Eeeeh hulazimishwi kuniamini. Endeleeni kujiendekeza tu, tutawaelekeza ofisi za mkemia zilipoumeanza kuingiza bongo muvi hapa.
Ndio muache hiyo tabia mbaya ya kusema kwa marafiki, wanaume mnakuwaje wambea hivyo ala!!!!Aa wap hakuna lolote zaidi yakujidhalilisha ajue wale anaosema kwamba wanajua hawawezu kutunza sili isipokuwa kila wanapolala nae lazima waseme kwa marfki
hahah sijaanzia mwanzo comments nyingi sanaUlivyojibu kinyonge sasa!! Soma trend ya comments utajua kinachoendelea, wala usiumie sana shangazi.
Mtuombee tu jamani.Mkuu kwa comments zako, nimekuwa mdogo kama pistons. Collabo mlio ipiga tangu jana hakuna cha BIGstallion wala Ngoda95 alie weza kujibu. Endeleeni kutunyosha
Mumeo kwani alikukuta bikra?
Eeh kama msemo wao unafanya tu ila asijue. Ndo heshima hiyoNdio nishaona walowaua wake zao baada ya kunogewa na michepuko, wengine hadi huua watoto.
Basi usijali nasi tumejifunza, tukichepuka hatutowaonyesha dharau, tutarudi wepesiii full tabasamu. Yaani na kimbilimbi chako unaambiwa una hogo hajapata ona humu duniani.
Nyie ndio vichwa bwana, akili kama hizi ndio safi kupeana.
Uje uongee hivyohivyo mbele ya watu wanaojielewa,utaona reaction yake,na utaongeza hadi idadi ya wanaume watakaokufuata waje wale mzigo kisirisiri kwasababu ni aibu kua na mwanamke mzinzi badala yakua msaada kwa mumewe.Yaani kama tulikuwa tunafikiria the same, hahahaaa!! Wao si ndio vichwa!! Walete suluhisho maana hata watuchome moto hatuachiii hadi na wao wajitambue.
Hayo ndio maneno shangazi, tumechoka kutia tia huruma huku utamu unatupita.aahhahh shangazi basi acha nimuache apate utamu wake wa hogo la jangombe
Usimshtue hata hafai kwa maneno yake.
Nakuona ulivyofikishwa kileleni na maneno ya jamaa.
Sio jukumu langu kukupeleka shule mkuu. Mlaumu aliyekupeleka! Hapa naandika lugha inayoeleweka na kila mtu..hata mtoto wa nursery anailewa. If you dont understand thats not my problem but yours! Si lazima ujibu usichokielewa. Pita tu hivi....hujanipeleka shule wala hujanilipia ada kama huwezi kuandika kiswahili utulie.
nauhakika ninacho kiandika HACHEPUKI.
We waache wajisahaulishe tu na kujikuta wana akili kuliko alowaumba, wakati mifano yao tunayo mingi tu.#Wapo#
Mmoja niliona star tv, mume na mchepuko wamempiga mke na kumnyonga. Sad
Unaona ni mbwebwe lkn moyoni mwako ukweli unaujua. Mshahara wa secretary hautoshi kunifanya niishi? Kwani kwa mume zaidi ya tendo la ndoa napata nini? Chakula?
Taratiiiibu tu hamtotushangaa tena!! Time ll tell. Hata mbuyu ulianza kama mhicha, so just chill n watch.Wewe unaongelea jamii labda ya watu wa magharibi kwasababu sidhani kama suala la mwanamke na mwanaume kuchukuliwa tofauti katika ufanyaji wa baadhi ya mambo katika jamii zetu hasa za kitanzania,limebadilika,mimi ni mmoja wa watu ambao nime-experience mwanamke anapofanya jambo la aibu hususani la uzinzi husemwa nakuitwa majina yote tofauti na mwanaume,all in all kushindana katika kufanya maovu siyo busara na ni hasara kuoa mwanamke au kuolewa na mume ambaye ukivunja kikombe yeye anavunja sahani,eti kisa anakomoa,huo ni ujinga na sidhani kama yanayoandikwa hapa na wadau hasa wanawake,yanaweza kutamkwa hadharani na jamii ikashindwa kumshangaa mtamkaji.
Mungu anisaidie mke wangu asiwe mmoja wa Collabo yenu.Watu tuna id hadi tatu kwahiyo isijipe matumaini sana kua uko salama.
Kweli ni aibu kuwa na mke mzinzi hata mi nakubali maana hata mimi naona aibu kweli mume akiwa mzinzi!Uje uongee hivyohivyo mbele ya watu wanaojielewa,utaona reaction yake,na utaongeza hadi idadi ya wanaume watakaokufuata waje wale mzigo kisirisiri kwasababu ni aibu kua na mwanamke mzinzi badala yakua msaada kwa mumewe.
Duuuh! atakayefuata ushauri wako,hakika atakua hajui nini maana ya nature na tutachelewa sana kuoa kama ndo hivi kwasababu baadhi ya wanaume watakua wanakula wake za watu na mademu ambao hawajaolewa,na kikawaida mke wa mtu hana gharama,sipati picha vijana wenzangu wanavyofakamia madada au akina mama wenye mtazamo kama wako.Kwakweli huwezi kubishana na asili, mwanamke ukishikwa na ugwadu huku mume anakitembeza nawe kitembeze tu usishindane na nature.
Sio jukumu langu kukupeleka shule mkuu. Mlaumu aliyekupeleka! Hapa naandika lugha inayoeleweka na kila mtu..hata mtoto wa nursery anailewa. If you dont understand thats not my problem but yours! Si lazima ujibu usichokielewa. Pita tu hivi....
Hakuna cha kwenda mochwari wala icu, unaendaje kwamfano na watoto wanamtaka baba yao. Kwanini hawana uvumilivu hivyo jamani, si tuliapa kuvumiliana. Hebu waombe huko!!Mortuary akafanyaje sasa? Haha watuombee tu
Mungu anisaidie mke wangu asiwe mmoja wa Collabo yenu.