Ninaimba na simu iko mezani hata habari nayo sina, unaipekua kila mahali na hukuti kitu. Ukirudi nyumbani unakuta nishaandaa kila kitu na watoto nacheza nao tu huku full vicheko. Unajipa moyo mke wangu hachepuki!! Thubutuuu!Hata sisi tunaipa namba ile ile
Ila hata ukikesha na simu utaambulia patupu, unapekua we mi mwepesiii nazunguka ndani na shughuli zangu huku naimba imba.
"yesu unipendeeee leo kuliko janaa, kuliko janaaa kuliko janaaa..... "
Muishi na sisi kwa akili
Khaaa!, wa kusumbuliwa uwe wewe!!!teh teh teh nimecheka kwa masikito wakati nawavua wenzako chupi wewe ulikuwa bikra.
unifunde????????
uko katavi internet itakuwa inasumbua nahisi uko juu ya mti ata kamasutra haifunguki nikiwa jando nilifundishwa jinsi kuwaliza nakutukana hovyoo.
ukinisumbua ntakutumia video jinsi namuadabisha mwenzako(black beauty)(mwanachuo) uone watu wanavyolia kwa raha.
onyo: ili mradi usisumbue silagi single mama naheshimu watoto wao
Hata mimi mmoja waoIla wanawake wasiochepuka wapo japo sijawahi waona.
Nadhani mpwa wangu heaven atakuwa mmoja wao
Kwani kuchepuka sh ngapi tehNinaimba na simu iko mezani hata habari nayo sina, unaipekua kila mahali na hukuti kitu. Ukirudi nyumbani unakuta nishaandaa kila kitu na watoto nacheza nao tu huku full vicheko. Unajipa moyo mke wangu hachepuki!! Thubutuuu!
Haha!, mke James Delicious, mchepuko Kaoge.Uwe na mke!!!! Labda james delicios.
Haha haha... Kuacha kila kitu mana yake unaamua kutulizana kwake, huku mtaani unakutana na watoto wazuri kama Kina Nalendwa unaona kabisa hapa demi wangu hafui dafu.Sasa kama wewe umeamua kuacha kila kitu means ushqbanduaaa weee umechoka umeona uache, hivo muache na mkeo abanduliweeee nae akichoka ataacha.... Unataka aache hata hajafaidi? Acha roho mbaya
Bra,ukiishi mjini utayaelewa haya wewe siwez salitiwa kwenye mapenzi kwenye biashara sitakataa. unakuwa mwalimu mwanafunzi wako anakuwa raisi hiyoo ipoo. lakini kwenye mapenzi never.
ivi bogasi ni jina lako kabisaa au ni nick(niki) name tuu????
We si ulimsifia jamani mbona wabadili uelekeo!!!
Kukupekua haupekuliwi ila nawe usimpekue mwenzio, muache apewe maraha.
Nawe si ushabandua huko mwache abanduliwe.... Papuchi sio sumu bwana kwamba ule peke akoHaha haha... Kuacha kila kitu mana yake unaamua kutulizana kwake, huku mtaani unakutana na watoto wazuri kama Kina Nalendwa unaona kabisa hapa demi wangu hafui dafu.
Lakini unatunza heshima unazuga kama huoni wengine, lakini kesho unakuja gundua demi kabandukiwa huko na jamaa Fulani, sasa unadhani itaacha kuuma?
Eti mwanaume wa shoka!!! Mwanaume wa shoka anajisifia ujinga uliwahi ona wapi!! I pity the kids.
Aache kutoa machozi wakati analilia pesa zako!! Yaani lazima alie zaidi ya msiba wa mumewe.
Ameeeen!! Na ubarikiwe sana. Mungu awaepushe na huyu ibilisi aisee!!From my heart naweza.... Aseee mapenzi niliyo nayo kwa wanangu ni makuu mno sana sana. Ingawa kuna changamoto zake aseeee ooh!
Lakini ikitokea hivyo nitajiuliza binafsi pengine nimechangia hali hiyo kutokea.
Nikijua na akijua nimejua itanibidi pia kuhojiana nini chanzo haswa kwa jambo hilo kutokea?
Mkuu kuna moment inabidi kujilipua ili kufanya sacrifice no way, ila kwetu wanaume huu ni mtihani asikwambie mtu.
Dear, ujue unaongea na mtoto hapa fanya kumpotezea hapo awali nilijua nimwanaume kumbe utoto.Khaaa!, wa kusumbuliwa uwe wewe!!!
Hahahhaaaa!, ncheke mie!
Hao watoto wa chuo wanavyokuchuna basi unaona umefika kumbe wenzio wanakusanifu.
Kuna wanaume na wanaume wakutu turn on, sio wote.
Yaani inaonekana kabisa akili zako zimegomea hapo kama za watoto wa chuo.
Ndio mana nimekubali ile ahadi ya zawadi. Sitanii alafu.Nawe si ushabandua huko mwache abanduliwe.... Papuchi sio sumu bwana kwamba ule peke ako
Si hamchepuki na wanawake,ilhali mnachepuka. Sasa mnachepuka na akina nani kama sio kina kaoge?Tunawaharibu je.
Subutuuuu! Sio kwa mbinu zile... Nakataa wewe kungwi sio mmoja wao Teh!Hata mimi mmoja wao
Khaaa!, wa kusumbuliwa uwe wewe!!!
Hahahhaaaa!, ncheke mie!
Hao watoto wa chuo wanavyokuchuna basi unaona umefika kumbe wenzio wanakusanifu.
Kuna wanaume na wanaume wakutu turn on, sio wote.
Yaani inaonekana kabisa akili zako zimegomea hapo kama za watoto wa chuo.
Huyu lazima anapigiwa tena ukute hadi anamfahamu mume mwenzie. Au ndio anayewaweka mjini, kwahiyo akiona mada ya hivi anaumia maana anaijua hali halisi.anamuingizia shilingi waaat?
ahahahahhahahahahhaha MAMBO MENGINE BANA!
ah hebu mimi!
Si hamchepuki na wanawake,ilhali mnachepuka. Sasa mnachepuka na akina nani kama sio kina kaoge?
Oooh!! Ndio maana kakuita under 18!!Hapana
Nimefungua hii ili nionekane katoto japo form six six.