Kuelekea 2015, Dr. SLAA kuandika historia.

Kuelekea 2015, Dr. SLAA kuandika historia.

Dr. ..the real man in action always fit for definite steps ..in him,we trust!
 
na ndiye katibu mkuu pekee aliyeweza kuwataja mapanyabuku wanaotafuna kwenye ghala la Taifa bila kupepesa macho , pamoja na mikwala yote hakuna hata mmoja aliyekwenda mahakamani !
 
Ndoto sio lazma uote usiku hata mchaana unaota pia,Kwa utash upi alionao mpaka aje kuwa Rais wa Tz,fanya utafti utagundua hata umaarufu aliokuwa nao 2010 na sasaa umeporomoka sana na n baada ya kutopima kipi aseme kwenye media na kip asiseme,angalia issue ya PK bado hyo haitosh kawalau watu wa din wasiombee Tz aman kuwa n wanafki,,,,,,,ooh ndo nn hko anafanya?kalisaliti kanisa hashindwi tusaliti waTz huyo,umri umemtupa awe mshauri tu wa Zitto Kabwe,Mdee na Mnyika.ova.
Itakuumeni sana lakn Daktari Slaa ndio chaguo la RIKA zote HUTAKI UNAACHA
 
Naungana na mchokoza mada na comments za RockSpider. Kila mafanikio yana kinara wake. Hatukatsi,CHADEMA kimejengwa kwa nguvu za wengi,wanachama na wafuasi.Kuna nafasi ya waasisi kama Mzee Mtei,Brown Ngwililupi, Medard Mtungi,aBob Makani na wengine. Walianzisha na kukisimika chama kwa sera na katiba ambazi ziliwagusa na kuwavutia wengi akiwamo hayati baba wa taifa. JKN aliwahi kukiri wazi juubya umakini wa CHADEMA.
Wapo waliokuwa pamoja na waasisi hawa ktk hatua za mwanzo lkn wakakata tamaa na kurudi CcM,kumbukumbu zangu zinamtambua aliyekuwa mbunge na waziri ktk awamu zote 4 za utawala wa nchi hii toka Mufindi,akitajwa kuwamo ktk CHADEMA lkn baadae akarudi kwa chama kizee. Huyu na wengine walirudisha harakati zetu nyuma,bila shaka alitishwa na maneno kuws uraia wake na uhalali wa ukwasi wake vilitiliwa shaka.
Walijitokeza warithi wa waasisi wa CHADEMA,kina Zitto,Mbowe,na Dr wa ukweli. Hawa wametenda kazi zao kwa umakini,bungeni,ktk majimbo yao na ktk jukwaa la mapambano ya hoja. Wamekuwa best models,na kuwavuta hili kundi kubwaaa la vijana machachari na makini,ndio sababu CHADEMA kimefikaktk kiwango cha kuaminiwa kushika dola.
Angalizo kuwa tusibweteshwe na hatua hii,tukadhani tumeshafika,bali tuongeze bidii. Kaxi bado haijaanza.
Mambo 2 yanapaswa kutufunza kuwa CcM wana roho ya paka shume jizi,usiridhike kuwa umeliua hadi uwe umetenganisha kichwa na kiwiliwili.
Kwanza ni ktk uchaguzi wa wawakilishi wetu kuunda mabaraza ya katiba ya wilaya. CcM walituzidi kete,wakawapitisha watu wao tu japo wengi ni semi literate na kuwaengua wana CHADEMA ambao wengi ni vijana na wasomi. Imetokea kata za Kibaoni na Ifakara,Kilombero na wilaya zingine.
Kilichotokea Kibondo ktk kuwachagua Meya na Naibu wake juzi.
Haya ni masomo tosha kwetu kuwa tuna kaxi ya kuwaelimisha mbumbumbu walio na fikra kuwa CcM bado ni baba yao. Tunapaswa kuwaandaa vijana hasa walioko sekondari na mitaani wajiunge na CHADEMA,waimaridhe BAVICHA huko waliko,na wajiandikishe kuwa wapiga kura,na siku ya uchaguzi wakakichague CHADEMA.
Huku Ifakara,juhudi hizi zinaonyesha matunda baada ya kunyakua kiti cha udiwani kata ya Ifskara. Kinachofuata ni udiwani kata ya Kibaoni tayari iuchukua kata zote na jimbo/majimbo mwaka 2015.
Mwenyekiti wetu wa mkoa,mama Susana Kiwanga,mjukuu wa TOVEGALE,anzisha vuguvugu la kukijenga chama,Kilombero,Ulanga na mkoa wote.
CHADEMA daima
 
Ni katibu mkuu pekee aliyewahi kuwa padri pia ni katibu mkuu pekee aliyepekekwa mahakamani kwa kesi ya ndoa pia ni katibu mkuu pekee ambaye amefanikisha ex wife wake kuwa mbunge wa viti maalumu pia ni katibu mkuu pekee mwenye PhD pia ni katibu mkuu pekee aliyeita msaidizi wake sisimizi ni katibu mkuu pekee mwenye ndoto za kuwa rais hata kama anajua ukweli kabisa kuwa jambo hilo ni sawa na mbingu na Ardhi kukutana
 
