Kuelekea 2015, Dr. SLAA kuandika historia.

Kuelekea 2015, Dr. SLAA kuandika historia.

Siku ukiwa na hoja, dunia itachanika. After 50 years of absolute poverty bado unahoja wewe??? ufisadi ndo zenu

Jisahihishe, absolute poverty tuliokuwa nayo wakati wa Nyerere, Mwinyi na Mkapa. Kikwete katutoa huko.
 
Miaka 2 ilyobaki itaweza kumjemga au kumbomoa. Matukio yatakayojiri ndiyo determinat factors katika kushinda au kushidwa kwa yeyote au chama chochote
 
Kweli Dr Slaa ataandika historia ya kuangushwa vibaya. Kila mmoja anajua Slaa amelewa sifa na si kwamba ni kiongozi mzuri, uzuri upo kwenye mdomo tu. Huwezi mfananisha slaa na mbowe au zito kisera zaidi ataleta fununu za kusikia kama ufisadi, mauaji ya mwangosi na kung'oa kucha na meno no issues
 
Back
Top Bottom