Kuchanganya rangi: Ndoa zake hazidumu

Kuchanganya rangi: Ndoa zake hazidumu

Kwa taarifa yako si badilishi gia angani hadi hapo itakapotokea dhoruba, kwa sasa niache niendeleee kukusanya hivi vi dola nifanye yangu
 
wengi wao ni tamaa tu mara nyingi, na hawatakuelewa kamwe Hata humu washajitokeza, na kwa kuwa imewauma hawatajibu kwa ustaarabu kama kawaida yao
 
Mlaleo unashida wewe inaonekana unadata za ulimwengu mzima.mbona unafanya kama hizo ndoa unazo peke ako?umejiuliza sababu za wanaijeria kuzidi ujerumani?canada,finland?umejiuliza ilikuaje?umejiuliza taratibu mbili tatu za ndoa wa tz wenzio walizoshindwa?we ndio unaleta jokes uhamishe mada
 
Kwa taarifa yako si badilishi gia angani hadi hapo itakapotokea dhoruba, kwa sasa niache niendeleee kukusanya hivi vi dola nifanye yangu
haujaambiwa ubadili gia yeye katoa tu mawazo yake, halafu hizo tamaa za hizo dollar ndo tatizo
 
Madada wapenda vya bure ambao Mungu aliwapa uzuri akawanyima akili..! secret parts zao zinashida..!
 
Hizi porojo zisizo na mpango wala vielelezo.

Tunaona watu ambao hawaja"changanya rangi" wakiachana kila siku.

Vipi Kingunge na mama'ke Kinje wana miaka mingapi kwenye ndoa?

Vipi Ali Hassan Mwinyi na Bi Khadija, wana miaka mingapi kwenye ndoa? Huyu Bi Khadija ni Mmanga pure.

Tafuta lingine kwa hili umeangukia pua.

Hivi hiyo shule ulienda kusomea ujinga?
 
Last edited:
Hizi porojo zisizo na mpango wala vielelezo.

Tunaona watu ambao hawaja"changanya rangi" wakiachana kila siku.

Vipi Kingunge na mama'ke Kinje wna miaka mingapi kwenye ndoa?

Vipi Ali Hassan Mwinyi na Bi Khadija, wana miaka mingapi kwenye ndoa? Huyu Bi Khadija ni Mmanga pure.

tafta lingine kwa hili umeangukia pua.

Hivi hiyo shule ulienda kusomea ujinga?
ningeshangaa kama ningekuta comment tofauti na hii
 
Hizi porojo zisizo na mpango wala vielelezo.

Tunaona watu ambao hawaja"changanya rangi" wakiachana kila siku.

Vipi Kingunge na mama'ke Kinje wana miaka mingapi kwenye ndoa?

Vipi Ali Hassan Mwinyi na Bi Khadija, wana miaka mingapi kwenye ndoa? Huyu Bi Khadija ni Mmanga pure.

Tafuta lingine kwa hili umeangukia pua.

Hivi hiyo shule ulienda kusomea ujinga?
Ni lini utaacha kuwa mpuuzi wewe lakini? Hivi Umesoma ukaelewa au ulirukia tu kujibu utumbo baada ya kuona ID yangu?? Hivi hukuona nilipoandika 'ndoa nyingi' maana yake si Zote!!! Kweli upuuzi hauna tiba
 
Last edited:
Aha, basi hili jukwaa linawahusu wachaga tu, ngoja sisi wakurya tujitoe tu sasa maana hakuna namna!!!
Alafu huyu dada FaizaFoxy atakua ni mchaga maana hiyo comment yake mh!!!!
Huu mjadala uko kila mahali inashangaza mno kuona watu wanaona Kama ni kitu kipya na cha uongo, hili hata kibailogia,kijamii nknk lina mijadala mikali
1452144711652.jpg
1452144742441.jpg
1452144761540.jpg
link hizo hapo kibao
Shida yetu kubwa ni pale tunapoigeuza JF Kama facebook au instagram au badoo nknk
 
Ukasema nisubiri hadi 2016. Nami nimekuwa mvumilivu hadi 2016.
Basi endelea kunisubir nipigie hela za mwisho mwisho kwa mtoto wa malikia, tukajenge kwenu tuishi, sawa baba mwajuma ndala ndefu
 
Basi endelea kunisubir nipigie hela za mwisho mwisho kwa mtoto wa malikia, tukajenge kwenu tuishi, sawa baba mwajuma ndala ndefu

Hapana, wewe tengeneza tu hela na mtoto wa malkia. Azidi kuchezea hayo masaburi, manake jamaa ameniambia hayo marinda hawezi kuyaachia, dollari haziji bure ati[emoji1]
 
Back
Top Bottom