Kina Mwigulu wakiona comment kama hizi wanapasua key board za computer zao utafikiri ndiyo zimekosea
 
Ndo mana kila siku hamy-D hakosi kumuandikia propaganda that man is very succesful

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ni katibu mkuu pekee aliyewahi kuwa padri pia ni katibu mkuu pekee aliyepekekwa mahakamani kwa kesi ya ndoa pia ni katibu mkuu pekee ambaye amefanikisha ex wife wake kuwa mbunge wa viti maalumu pia ni katibu mkuu pekee mwenye PhD pia ni katibu mkuu pekee aliyeita msaidizi wake sisimizi ni katibu mkuu pekee mwenye ndoto za kuwa rais hata kama anajua ukweli kabisa kuwa jambo hilo ni sawa na mbingu na Ardhi kukutana

nimekutukana tusi kubwa kuliko yote duniani ....nadhani umenielewa.....
 
Ndo mana kila siku hamy-D hakosi kumuandikia propaganda that man is very succesful

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

nimejiapiza sita jibu au kucoment thread ya huyu taka taka anayejiita h. d....
 
siyo Dr Slaa pekee mwenye kustahili sifa za kuijenga CDM, ni jumla yetu sisi, mimi na wewe na juhudi za dhati za akina Ben, Mwanakijiji et zilizoifikisha CDM hapa ilipo...Kazi ni kubwa mbele yetu maana CCM inalindwa na fedha za wawekezaji wenye kutuubia madini yetu, hizo MNCs zimejiwekea bajeti ya matrilioni ya kuhonga uchaguzi ili wamweke mtu wamtakao...Narudia tena sasa ni wakati wa CDM kujipanga na si kusherehekea maana kazi iliyoko mbele yetu ni kubwa sana. tusitarajie kampuni kama Mantra ya George Bush, Symbion, Barrick na sasa nasikia Exxon nayo inaingia Mtwara thru Sysmbion watakubali kirahisi CCM itoke madarakani kirahisi - chaguzi iliyopita Barrick walitoa kiasi kikubwa sana cha fedha, waangalizi wa uchaguzi walikuwa pale kuhakikisha CCM inashinda kwa gharama yoyote ile ndiyo maana mtandao mpaka leo umechanganyikiwa kwa kushindwa kutoa idadi ya kura zilizopigwa...Pia wagombea wa Upinzani huwa wanahongwa wakati mwingine ili wasigombee ama wakubali kushindwa!!! Kazi ipo...tusi mwachie Mbowe, Slaa et al ukombozi wa Taifa letu ... Tushirikiane mimi na wewe na wengineo ili hatimae dhahabu zetu, almasi zetu, Gesi yetu na rasilimali zetu zitunufaishe sis Watanzania kwanza...

Kwa kuongezea, helcopter iliyokuwa ikitumika na Kikwete kwenye kampeni alipewa na Barrick! Tunatakiwa tufanye kazi ya ziada sana.
 
2015 magamba mtaniua aisee nitakavyolinda kura kumpeleka Dr wa ukweli pale white house(magogoni).
 
Kumekuwepo na maneno mengi kumhusu DR. W. SLAA, na mimi c mshabiki sana wa majina ya watu lakini Kwa Dr. SLAA.. mnyonge mnyongeni haki yake mpeni... nimeangalia makatibu wakuu na viongozi wote wa vyama vikuu vya siasa nchini toka mwaka 1992.. Nimegundua.. ni DR. SLAA pekee., 1. aliyeweza kujenga chama cha siasa kwa mafanikio makubwa mno na kwa muda mfupi sana bila kuyumbishwa.. mf. kutoka wabunge 5-50 (the figure subjected to increase b4 2015 G. elect) 2. Ndio katibu mkuu pekee wa chama cha upinzani aliyesababisha kuvunywa na kupanguliwa kwa mfumo wote wa chama tawala tokea chini had juu, na kuweka mikakat dhaifu kama kujivua gamba, nk 3. Ni katibu mkuu pekee jasiri, mwenye uwezo mkubwa wa ku handle conflict bila kuvuruga chama(ref. Shibuda, Shonza, Mwampamba etc) na anaejibu hoja kwenye mitandao ya kijamii bila kupepesa macho. 4. Ndie Katibu mkuu peke anaeweza kuja kuwa rais wa tanzania kuelekea 2015. Tafadhal pinga kwa hoja


Huo ni ukweli 100%!
 
Rais atoke kaskazin?!! Ngoja tumwulize baba wa taifa
J.K. Nyerere alitokea Butiama na kwa ufahamu wangu Mkoa wa Mara uko kaskazini mwa Tanzania, hivyo hakuna mwiko wa Rais kutokea Kaskazini. tafadhali tafuta hoja nyingine.
 
mimi leo hii mida ya saa kumi nimefanikiwa kumsalimu raisi wangu mtarajiwa tena nyumbani kwake....kwa kweli lijisikia kuwa na faraja kubwa sana ndani ya moyo wangu na siku yangu ya leo imekuwa nzuri sana mpaka saizi nina raha sana.
 
Back
Top Bottom