Jstar1
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 1,392
- 1,418
Asee nsiseme sana msoto wa hapa sijui ni mimi peke yangu. Ila watu tunaodate na hawa watoto tunavumilia sana.
Kutoka mpaka adanganye napo mara nyingi atakataliwa kutoka, yaani usiombe, anakupa ahadi kibao alafu hatokei.
Na akifanikiwa kutoka anapewa mda maalum wa kutoka, na hii nafasi waga wanaitumia vizuri haswa na akiondoka mpaka aje kurudi aisee so poa.
mara akinenepa makalio wazazi wake wampge beat, kuna mtoto mmoja akinywa maziwa ananenepa makalio basi wazazi wake wanazingua ety asitumie maziwa na mimi akija nakazia anywe ya kutosha.
Wazee tunaodate na hawa watoto kazi tunayo, kama kuna mtu aliwai kumdate mtoto wa kishua nae atupie kisa chake hapa...
Kutoka mpaka adanganye napo mara nyingi atakataliwa kutoka, yaani usiombe, anakupa ahadi kibao alafu hatokei.
Na akifanikiwa kutoka anapewa mda maalum wa kutoka, na hii nafasi waga wanaitumia vizuri haswa na akiondoka mpaka aje kurudi aisee so poa.
mara akinenepa makalio wazazi wake wampge beat, kuna mtoto mmoja akinywa maziwa ananenepa makalio basi wazazi wake wanazingua ety asitumie maziwa na mimi akija nakazia anywe ya kutosha.
Wazee tunaodate na hawa watoto kazi tunayo, kama kuna mtu aliwai kumdate mtoto wa kishua nae atupie kisa chake hapa...