Kuchomekea kadeti ni ushamba?

shirts.jpg

Inachomekewa Jeans, itakua Kadeti?
 
Wakuu wa jukwaa hili la utanashati habari za mida hii.

Kama kichwa cha habari kilivyo, naomba kufahamishwa juu ya hilo swali nikivaa kadeti then nikachomekea na shati, kuna jamaa wanadai kadeti huwa haitakiwi kuchomekea shati .

Kwangu napata wakati mgumu maana nikichomekea ndio naona nimetokelezea Hii hali naona inajitokeza hata kwenye kuvaa jeans na kuchomekea naombeni mawazo kwenye kipengele cha utanashati hii ishu imekaaje ili nitokelezee zaidi.


Mimi sitaki kuamini usemacho.Huyo anaesema kadeti haichomekewi ni nani? Hata ukiacha hiyo nadharia ya "Be you", bado kwenye ulimwengu wa fashen suruali hii inakamata sana.Mwenyew umepost picha hapo za hao watanashati.

Usikute umezengukwa na wale watu wa kuvaa nguo za wapuliza tarumbeta. Siku hizi google tu utapata kujua nini kina trend.
 
Jamani mimi ni mrefu wa wastani, yani ni mrefu lakini siyo super tall.Kinachonikera ni umbo la kubinuka. Yani sinyooki, hivyo, hata kama sina kitambi kitumbo kinafyatuka na kuonekana kama kitambi.Hali hii inanikera sana.

Kila nikikipigia mazoezi wapi.Kinaniharibia pozi la kuulamba sana, shenzy type.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom