Kuchelewa kufika kileleni

Unajua wakati mwingine mademu hunishangaza sana. Kuna demu mmoja hivi nilikuwaga nammega. Eti alikuwa anadai kuwa simwoni kuwa attractive kwa sababu kila nikimmega nilikuwa nachukua muda sana kukojoa.

Katika akili yake eti kama mwanamme kamzimia demu na anamwona huyo demu anavutia basi jamaa hatakawia kukojoa. Sasa mimi nikawa najiuliza...mmmh hawa mademu ukikojoa haraka wanalalamika...ukikawia nako wanalalamika. Sasa sijui mtu ufanye nini? Nikaja kugundua kuwa kuridhisha mademu ni kazi ngumu sana na pengine isiyowezekana kabisa.

Wako complicated like cricket.
 
Mimi ni msichana ambaye nimeanza mahusiano muda mrefu kidogo,ila tatizo nalopata kwa mwenza wangu ni kwamba anachelewa kufika kileleni kiukweli nainjoy round ya kwanza lakini tukiendelea mhh si chini ya dk 45 mpaka 50 on top.

Pole dada tatizo lako ni lakisaikolojia zaidi vp unaweza ukaniPM nikuelekeze jinsi ya kufanya? Vilevile unaweza hata kufika ofcn kwangu nikakupa mbinu mbadala za kumfanya mwenzio mfike pamoja kama huto jari practical ruksa ofcn.
 
we demu bado ungali mtoto ukikuwa utaacha kulalama,kuna wakati utatafuta wa kuchelewa kufika kileleni utamkosa na utamkumbuka huyo jamaa uliyenaye kwa sasa.
 
njoo kwangu faster faster wewe kweli bado ujakuwa wenzako wanataka kama hao ukitaka iwe faster weka sabuni before
 
Yawezekana game yako si attractive ndo maana anakawia sana kumaliza, na pia styles zinachangia, hebu siku moja mpe mambo ya reli uone kama atakawia! Ikishindikana basi jaribu japo tigo, ukiona kafikisha kama nusu saa hivi hamisha idhaa weka uarabuni!

heeee mpenda kisamvu weee.hahahaaaaa .inaonekana unapenda mchezo wa kwenda arabuni na mji wenyewe inaonekana ni sharjah.
mwana wa laana wee
 
Back
Top Bottom