Kuchepuka raha

Mchepuko haujakutia mimba? Kama hujapata mimba je, ikitokea mchepuko ukikupa mimba utamwambia mumeo au utambambikizia watoto wa mchepuko wako?
Kitanda hakizai haramu
 
Lakini unaweza kuta mama yako alifanya hivyo ujue..

CC Heaven Sent
Mama yangu na mimi ni watu wawili tofauti kabisa.
.
.Speaking about my mom...alishaniambia kuwa hajawahi kupata stress kwenye ndoa yake, ni vimatatizo vidogo vidogo vya kawaida sana. Pia hakubaliani na upuuzi wa wanaume tena mimi ni mvumilivu huwa anashangaa nawezaje! I wish angejoin kuchangia hii mada!
 
Dini , kabila , uko
Hapa Tanzania sijui kama hilo ni sawa




Utakuja na kilio kibaya sana nimeshuhudia mambo kama hayo

Hakuna kisasi cha mapenzi
 
I adore your mommy
 
kumkomoa mtu kwa kutoa mwili wako utumike huo ni ujinga ambao nyie wanawake mnadhidi kuprove uwezo wenu c mzuri ............
ni mawazo tu lkn
Hatukomoi, ni kupata tu starehe kama ambavyo huwa mnaipata.
 
Kwahiyo pamoja na hayo matatizo yako madogo madogo (which I'm sure sio makubwa) ulishawahi kuchepuka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…