Kuelekea 2015, Dr. SLAA kuandika historia.

Kuelekea 2015, Dr. SLAA kuandika historia.

Ni Katibu Mkuu pekee mwenye umri wa miaka 68 na ana mtoto mchanga mwenye umri chini miaka 2!!

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Slaa hakuijenga chadema, mjenzi wa chadema ni Zitto Kabwe, kabla ya ujio wa Zitto Kabwe chadema ilikuwa haijulikani.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
 
mwisho mtoa mada anasema PINGA KWA HOJA.
mimi nataka ni muulize kama ana uhakika na kile alichokileta kwa 100%,sasa kwa nini anawekea mashaka? au kwanini anaonekana kana kwamba ana akiba ya maneno ukweli ni huu.
mtoa mada anasifia mkimbizwaji anamsahau anaekimbiza.mimi naona cdm kime take advantage kwa sababu 5
1 contradiction between ccm them selves
2 domans of kikwete leadership
3 intervation of some religional leader especial....
4 secret aids from abroad
5 media propergation.
sasa kuhusu slaa kuvunja record ktk mambo yote ulio yataja hayana ukweli ndani yake.
1) chama hakina mafanikio yoyote.mpaka sasa hakina ofisi yake.hata ile ya mtaa wa ufipa mmepanga, na kama ni ya cdm tonaomba hati miliki hapa jf.
2)hao wabunge utakuwa unajidanya kama utazumza tanzania nzima kwa sababu cuf inao wabunge wa jamhuri na wabunge ktk b/la wwkilishi znz.ambao kwa ujumla ni cdm mara2.
3)ccm reform as adeologe bearing out the skin,this is the only matter of time due to contradic as i mention above.NTAMALIZIA.
 
Dr Slaa kafanya kazi kubwa kuimarisha upinzani Tz na kuikosoa na kufunua maovu ya ccm. Hakika 2014/2015 kitaeleweka. Ccm mmetunyonya vya kutosha tukiwaachia mmtakuja na kodi ya kichwa na matiti tax.
 
Yaani Dr Slaa yupo ki modern zaidi, kwa wale wataalam wa Electrical and control engineering tunasema yupo ki digital control zaidi

Mkuu kama ulipitia Coet,ECSE UDSM.
utakuwa ulipiga Nyumba ya CS 421,Modern Control Engieering ya Ndimba.
Yaan Dr. Slaa ni full kuwa Z - Transform Magamba
 
Slaa hakuijenga chadema, mjenzi wa chadema ni Zitto Kabwe, kabla ya ujio wa Zitto Kabwe chadema ilikuwa haijulikani.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.

Kesho nasikia ni Idd mosi,nadhani akili yako itatulia
 
ile clique ya wenye CDM hasa hawatampa tena nafasi ya kugombea huyo Slaa. Nyie mtabwabwaja humu lakini wanaoamua nani agombee urais CDM wapo, siyo nyie. Lakini pia watu wameshaona weakness kubwa aliyo nayo huyo Dr. Sijui kwanini hamwoni kwamba Slaa hafai urais kama ambavyo Magufuli hafai kuwa rais, wanafanana kwenye mambo ya kukurupuka, visasi n.k. Sifa hizi mbaya sana kwa rais!

Taja rais mwenye sifa nzuri bila dosari TZ, taja. Wote tunaudhaifu wa kibinadamu ijapokuwa ukweli Slaa yuko safi kuliko marais wengi waliopita TZ.
 
mataka nimalizie nukta mbili zilizobaki.
1)slaa hana ushujaa wowote.kama angekuwa shujaa asingekuwa anafukuza watu kwenye chama ambao wamechaguliwa kidemocrasia.wala asingekuwa analalamika kwamba roho yake inawindwa. au labda wewe ushawahi kumsikia katibu gani tangia 1992.
mwisho kama unategemea slaa kuwa rais andika"umeumia"mpaka sasa kuna watu wamejipanga kugombea kupitia cdm,na kama democrasia itafuatwa jamaa lazima apigwe chini.
 
Jmani hamjui dokta kiboko mpaka magamba nao wakaiga et wakamwita wakwao docta ili wtanzania wajue ndo yuleyule.hujaona na kombat wameanza kuiga pia?
 
chadema imesheni vitu adimu.hebu angalia Mh Mbowe alivyojaa hekima busara na ujasiri.Tizama kazi anayofanya Lissu.Mnyika et al...pure quality guys
 
Taja rais mwenye sifa nzuri bila dosari TZ, taja. Wote tunaudhaifu wa kibinadamu ijapokuwa ukweli Slaa yuko safi kuliko marais wengi waliopita TZ.

unapo funga bahasha ya marais. slaa ni raisi wa nini?

mimi sijamjua rais anaeitwa slaa, ni rais wa kitu gani?
 
Mkuu slaa ataandika historia ya kuporomoka kama nyumba iliyojengwa vibaya.
 
chadema imesheni vitu adimu.hebu angalia Mh Mbowe alivyojaa hekima busara na ujasiri.Tizama kazi anayofanya Lissu.Mnyika et al...pure quality guys

We utachekwa na watu,mbowe anabusara gan yule,Lissu nae hakuna ktu pale,Labda mnyika ujana unambeba,Slaa ndo tofali la kuchomwa.
 
Slaa hakuijenga chadema, mjenzi wa chadema ni Zitto Kabwe, kabla ya ujio wa Zitto Kabwe chadema ilikuwa haijulikani.Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Kumbe unaipenda chadema ee! endelea mama huo ndo uzalendo
 
Dr Slaa kafanya kazi kubwa kuimarisha upinzani Tz na kuikosoa na kufunua maovu ya ccm. Hakika 2014/2015 kitaeleweka. Ccm mmetunyonya vya kutosha tukiwaachia mmtakuja na kodi ya kichwa na matiti tax.

mbona hamtaji maendeleo ya chama.au nyie mnaridhika pindi chama kikuu cha upinzani kinapokuwa na ofisi kama za matapeli?
hadi leo cdm mikoani wana ofisi za kupanga unaweza kusema labda wanajijua kwamba siku yoyote wanaweza kuchuja
 
chadema imesheni vitu adimu.hebu angalia Mh Mbowe alivyojaa hekima busara na ujasiri.Tizama kazi anayofanya Lissu.Mnyika et al...pure quality guys

wakati kule hai dj anatoa sound track na huku mbeya mjini kuna mc anatoa voko.
mi naona hiyo ndo busara unayo isema.
 
Taja rais mwenye sifa nzuri bila dosari TZ, taja. Wote tunaudhaifu wa kibinadamu ijapokuwa ukweli Slaa yuko safi kuliko marais wengi waliopita TZ.

Kwani SLAA ni rais mbona mawazo yako tofauti na jina lako!!!

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Dk Slaa ni katibu wa sayari nyingine hatumtendei haki kumlinganisha na makatibu wengine....
 
Slaa hakuijenga chadema, mjenzi wa chadema ni Zitto Kabwe, kabla ya ujio wa Zitto Kabwe chadema ilikuwa haijulikani.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Unalopoka wewe, unampenda zitto sema tu vile hajaoa, unaweza bahatisha.
 
Back
Top Bottom