Kuchaguliwa chuo zaidi ya kimoja

bro labda nimalize mjadala kwann nmependa kusoma IS/IT?
DIPLOMA nimesoma mechanical DIT, Ila computer nilikuwa naielewa tangu mwanzo nasoma mecha, so baada ya kumaliza nimeona stage ya bachelor ndo mda sahihi wa kusoma nnachokipenda.. mazingira ya kusoma unachokipenda ukiwa unataka kusoma diploma ni magumu kutambua maana kuna ugumu kujua kiundani kuhusu tech za idara fulani coz ya kuwa new comer from school ila degree ni rahisi maana unakuwa unajua mbivu na mbichi kupitia experience ya diploma...
Sawa kwa vile umeweka wazi hobby yako hapo sawa sina maneno.
Maana fani ya mechanical kuna baadhi ya watu hawaipendi ila ndio fani rahisi kutoboa kuliko zote.
Hata mimi ndio nilisomea hiyo mechanical yaani imenisaidia sana.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
vizuri mkuu so cha private tayari ushaconfirm huko or napo bado
yeah nishaconfirm kwao ila nimeconfirm physically na sio online so wamepeleka majina tcu yakirudi ndo ntakuwa moja kwa moja naruhusiwa kuanza utaratibu wa malipo na kusoma
 
Sawa kwa vile umeweka wazi hobby yako hapo sawa sina maneno.
Maana fani ya mechanical kuna baadhi ya watu hawaipendi ila ndio fani rahisi kutoboa kuliko zote.
Hata mimi ndio nilisomea hiyo mechanical yaani imenisaidia sana.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
yeah hata mimi mecha imenisaidia na inanisaidia sana but now naona ni mda sahihi wa kusoma hobi yangu.
 
hata ivyo IT soko la ajili ni dogo sana..
Ni kweli wasomi wa IT wamezagaa sana mitaani na ajira zake ni chache sana.
Hii ni kwa sababu kampuni zinazoajiri wataalamu wa IT ni chache sana,kampuni zingine wanakodi mtu wa IT unapotokea uhitaji then kazi ikiisha anaondoka zake.
 
i think so but am not sure ila kama unajua vyuo umechaguliwa zaid ya kimoja nenda kweny acc yako ya kila chuo then uchek kama unatakiwa kuconfirm au la? mana mimi nilituiwa hadi sms kwa simu yangu kwamba lazima niconfirm chuo kimoja kati ya nilivyochaguliwa
wana cofirm baadhi ya. vyuo ila si vyote
 
Back
Top Bottom