Jstar1
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 1,392
- 1,418
- Thread starter
- #21
mzee ni balaa tupu, yaani usiombe alafu sijui kmeniroga ata kukiacha sieziMtoa Mada umenikumbusha kitu Kazi kweli kweli wanamapenzi ya ajabu na wanapata shida kuya express kwa mlengwa na matendo wanaofanya unajua kabisa wanafosi ukaribu hawajui kuset matukio wagen kweny sekta yupo mmoja namuitwa Miss annoying kakataa kukaa kwao eti na yeye anajaribu kupanga aanze life
Ukitoka nje akijua upo nje atatoka nje ajifanye anaanika nguo anajisahau [emoji23] unakuta ananiika hadi nguo chafu akikuona
Umeshika mzinga anageuka mshaur nasaha wana tabu sana watu tumekuja kujificha mbali na dunia [emoji16] kama wakimbinzi unaleta pigo sizo
Hawa ndo wanakuaga na mapenz ya tamthiliya bora Wale wa local watoto wa kipwani wakina mwajuma hatar Sana try them at your own risk