Kubwa Kuliko...!

Dah, mmenichekesha sana.

@The Finest, uje usaini mkataba wa ku-revise ile slogan mlotunga na Lizzy, yeye kishasaini mkataba umebaki wewe.
Where hav you been?

Tukutane barabara ya morogoro road.
 
Mama yangu anaitwa elizabeth au eliza, wale wabibi ambao ni mama zake huwa wanamuita Iliza ama ilizya ( kinyumbani zaidi)lol
 
Dah, mmenichekesha sana.

@The Finest, uje usaini mkataba wa ku-revise ile slogan mlotunga na Lizzy, yeye kishasaini mkataba umebaki wewe.
Where hav you been?

Tukutane barabara ya morogoro road.
Hahahaha!!! Lizzy hajachukua share kubwa kweli baada kusaini isije akawa kachukua 50% baada ya kusaini..lol
 
Bloody Fool. . .Blaliful, Blariful. . Kinyumbani zaidi.

Kisha nimekumbuka huwa anasema "kapata kisidenti kwenye mtukari yake"

Kisidenti = a small accident

!!!!

Dah, mmenichekesha sana.

@The Finest, uje usaini mkataba wa ku-revise ile slogan mlotunga na Lizzy, yeye kishasaini mkataba umebaki wewe.
Where hav you been?

Tukutane barabara ya morogoro road.

Barabara ya Morogoro road, mtaa wa "The Finest street"
Nyie hapo juu....:lol:
 
Back
Top Bottom