Kuchepuka raha

Siku hizi wanajiita "wake wasaidizi"
 
Ila kuna wanaume wanaishi kwa tahadhali sana hata kama anachepuka
 

Huwa najiuliza kwa nini mtu apiganie wa mwenzake mpaka kufikia kuua au kuvunja ndoa ya mtu!, halafu wakisha pata wanaishi kwa amani kabisa!
Ama kweli dunia imevaa bukta.
 
Mwanaume wa karne gani anaweza rekebishika? Labda kama ni wa sayari ya Jupiter.... Embu acheni masihara
 
Tena uliyempata bado ajui kitu ungenipata mimi ungeomba talaka kabisa maana ungeona jamaa kama anajubana tu! Na Mimi ninavyopenda dezo!
 
God forbid!!!
 
Yaani kujitoa ufahamu haswaa!
Kama kweli wangekuwa na nguvu kiasi hicho upande mmoja usingeyumba wanapochepuka.
 
Angalia usinase kwa waume za watu mpaka mgsnga wa kienyeji aje kuachilia.Aluta continua bibie kwa raha zako

Sent from my SM-G903F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…