As long as sijazaliwa nae hata sitaki kusikia unambebisha mtu ambae haoni thamanj ya mbebisho wako ... Kiruuuu wenye moyo waendelee nishafika kilele cha mlima kilimanjaroDamn!!!
Heaven Sent huu moyo unao?
Usione watu hawajihangaishi na waume zao ujue yamewafika kooni, akiulizia maji anaonyeshwa kwa mguu tu!!
Hili FisadiKuu alilisema.Mume akitaka apate muda wa kuwa na kimada wake lazima aanzishe timbwili nyumbani. Kitu kidogo utafokewa wee ili ujibizane nae apate ticket ya kununa na kuchelewa kurudi nyumbani.
.
.
Dawa yao ni kukaa kimya. Akianzisha timbwili unamuangalia tu, abwabwaje achoke! Na wanaume wa siku hizi sijui wametokea pande zipi yaani wanapenda kununanina na maghubu kama wanawake.
HahahahahaaUnijie na manundu yako ya kufumaniwa, huyo mchepuko akuuguze hukohuko!!!
Huyu mrembo kwakwel apunguziwe adhabu, angalau wengine tupate nafasi ya kuimba nae mapambio inatosha. Ningekua na uwezo wa kufufua ningemfufua huyu mrembo. Imeniuma sana kwakweli.Jamaa aliekuwa nae hastahili kuombewa??? Why mwanamke peke ake???
Hahaa wanavyopenda bar utadhani walizaliwa bar au walinyonyeshwa pombeWacha we!! Kumbe mnajuaga kutia huruma hivi na kutoa ushauri!!
Mpeanage huu ushauri huko bar sio mnajua kuwashauri wanawake tu. Muuishi ushauri wenu.
Mahusiano yawe two way traffic, sasa limtu liko busy na michepuko, wewe unahangaika nae!!!As long as sijazaliwa nae hata sitaki kusikia unambebisha mtu ambae haoni thamanj ya mbebisho wako ... Kiruuuu wenye moyo waendelee nishafika kilele cha mlima kilimanjaro
Mmmh kuna watu wamepata wake wema afu hawawa-appreciateMtu unamkalisha chini basi nieleze wapi nimeenda sivyo na nini kilichokubadilisha mume/ mpenzi wangu niambie heeee mtu anajifokesha "usinipangie jinsi ya kuishi naishi nitakavo na nitafanya nitakavyo kubadilika kwangu hakukuuhusu hela ya matumizi hupati"?sasa kwako nimefata hela ya matumizi au???? .... Na umejinunisha makusudi na kosa lako nikubembeleze ili iweje sasa... Jinunishe ukijisikia kuongea ongea na ukijisikia kurudi ulikotoka rudi tu maana mimi nishasema sitakaa tena nibembeleze mwanaume ... Khaaa jamani mwanamke anaposema amechoka kweli kachoka tunavumilia mengi mjue
nilimtongoza mama mmoja akanipa penzi bila hiyana,,baada ya bao la pili mama kanilalia eti analia eti kaolewa na ana watot wanne hajawahi kukojoleshwa ,,teeeeh,,kidume nikavuta pumzi na jinsi alivyo na wowo tena nikapiga round nne,,,,,,,hadi leo namkuna na anapenda sana,,tukienda hotel naogeshwa napetiwa kama mmewe,,napewa raha kama nan sijui
Kabisa na si mifupaUkila nyama haramu unakula ile iliyo nona.
Kwani kuchepuka ni unaamishia majeshi huko au ni masaa kadha ushajirudia? Au unaita watoto unawaambia naenda kuchepuka? Watoto nalea kama kawaida na sitaonesha tofauti hata ... Tena huyo mdada mvumilivu .. Ni hivii naondoka nabeba mwanangu naenda mlea nina pa kushika mwanangu atavaa na kula vizuri tena kuzidi hata zamani ....Kweli lakini jiulize kwa style hiyo anaye umia nani baba hashikiki na mama umeamua kufanya yako, je kama mna mtoto/watoto mnawawekea mazingira gani kwa baadae??
Yaani acha tu. Na maujinga yoote wanafundishana huko.Hahaa wanavyopenda bar utadhani walizaliwa bar au walinyonyeshwa pombe
Mmmh kuna watu wamepata wake wema afu hawawa-appreciate
Wakome na laana zao.wanataka michangudoa ya kuwashikisha ukuta kupiga simu tigo hahahaa ... Afu anataka mambo anayofanyiwa na michepuko huko ndio na wewe umfanyie ... Kafumua marinda huko anataka na wewe akufumue .. Walai si kwa laana hizo
Lazima zisidumu maana siku hizi ndoa zimekuwa fashioooon fulani nae kaoa .. Fulani nae kaolewa basi tu kuficha umaruni wetuNimesoma comments humu, hakika nimeelewa kwanini ndoa za vijana walio zaliwa kuanzia 90s hazidumu
Hongera kwa kazi
Hahhaha daahKwani kuchepuka ni unaamishia majeshi huko au ni masaa kadha ushajirudia? Au unaita watoto unawaambia naenda kuchepuka? Watoto nalea kama kawaida na sitaonesha tofauti hata ... Tena huyo mdada mvumilivu .. Ni hivii naondoka nabeba mwanangu naenda mlea nina pa kushika mwanangu atavaa na kula vizuri tena kuzidi hata zamani ....
Washindwe walegee na kuneng'eneka huko.Wakome na laana zao.