Kudate na watoto wa kishua

Kudate na watoto wa kishua

Kuna katoto kakishua hivi nimepotezana nako wazee dah inauma kinoma yani hata sijala ila nitakatafuta tu ngoja kamalize shul..! 30 mingi sana.
 
Ukimshika huwa hawachomoi hata kucheat hawawezi ila sema wana maisha ya kwenye video Sana na utoto mwingi
 
Niliwahi kukabirika kitoto Cha kishua alafu kikashindwa kutembea,
Wazazi wake walinitafuta ila hawakunipata, ni stori ndefu,


Kama wazazi wake wapo humu nawaomba mjue kuwa aliyem,birika mtoto wenu sio Mimi,

Nimeandika tu
 
usinikumbushe nilivyo jifanya nmepotelewa na kuku mpk ikafika siku nkamrusha kuku wangu kweny fensi yao nkamfata nkamkuta mma yke getini akamuita ye akatoka kwenda dukani mpk anarud nxhamalza kazi

Ikawa ndyo njia coz tuko jrani ,siku hyo nkamrusha tena kumbe mbwa wao ajafungwa alivyo mfanya yule kuku mpk nkapata hasra

ila bdae nilkuja kusepa pale na hakua na simu yeye
 
Bongo hakuna mshua proper.

Mpaka uchifu Nyerere aliusambaratisha, hata kina Marealle na Makwaia nao wamejimix.

Mshua inatakiwa ukoo wote uwe wa kishua. Tangu ka la ya uhuru.

Sasa unaambiwa huyu kwao washua wakati ushua wa kusomeshwa na Nyerere juzi hapa?

Basi tu watu wanajimwambafy na kusonona bure.
Dah bongo zozo kwenye jukwaa
 
Kuna katoto kakishua hivi nimepotezana nako wazee dah inauma kinoma yani hata sijala ila nitakatafuta tu ngoja kamalize shul..! 30 mingi sana.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kula uliwe kichwa, unakula k.. unaliwa kichwa yaani k... kwa k...
 
Niliwahi kukabirika kitoto Cha kishua alafu kikashindwa kutembea,
Wazazi wake walinitafuta ila hawakunipata, ni stori ndefu,


Kama wazazi wake wapo humu nawaomba mjue kuwa aliyem,birika mtoto wenu sio Mimi,

Nimeandika tu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
usinikumbushe nilivyo jifanya nmepotelewa na kuku mpk ikafika siku nkamrusha kuku wangu kweny fensi yao nkamfata nkamkuta mma yke getini akamuita ye akatoka kwenda dukani mpk anarud nxhamalza kazi

Ikawa ndyo njia coz tuko jrani ,siku hyo nkamrusha tena kumbe mbwa wao ajafungwa alivyo mfanya yule kuku mpk nkapata hasra

ila bdae nilkuja kusepa pale na hakua na simu yeye
 
Bongo hakuna mshua proper.

Mpaka uchifu Nyerere aliusambaratisha, hata kina Marealle na Makwaia nao wamejimix.

Mshua inatakiwa ukoo wote uwe wa kishua. Tangu kabla ya uhuru.

Sasa unaambiwa huyu kwao washua wakati ushua wa kusomeshwa na Nyerere juzi hapa?

Basi tu watu wanajimwambafy na kusonona bure.

Mkuu hivi kuna jambo umewahi kukubaliana nalo kweli bila ubishi wa hapa na pale? [emoji23][emoji23]
 
Mkuu hivi kuna jambo umewahi kukubaliana nalo kweli bila ubishi wa hapa na pale? [emoji23][emoji23]
Ninayokubaliana nayo sijibu sana.

Naona JF ni sehemu ya kubadilishana mawazo, mara nyingi huwa nagonga like kwenye mambo ninayokubaliana nayo.

Kwa sababu yakishaelezwa ninavyoona mimi, umuhimu wa mimi pia kuchangia unapungua sana.

Pale ninapoona kuna utofauti kidogo na mawazo yangu, au hata ninapokubaliana napo na kuona nina cha kuongezea, hususan kutilia nyama stories, huwa natiririka.

Kitu muhimu kabisa si kama nakubaliana au sikubaliani.

Kitu muhimu kabisa ni kuangalia kama nina point, nina ukweli, nina mambo ya msingi, au sina.
 
Huyu manzi wangu ananifanya nipambane maana nisipoonesha dalili za kujiongeza hakika nitanyimwa mke.
Kananipenda ila 😎
 
Huyu manzi wangu ananifanya nipambane maana nisipoonesha dalili za kujiongeza hakika nitanyimwa mke.
Kananipenda ila [emoji41]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mi nshamwambia mahari ikiwa kubwa ntamkosa
 
Back
Top Bottom