LE GAGNANT
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 1,241
- 251
Mambo ya dunia ya sasa hayo. Hakuna haja ya kushangaa, yazoeleke tu. Utandawazi haubagui pahala, waache wajivinjar kwa raha zao. Kwani kuna shida gani jamani?
She is cute!
<br />nchi hii ina vichaa wengi sana lakini degree ya uchizi kwa mastaa wetu ni ya juu sana..
Wana PhD ya utahira.nchi hii ina vichaa wengi sana lakini degree ya uchizi kwa mastaa wetu ni ya juu sana..