Kuchanganya rangi: Ndoa zake hazidumu

Kuchanganya rangi: Ndoa zake hazidumu

Hakuna nilipolazimisha mtu akubaliane na mawazo yangu, HAKUNA!!! lakini ni haki yangu kujibu, tena kujibu kulingana na like mtu alichoandika! Kwahiyo RRONDO unataka niweke post hapa halafu mtu ai challenge kisha nikae kimya??? Si kila mtu anaweza kukubaliana na mimi na kila post lazima kuwe na upande unaopinga, lakini huyo mtu anapinga kwa kutumia lugha gani???
Sawa lakini si kwa kusema 'nicknames' za jf ndio walivyo au wanavyofikiria kwasababu hata mimi sifikiri wewe ni mshirikina kwasababu ya kuongoza kwa kuleta posts za kishirikina jf.
 
Ni kama aina fulani ya hallucination au fashion fulani kupenda kuolewa au kuoa au kuoana na mtu wa taifa fulani hasa wazungu atu wengi hasa kinadada wanawazimia mno wazungu nk ili tu kupata half cast, yaani kwa mfano mpare na mzungu au Mchina au Mchaga mfilipino.

Mwanzoni mwa mapenzi motomoto na hata kufikia ndoa na kwa wengine mpaka watoto ni vigumu kugundua tofauti au kuona mapungufu lakini kadiri siku zinavyosonga
mgongano wa kimtazamo katika mila desturi utamaduni na mazoea hujitokeza taratibu na hatimaye kujenga nyufa ambazo hazizibiki na mwishoni kuishia kwenye talaka, kutengana au kupigana vibuti vya moja kwa moja.

Uasili, mila na desturi ni kigezo kisichopewa kipaumbele kwenye mahusiano yanayomaanisha ndoa, watu huongozwa na mihemko ya mapenzi zaidi hasa kwenye kigezo cha cash umaarufu na uzuri lakini kikubwa zaidi rangi ndoa nyingi zilizochanyanganya rangi kitaifa na kimataifa hazikudumu.

Wewe kama unatoka kishimundu mtafute mkishimundu mwenzako ukienda mbali sana mtafute mgweno maana wote mnakula ndizi kwa style yenu, kama uko kwenye mchakato wa ndoa pita hapa utaokota chochote.
Sio kweli. Ndoa ukiiangalia ki material basi haya uliyoandika ni sawa. Ila ukiingalia kiutu yaani kibinadam, basi ujue tu love is blind. Kipendacho roho hula nyama mbichi kiongozi. Kuachana zaidi ni love kwenda low kutokana na kuangalia kimatirio zaidi.
 
1452144742441-jpg.315315

mshana jr huu ni ubaguzi wa rangi kabisa. Kuna matatizo ya interracial relationship lakini hii hapo juu ni racism at highest level.
 
Sawa lakini si kwa kusema 'nicknames' za jf ndio walivyo au wanavyofikiria kwasababu hata mimi sifikiri wewe ni mshirikina kwasababu ya kuongoza kwa kuleta posts za kishirikina jf.
RRONDO hao watu badala ya kuchangia kwa hoja walii underrate post yangu kwa kusema inafaa kuwa kwenye jukwaa la utani na pia kuniita muongo...! Sidhani Kama hii ilikuwa sahihi
 
1452144742441-jpg.315315

mshana jr huu ni ubaguzi wa rangi kabisa. Kuna matatizo ya interracial relationship lakini hii hapo juu ni racism at highest level.
Nimeweka kinachofikiriwa na wenzetu na hicho ndio huwa chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika
 
Hauja consider sasa ya kuwa dunia inageuka kijiji kwa kasi ya ajabu. Kuna watu wamezaliwa humu nchini lakini culturally ni wa kimagharibi kabisa. Rangi si barrier when it comes to romantic relationships ambazo uzaa ndoa. Nafikiri waliochanganya rangi wanaachana kwa matatizo yanayofanana na wasiochanganya. Labda, financial, infidelity, psychological and so on......
 
Hapana, wewe tengeneza tu hela na mtoto wa malkia. Azidi kuchezea hayo masaburi, manake jamaa ameniambia hayo marinda hawezi kuyaachia, dollari haziji bure ati[emoji1]
Sio kila mzungu ni padri, Endelea kudanganywa hivyo hivyo, me maisha yaenda mbele, mwisho wa siku utanikubali tu
 
Hauja consider sasa ya kuwa dunia inageuka kijiji kwa kasi ya ajabu. Kuna watu wamezaliwa humu nchini lakini culturally ni wa kimagharibi kabisa. Rangi si barrier when it comes to romantic relationships ambazo uzaa ndoa. Nafikiri waliochanganya rangi wanaachana kwa matatizo yanayofanana na wasiochanganya. Labda, financial, infidelity, psychological and so on......


Muoa Mzungu mtajua tu!
 
unawezaje kumpenda stranger
Mapenzi upofu mapenzi motomoto ni sawa na moto wa kifuu ukishazima ndio unaanza kuona mapungufu... Walio katika ndoa wanalifahamu vema hili, kasoro hazionekani wakati wa uchumba na Mwanzoni mwa ndoa
 
Mapenzi upofu mapenzi motomoto ni sawa na moto wa kifuu ukishazima ndio unaanza kuona mapungufu... Walio katika ndoa wanalifahamu vema hili, kasoro hazionekani wakati wa uchumba na Mwanzoni mwa ndoa
mke wa kuowa lazima umfahamu kiundani sana ukikurupuka tu itakula upande lazima
 
Mshana jr umeeleza kitu flani cha maana sana suala la ndoa ni suala nyeti sana linahitaji weledi na busara ya hali ya juu pasipo kuendeshwa na mihemuko.Ndio maana kuna msemo unasema kosea kujenga usikosee kuoa.
 
Na wanawake wa nordic countries wanataka tu mbege yako miezi 6 next talaka.
 
Nakubaliana na wewe kwenye hili. Utamaduni na desturi ni muhimu sana kwa ndoa yenye mafanikio. Pata picha mwanamke mchaga mchakarikaji, anaeota akiifukuzia pesa anaolewa na mwanaume mzaramo. Mwanaume wa watu hana makuu kama JK tu, ni kucheka na kupita na bakuli. Ndoa haiwezi kuwa na amani.

Makabila ya kaskazini kwa tz (arusha na kilimanjaro) wanawake hawakandanizwi kivilee. Na wanapewa nafasi walau kwenye vikao vya familia, sasa mwanamke huyo akaolewe musoma. Watamkata maskio tu.

Cultural differences ni issue kubwa tu, na haimaanishi mpaka wa nchi tu bali hata ndani ya nchi inaweza kuwa shida.

Nakubaliana na wewe kabisa..hio haina mipaka..mfano wa lozi wa zambia ya kusini wanatamaduni similar na wasotho na wazulu...hasa huku Africa ambapo watu walihama huko zamani halafu wazungu wakaja kuweka mipaka.
 
Nafuu kidogo kwa mwanamke ngozi nyeusi kuolewa na mwanaume ngozi nyeupe atavumilia , lkn mwanaume ngozi nyeusi kuparamia mwanamke ngozi nyeupe......ptuuuuuu!!, ipo siku ntaleta kisa kimoja humuhumu
 
Back
Top Bottom