The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
- Thread starter
- #21
Hivi huwa inakuwa ngumu kusema ni beep....hahaha..nidipu iko siku mtu atasema dripuHalafu kwenye kadamnasi, tena hana wasi wasi.
Birthday - besdei/hepi basdei yake
Hivi huwa inakuwa ngumu kusema ni beep....hahaha..nidipu iko siku mtu atasema dripuHalafu kwenye kadamnasi, tena hana wasi wasi.
Birthday - besdei/hepi basdei yake
Hahahaha!! Ana vituko yule banaa we acha tu...
Weeee Mabagala...:lol::lol:Helmet = Melmenti, mwengine alidiriki kumwambia muuza duka amuuzie omlette.
Omlette, Homuleti
Helmet = Melmenti, mwengine alidiriki kumwambia muuza duka amuuzie omlette.
Omlette, Homuleti
Kiinglish baba, usifanye maskhara!Hivi huwa inakuwa ngumu kusema ni beep....hahaha..nidipu iko siku mtu atasema dripu
dena, yaani muuzaji alibaki anashangaa omlette, hadi mnunuaji alipoigusa kumuonyesha anahitaji niniHa ha ha Mabagala wewe umenichekesha kweli asubuhi hii kha???
Gee njoo mjini uone mambo hadi utabakia...:shock:Mengine mnatuzulia bana
Gee njoo mjini uone mambo hadi utabakia...:shock:
Kisha naskia wewe ukitamka kwa matamshi sahihi, wao ndo wanakukosoa.....
Santa Claus=Sandakalawe
Hahaha! Eti wananidiskasheni...khaa. Kweli ki english kina wenyewe.Kiinglish baba, usifanye maskhara!
Nimekumiss - nimekumisplace
Wananidiskasheni - wananidiscuss...utajiju