Hii ni Zaidi ya Jokes huyo kalala na kuamka kaja kupost mimi sikasiriki ila jamaa ni Muongo na huo ndio Mchango wangu... kaukweli amehesabu amejulia wapi idadi kamili hadi aaminishe watu hii issue inagusa moja kwa moja hisia za watu na wengine wanaweza ogopa kushare maisha ya Ndoa na watu wa Color tofauti.... Miaka ya kitambo ilikuwa ni Shida ila sikuhizi ndio kama fasheni sasa Jamaa anadanganya wazi wazi siwezi acha mimi kuna watu nawafahamu hadi leo hii maisha ya ndoa hawajatengana na watu naowajua wenye same color waliotengana ni wengi zaidi... akiwemo Gadner na Jide naweza muwekea mifano halisi na yeye atoe mifano halisi na hii ni kumuonesha kuwa ni muongo.. ila asikasirike yeye nina muweka sawa angetanguliza kuwa hii ni jokes hapo sawa....Mshana naomba umsamehe bure huyu kiumbe,inaonekana ana frustration
Ndg mlaleo c lzm uchangie,unaweza ukapita tu km jambo unaona linakukera au linakugusa,maisha ndivyo yalivyo,chukulia poa mkuu lkn ndg mshana alichokisema kina ukweli ndani yk
Sasa unakuja na conclusion ya uongo nikikwambia thibitisha utaweza? JF sio ya babaangu ila nimekupa ⚠ ya kukupunguzia stress, Kama kitu hujui vema ukakaa kimyaWewe hujafanya reseach yoyote and then unakuja danganya.... Nisiingie JF ya babako hii...! ukiongopa tunakupa za uso...
Usagala ni ndani?Kwa uzi huu inabidi nirudi Rock city kusaka mchumba tena huko interior kabisa Misungwi -usagara kwetu.
Ameshaambiwa ahamishe thread jukwaa la jokes.
Bye
Kuna wakati huwa ni Kichekesho kikubwa watu wanapolazimisha kupinga kitu kwa maneno meengi yasiyo na maana yoyote, badala ya kuwa na mpambano wa hoja, nyie mnakuwa na hoja ya mpambanoHii ni Zaidi ya Jokes huyo kalala na kuamka kaja kupost mimi sikasiriki ila jamaa ni Muongo na huo ndio Mchango wangu... kaukweli amehesabu amejulia wapi idadi kamili hadi aaminishe watu hii issue inagusa moja kwa moja hisia za watu na wengine wanaweza ogopa kushare maisha ya Ndoa na watu wa Color tofauti.... Miaka ya kitambo ilikuwa ni Shida ila sikuhizi ndio kama fasheni sasa Jamaa anadanganya wazi wazi siwezi acha mimi kuna watu nawafahamu hadi leo hii maisha ya ndoa hawajatengana na watu naowajua wenye same color waliotengana ni wengi zaidi... akiwemo Gadner na Jide naweza muwekea mifano halisi na yeye atoe mifano halisi na hii ni kumuonesha kuwa ni muongo.. ila asikasirike yeye nina muweka sawa angetanguliza kuwa hii ni jokes hapo sawa....
