Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,631
- 1,926
Unajua wakati mwingine mademu hunishangaza sana. Kuna demu mmoja hivi nilikuwaga nammega. Eti alikuwa anadai kuwa simwoni kuwa attractive kwa sababu kila nikimmega nilikuwa nachukua muda sana kukojoa.
Katika akili yake eti kama mwanamme kamzimia demu na anamwona huyo demu anavutia basi jamaa hatakawia kukojoa. Sasa mimi nikawa najiuliza...mmmh hawa mademu ukikojoa haraka wanalalamika...ukikawia nako wanalalamika. Sasa sijui mtu ufanye nini? Nikaja kugundua kuwa kuridhisha mademu ni kazi ngumu sana na pengine isiyowezekana kabisa.
Wako complicated like cricket.