hii

Kwa leo nimeamua kugawa like tu. Ebu kula LIKE mkuu wacha iwe mbaya!!!!!!!!!??
 
Historia itakayoachwa na Dr Slaa ni kuwa rais kivuli kwa muda mrefu.
 
Tuzidi tu kumwombea mungu amlinde na ampe afya njema,
haki siku zote itashinda udhalimu.
VIVA CHADEMA 2015
 
kama kuna mchunguzi wa lugha teyari kishajuwa kwamba hii nayo ni kaskaz.

umebugi mkuu , mimi natoka KYELA MBEYA mwisho kabisa wa nchi , cdm imesambaa nchi nzima , AIBU KUBWA IKUANGUKIE WEWE NA WANAOKUTEGEMEA
 
kama kaskazini siyo shm ya Tz basi hatokuwa
Hivi ni lini na wapi Hayati Baba wa Taifa alinena eti Rais hawezi tokea eneo fulani nchini? Mbona CCM bila haya wanapotosha alichokuwa anahubiri?
Mimi nimeishi kipindi Nyerere hajawa Rais, alipokuwa kiongozi, alipostaafu hadi sasa; nakiri sijawahi kumsikia akihubiri haya.
CCM ni wanafunzi wa ovyo kabisa wa maadili ya mwasisi wa chama chao - Mwl. Nyerere kwani wamekuwa ndiyo vinara wa kupotosha kila alichowanasihi kabla ya kifo chake.
Aliwaonya dhidi ya ubaguzi wa aina yoyote, iwe wa ukabila, mahali mtu anakotoka, au hali yake na alisema waziwazi kwamba ubaguzi ni sawa na 'kula nyama ya mtu' lakini leo ndiyo vinara wa kuhubiri ubaguzi! Wanabaguana wao kwa wao, wao dhidi ya wenye mawazo tofauti kama wapinzani, na hata eneo dhidi ya eneo!
Naona wamekula laana yao na wasubiri kusambaratishwa na wapinzani, tena kwa kishindo. Wamelewa na sasa wanapanda majukwaani na kuanza kumkashifu kama alivyofanya kifaranga wao; yule mlevi wa madaraka ya umeya wa ilala Jerry Silaa alipokejeli ujamaa na kunena uongo dhidi ya sera zile.
Watanzania wameshalaghaiwa na wahuni hawa siku nyingi sasa, naona imetosha na tu awaambia CCM; "HATUDANGANYIKI"
 
Back
Top Bottom