Vema ukasoma kwa kituo nilichoandika. Changamoto nyingi za ndoa dosari na tofauti huonekana mkishatulia kwenye ndoa, nitakupa mifano michacheHadi wawili hao wamefikia uamuzi wa kuoana ina maana hawajui hizo 'challenges'?? Kwasababu ndoa hamuamui tu baada ya kukutana siku mbili tatu. Ningependa kusikia maoni ya housegirl
Mweupe tu hii mada imemuuma sana kuna siri kubwa nyuma yake angalia avatar yakeMshana naomba umsamehe bure huyu kiumbe,inaonekana ana frustration
Ndg mlaleo c lzm uchangie,unaweza ukapita tu km jambo unaona linakukera au linakugusa,maisha ndivyo yalivyo,chukulia poa mkuu lkn ndg mshana alichokisema kina ukweli ndani yk
Housegirl anawazaje mkuu?Kuna wakati huwa ni Kichekesho kikubwa watu wanapolazimisha kupinga kitu kwa maneno meengi yasiyo na maana yoyote, badala ya kuwa na mpambano wa hoja, nyie mnakuwa na hoja ya mpambano
Kuna wakati nilisema kuwa perception creates reality.... Ukijiita mlaleo hata kuwaza kwako kunakuwa na limitations za Leo .....na ukijiita housegirl utawaza kama housegirl
Waachieni mods ndio wataamua iwe post ya jukwaa la jokes or whatever
Vema ukasoma kwa kituo nilichoandika. Changamoto nyingi za ndoa dosari na tofauti huonekana mkishatulia kwenye ndoa, nitakupa mifano michache
-wazaramo na ngoma hata Kama mwanamke hataki lakini mila na desturi hazikwepeki
-familia nyingi za kiafrika kuwa na extended family, ndoa nyingi zimevunjika kwa ajili ya hili
-matambiko - kuna koo na makabila kufanya matambiko kila mwaka au kila wakati ni lazima, unaingia kwenye ndoa na watu wa jinsi hiyo wakati kwenu matambiko ni taboo kubwa
NB: Sizungumzii tabia na hulka za mtu mmoja mmoja ndio maana nikatumia kitaifa na kimataifa
<<nimetumia ndoa NYINGI na sijasema ndoa ZOTE
Kuna wakati huwa ni Kichekesho kikubwa watu wanapolazimisha kupinga kitu kwa maneno meengi yasiyo na maana yoyote, badala ya kuwa na mpambano wa hoja, nyie mnakuwa na hoja ya mpambano
Kuna wakati nilisema kuwa perception creates reality.... Ukijiita mlaleo hata kuwaza kwako kunakuwa na limitations za Leo .....na ukijiita housegirl
Vema ukasoma kwa kituo nilichoandika. Changamoto nyingi za ndoa dosari na tofauti huonekana mkishatulia kwenye ndoa, nitakupa mifano michache
-wazaramo na ngoma hata Kama mwanamke hataki lakini mila na desturi hazikwepeki
-familia nyingi za kiafrika kuwa na extended family, ndoa nyingi zimevunjika kwa ajili ya hili
-matambiko - kuna koo na makabila kufanya matambiko kila mwaka au kila wakati ni lazima, unaingia kwenye ndoa na watu wa jinsi hiyo wakati kwenu matambiko ni taboo kubwa
NB: Sizungumzii tabia na hulka za mtu mmoja mmoja ndio maana nikatumia kitaifa na kimataifa
<<nimetumia ndoa NYINGI na sijasema ndoa ZOTEMweupe tu hii mada imemuuma sana kuna siri kubwa nyuma yake angalia avatar yake
utawaza kama housegirl
Waachieni mods ndio wataamua iwe post ya jukwaa la jokes or whatever
Hakuna nilipolazimisha mtu akubaliane na mawazo yangu, HAKUNA!!! lakini ni haki yangu kujibu, tena kujibu kulingana na like mtu alichoandika! Kwahiyo RRONDO unataka niweke post hapa halafu mtu ai challenge kisha nikae kimya??? Si kila mtu anaweza kukubaliana na mimi na kila post lazima kuwe na upande unaopinga, lakini huyo mtu anapinga kwa kutumia lugha gani???unapenda watu wakubaliane na mawazo yako, kila mtu ana mawazo yake....je wewe unavyotuletea habari za washirikina humu na wewe ni mshirikina??
ubongo wako una akili. swafiNo comment ndugu mshana, nikiongea naweza pigwa mawe...
Hata kama bandiko lako haliko kiutafiti lakini kuna ukweli kiasi fulani...