Kuchepuka raha

Kwa kweli what matters the most to us ni kuishi tu pamoja, ya humo ndani yatajiju
 
Ubaya wa mwanamke akichepuka lazima mwanaume ujue.angalia usije kukamatwa tu labda huyo mumeo awe fala.
 
Sijakariri that is a practice na ni nature... do whatever you can lakini nature itabaki, mwisho wa siku wanaume watakutumia, kukutemea kisha wanaku-damp.

Lets go, provided you dont buy that shit .....Tehe teheee
Inaoneka unadharau kwa kuwa mnatumwagiwa afu unasema mnatutumia na kutudampu yaan unajisifu hushawai kufikiria kuwa baba yako alimmwagia mama yako ukatokea we we?ulishai fikiria kuwa hadi uitwe baba inabid ummwagie mkeo /mpnz wako ndo update mtoto?mi naona we ni kivulana sio mwanaume na pia ulishawai jifikiria kuwa km mwanamke anamdharau sababu unamwagia kwann usimwage kwa mwanaume mwenzio ambae ni WA thaman kwako ?au ukamwaga kwenye boxer yako ,?muwe mnatafakar kabla yakuandika hapo anapomwaga ndipo mlipotokea na atatokea mtoto wako ,afu zaidi ya yote bado alietuumba alituona ni vema nyie mtumwagiwe kama wewe unatudharau jua unamdharau alie tuumba hadi mama na baba yako unawadharau shame upon you huna akil kivulana wewe hebu umba WA kwako
 
Mwanamke kama wewe ni kukuwekea mtego tu siku nakukamata utafungasha virago siku hiyohiyo urudi kwenu. Pumbavu sana.
 
Naona hapo umekamilisha msemo wa haki sawa.....hongera kwa uozo wako................
 
Endeleeni kumdanganya ili siku akivurumushwa mumsaidie kukaa nae. Aliyesema wanawake wana akili fupi hakukosea aisee.
 
Sijakuelewa ni nini umenijibu. Nilichoandika na ulichoquote ni tofauti. Mimi ni mwanamke na si mwanaume. Hakuna dharau yoyote niliyoionyesha kwenye maneno yangu. Labda unifafanulie...Soma vizuri kabla ya kuquote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…