Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,376
Kuna siku hadi chozi lilinitoka. Taarifa ya habari star tv, mdada almost 28 yrs, mume na mchepuko wake wamempiga then wakamnyonga. Baba wa binti anavyoongea kwa maumivu makali, nikajisemea huyu binti si bora angekuwa amerudi kwao, hapa Alikuwa anavumilia nini na amepata nini mwisho wa siku? Mungu atusaidieMy dear huo uvumilivu wa namna hiyo tuwachie bibi zetu lo!!! wanawake watano hao ndo kazaa nao je ambao hawakuzaaaaaaaiii nacheka kama mazuri.hapo nikufanya maamuzi magumu tu.
Mungu atuepushe,Uzuri wa ngoma ukiipata leo huumwi kesho ,lazima atakuambukiza tu haina jinsi nikuomba Mungu atuepushe
Hahha aisee umenichekesha, kweli Mungu sio Lusajo. Nani kasema anaenda kuchepuka?. Anyway nyie mnavyoenda kuchepuka watoto wanabakigi na kina nani? Afu kuchepuka sio lazima mtu atumie siku nzima, vimasaa vichache tu vinatosha unaendelea na majukumu ya watoto teh
Hahaa kuna watu wanatamani wangekuwa wao ndo wanagawa Ndoa, haki wengine tungenyimwa kabisaaa. Daah kweli Mungu sio mwanadamuRelax ndugu. Ikinishinda haitakuwa mwisho wa dunia! Marriage is not everything in this world.
.
.
Bila ndoa mtoto unapata na penzi unapata. Nini zaidi nitamiss?
.
.
Remember We Only Live Once!
Hiyo sio rare kama unavyosema. Kuna ndoa zipo kwenye hali mbaya we hujui tu. Na wanawake ni wavumilivu sana wapo tu wanavumilia ht wazo la kuchepuka hana!Hiyo ni rare case demi, uchepukaji wa huyo mzee sio wa mtu timamu, najua hakuna uchepukaji timamu. Ila na nyie muwe mnajiuliza inakuwaje mtu aliyekuwa anakupenda sana hadi akakuoa ameanza kutafuta wanawake wengine
Kosa kubwa umefanya nenda katubu kwa Mungu...Na ninategemea ipo siku utakuja kutueleza si vema kwenda inje ya ndoa kimapenzi..na wewe ndo utakuwa mshaur wa wenzako. TATIZO POLE NA HONGERA MAJIBU YAKE NI SAWA..ila pole sana.Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.
Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.
Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.
Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!
Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!
Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
Hehehe kwani nyie mnavyochepukaga, si mnagonga shoo vizuri tu mnarudi home? Na wanawake wachepukaji wapo smart kama nyie, ukirudi home Unamkuta tu tena anakupokea kwa adabu zote. "Pole na kazi mume wangu" dadekiYani ushapanga na "vimasaa" vya kuchepuka!! Tunatishana sasa
We acha mydear. Hawa wanaume hawajui ni jinsi gani tunapenda ndoa zenye amani lakini hiyo amani hatuipati. Wameshatuharibu hatutarudi kuwa kama bibi zetu..na vizazi vijavyo vinazidi kujitambua.My dear huo uvumilivu wa namna hiyo tuwachie bibi zetu lo!!! wanawake watano hao ndo kazaa nao je ambao hawakuzaaaaaaaiii nacheka kama mazuri.hapo nikufanya maamuzi magumu tu.
HhahahahaHapa wangeshamtaja zamani role model wao Mfalme Suleiman. Ila mwanamke akichepuka utahisi tupo wapi sijui, vifungu vinavyoshushwa + kukemewa na kulaaniwa kwa kuchepuka haha. Ndoa na iheshimiwe na wanandoa wote wawili
Hahahaoooh michepuko inaimarisha ndoa, mwenzetu kaamua kuimarisha ndoa tunamchamba teh
Sweetheart unapendelea nini nikutumie zawadi? Mwenye masikio na akusikie, waache waendelee kuona kuwa kuchepuka ndo suluhu na ni haki yao. Hakuna mtu anayetosheka ni ile inafika stage unasema ngoja tu nitulie na mume wangu, no need of kuhangaika. Sasa wenzetu wanahisi wao tu ndo wanatamani/hawaridhikiHiyo sio rare kama unavyosema. Kuna ndoa zipo kwenye hali mbaya we hujui tu. Na wanawake ni wavumilivu sana wapo tu wanavumilia ht wazo la kuchepuka hana!
