Kuchangia fedha ili kupata huduma ofisi ya mtendaji wa kata, ama mtaa ni utaratibu ulowekwa na mamlaka au utaratubu binafsi?

scolastika

JF-Expert Member
Jan 26, 2019
3,779
5,550
Leo naomba kueleweshwa tafadhali, huu utaratibu wa kuchangia elfu mbili (2000)kila unapoenda kupata huduma ofisi ya mtendaji wa kata, ama mtaa ni utaratibu ulowekwa na mamlaka ama ni utaratubu binafsi.

Je, hicho ni chanzo cha mapato ya serikali au ni mapato ya mtu binafsi?

Na kama iko kisheria inajulikana vipi kwamba kwa siku wamehudumiwa watu 60 au 10?

Je, kuna utaratibu wowote wa kujua idadi ya hela ilokusanywa kwa siku?

Nasikia watendaji wa kata na mitaa wanalipwa na halmashauri zao sasa wanalipwa kwa kazi ipi ikiwa huduma zao mpaka malipo?

Hapa nazungumzia manispaa na jiji ndo hasa hayo mambo yapo, huku kwetu Kilando haya mambo hayapo.

Karibu watendaji mnijibu tafadhali
 
Malipo ya pesa inayokwenda kwenye serikali hufanya kupitia namba ya malipo yaani Control Number, hiyo ni hela ya maji tu....ila unaweza pia kukomaa usiitoe, shida utaipata siku nyingine ukihitaji huduma kutoka kwa mtendaji huyo huyo
 
Ndio maana watu wanapigana vikumbo kutuandikia barua za utambulisho kweli kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.
 
Malipo ya pesa inayokwenda kwenye serikali hufanya kupitia namba ya malipo yaani Control Number, hiyo ni hela ya maji tu....ila unaweza pia kukomaa usiitoe, shida utaipata siku nyingine ukihitaji huduma kutoka kwa mtendaji huyo huyo
hapo sasa na vile sisi ni innocent hatutaki mambo mengi
 
Leo naomba kueleweshwa tafadhali, huu utaratibu wa kuchangia elfu mbili (2000)kila unapoenda kupata huduma ofisi ya mtendaji wa kata, ama mtaa ni utaratibu ulowekwa na mamlaka ama ni utaratubu binafsi.

Je hicho ni chanzo cha mapato ya serikali au ni mapato ya mtu binafsi?

Na kama iko kisheria inajulikana vipi kwamba kwa siku wamehudumiwa watu 60 au 10?

Je, kuna utaratibu wowote wa kujua idadi ya hela ilokusanywa kwa siku?

Nasikia watendaji wa kata na mitaa wanalipwa na halmashauri zao sasa wanalipwa kwa kazi ipi ikiwa huduma zao mpaka malipo?

Hapa nazungumzia manispaa na jiji ndo hasa hayo mambo yapo, huku kwetu Kilando haya mambo hayapo.

Karibu watendaji mnijibu tafadhali
Hizo ofisi hazina Bajeti ya kujiendesha hiyo elfu mbili unayochangia ndio kufanya usafi ofisini walizi kukiwa na kamati za kata au kijiji kwenye vikao ndio zunatumika

Ukipigiwa simu kuna shida kwa mwananchi Fulani ndio zinatumika
Kununua karatasi wino nk
Kiufupi ofisi za kata na vijiji au mitaa hazina bajeti za kuziendesha
Ndio maana kama wewe ni mdau mzuri hapo mitaani kwako au kwenye kata uwe unajitaidi sana kuhudhuria vikao au mikutano hutajifunza sana hili
Ukipewa hizo ofisini ni ngumu sana kuziendesha

Wanastahili sana pongezi sana watendaji wetu wa Mitaa vijiji au kata wanafanya kazi kubwa sana

Mwenyenzi Mungu Mtakatifu awabariki sana ndugu zangu wote katika kata mitaa au vijiji nyinyi ni mashujaa wakubwa sana katika nchi yetu
 
Hizo ofisi hazina Bajeti ya kujiendesha hiyo elfu mbili unayochangia ndio kufanya usafi ofisini walizi kukiwa na kamati za kata au kijiji kwenye vikao ndio zunatumika

Ukipigiwa simu kuna shida kwa mwananchi Fulani ndio zinatumika
Kununua karatasi wino nk
Kiufupi ofisi za kata na vijiji au mitaa hazina bajeti za kuziendesha
Ndio maana kama wewe ni mdau mzuri hapo mitaani kwako au kwenye kata uwe unajitaidi sana kuhudhuria vikao au mikutano hutajifunza sana hili
Ukipewa hizo ofisini ni ngumu sana kuziendesha

Wanastahili sana pongezi sana watendaji wetu wa Mitaa vijiji au kata wanafanya kazi kubwa sana

Mwenyenzi Mungu Mtakatifu awabariki sana ndugu zangu wote katika kata mitaa au vijiji nyinyi ni mashujaa wakubwa sana katika nchi yetu
ahsante sana mkuu kwa ufafanuzi wasiwasi wangu ni hela kupokea mtu individually na kutia mfukoni je inafanya kazi inayotakiwa kufanya?maana pesa ni shetani?
 
Leo naomba kueleweshwa tafadhali, huu utaratibu wa kuchangia elfu mbili (2000)kila unapoenda kupata huduma ofisi ya mtendaji wa kata, ama mtaa ni utaratibu ulowekwa na mamlaka ama ni utaratubu binafsi.

Je, hicho ni chanzo cha mapato ya serikali au ni mapato ya mtu binafsi?

Na kama iko kisheria inajulikana vipi kwamba kwa siku wamehudumiwa watu 60 au 10?

Je, kuna utaratibu wowote wa kujua idadi ya hela ilokusanywa kwa siku?

Nasikia watendaji wa kata na mitaa wanalipwa na halmashauri zao sasa wanalipwa kwa kazi ipi ikiwa huduma zao mpaka malipo?

Hapa nazungumzia manispaa na jiji ndo hasa hayo mambo yapo, huku kwetu Kilando haya mambo hayapo.

Karibu watendaji mnijibu tafadhali
Dai control number
 
Back
Top Bottom