Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 61,744
- 155,602
Du! Nimecheka ghafla.Actually nguo nzuri zote huwapendeza watu warefu.
Nguo pekee zinazowapendeza watu wafupi ni msuli na kanzu.
Kwa kifupi kitambi kinaondoa kabisa muonekano mzuri kwa mwanamme.......si kwa mfupi wala mrefuActually nguo nzuri zote huwapendeza watu warefu.
Nguo pekee zinazowapendeza watu wafupi ni msuli na kanzu.
Ahahahahahahahahhahahahna yenyewe ni kadeti?
Wakuu wa jukwaa hili la utanashati habari za mida hii.
Kama kichwa cha habari kilivyo, naomba kufahamishwa juu ya hilo swali nikivaa kadeti then nikachomekea na shati, kuna jamaa wanadai kadeti huwa haitakiwi kuchomekea shati .
Kwangu napata wakati mgumu maana nikichomekea ndio naona nimetokelezea Hii hali naona inajitokeza hata kwenye kuvaa jeans na kuchomekea naombeni mawazo kwenye kipengele cha utanashati hii ishu imekaaje ili nitokelezee zaidi.
Hahaaa... umesema kweli lakini... watu warefu kwenye mavazi tumebarikiwaActually nguo nzuri zote huwapendeza watu warefu.
Nguo pekee zinazowapendeza watu wafupi ni msuli na kanzu.
Actually nguo nzuri zote huwapendeza watu warefu.
Nguo pekee zinazowapendeza watu wafupi ni msuli na kanzu.