.
.
Uchepukaji kwa wanaume upo enzi na enzi. Huwezi niuliza kwanini mume achepuke..my dear am not a saint.. nina mapungufu na kero km binadamu wengine, Mwanaume ukikosea kidogo basi solution yake ni kutoka nje. Mmejiaminisha kuwa soln ya matatizo ni kutafuta mchepuko..wengine mna halalisha kabisa kuwa men are polygamoua by nature!.
.
.
Hakuna aliye mkamilifu kwahiyo mjifunze kusolve matatizo kuliko kutafuta solution ya mchepuko.
.
.
Na utambue kuwa si maanishi natetea michepuko kwa wanawake..HAPANA. Michepuko haikubaliki kwa pande zote. Nashangaa tu kwanini mnamshangaa huyo dada kutaka kuchepuka. Ni kawaida kwa binadamu yoyote mwanandoa kutamani nje! Haina jinsia!
.
.
Ukiweka kando jinsia tukaungana kumshauri huyu dada tutaelewana mimi na wewe!
Kama nawaona wanavyosonyaaaHhahahaha
Leo wamepata ukweli mchungu....
Haha wabinafsi hao. Ndoa na iimarishwe na wote tehHahaha
Hawataki kumuonea raha mwanaume mwenzao atapelekewa maujuzi mapya
Ha ha ha ha shouger kakutana na dude la kijeshi huko lolHaha asiporudi unaagiza kabisa na balimi, raha jipe mwenyeweee. teh mtu akikuchoka eti " kadudu kake"
Mume alimwaga mboga, mke katoboa hadi sufuria na mkaa kaumwagia majiHa ha ha ha shouger kakutana na dude la kijeshi huko lol
Mada hii imewakaa vizuri mtasababisha wakirudi nyumbani leo waangalie wake zao kimachale haaaa!Kisia = matako
Unafanana na maana ya jina lako
Ha ha haa. Wanawake walivyo sasa ni matokeo ya manyanyaso ya wanaume wa kipindi hicho.Hapa ndo umeongea ukweli wenu. Mmetubadilikia sana nyie watu. Nyie ndo watunzaji wa nyumba sasa mkianza ligi mnaumiza watoto. busura zaidi kasema finally mume alijirudi, tumieni busara na maombi tu mwanaume atakaa sawa. "Mwanamke mwenye busara huijenga nyumba yake, mpumbavu..." unaijua hii quote?
Hakuna aliye mkamilifu kwahiyo mjifunze kusolve matatizo kuliko kutafuta solution ya mchepuko.
Kuna mama mmoja wa karibu sana na mimi. Huyu mama ni mvumilivu dunia nzima hakuna!
.
.
.
Ameishi kwa taabu sana na mumewe, kapigwa sanaaa, kafanyishwa kazi sanaaa...tena zile ngumu. Mumewe amezaa na wanawake tofauti tofauti kama watano hivi...wengine walimletea watoto wadogo wachanga huyo mama kawalea. Imagine kalea watoto wa wanawake wengine.
.
.
Mume alikimbia nyumbani akasahau familia maza wa watu yupo tu anahangaika na watoto. Mume akaugua sana huko aliko..wenyewe wamesema alilogwa,kaumwa ile mbaya alivyojua anakaribia kufa ndio anamkumbuka mke wake akarudi nyumbani haikuchukua hata mwezi mzee akadead..
.
.
Sasa hivi mama wa watu yupo tu maisha anatunzwa na watoto ( si mbaya). Mume alikuwa tajiri balaa lkn now mama hana kitu alichoachiwa zaidi ya nyumba. Maza anaumwa viungo mwili mzima madaktari wamesema ni kwaajili ya kufanya kazi ngumu sana na vipigo juu.
.
.
Haya sasa niambie ni nini huyo mama alichopata kutokana na uvumilivu wake? Ndio huu uvumilivu mnaotaka wanawake tuwe nao au ni upi? Kama ni uvumilivu huu sidhani kama kwa karne hii mtapata wanawake wa hivyo. Na huo ni unyanyasaji.