Haya mambo pia alijaribu kuyagusia Mkuchika pale alivyoongea na vyombo vya habari na kutishia kuwa serikali itarudi kule kwa Mkapa kwa kujaribu kudhibiti uhuru wa vyombo vya habari.
Kama wananchi hawajisikii huru katika nchi yao wenyewe basi serikali kuu inabidi iwajibishwe kwa hilo. Haiwezekani siku moja tu baada ya Kubenea kuleta story ya Deep Green ndio aanze kupata vitisho hivi.
Hii Deep Green mbona inalindwa hivi? Mbona Kikwete amekuwa kimya kabisa katika suala hili? lazima kuna kitu hapa na ndio maana namuuliza PM Pinda ahakikishe ulinzi wa maisha ya Kubenea maana kuna mambo yako karibu kutoka hapa na watanzania watajua tu ni nini serikali yao inafanya kwa niaba yao.
nimecheka sana na baadhi ya wachangiaji wa hoja kwenye hii mada hadi wengine wakitaka **viongozi wa serikali** wamlinde **mwandishi wa habari** wakati hao viongozi wenyewe wanalindwa na **jeshi la polisi** sasa najua hapa JF wengine ni wenye uelewa mkubwa, inakuwaje kiongozi anayelindwa alinde mwandishi wa habari ? got damn it, jamani fikirieni saa nyingine na sio kutamka tu ili mradi mmeongea, mnaweza kuwa na idea nzuri na kushindwa kuipresent, sasa hao viongozi wakishindwa kumlinda, mtawalaumu hao viongozi ? ni sawa sawa mgonjwa wa ngoma unaenda kupata ushauri nasaha kwa dentist !
fikirieni tena kidogo kwa hapo !
hey, by the way huyu kubenea ni mzima hadi sasa hivi au ? maana naona kimyaaaaaaaaaaa !!
hapo ^ tatizo lako ni kwamba, unataka kuleta mambo ya partisan hapa ukidhani serikali ni ya chama kimoja (angalau ipo madarakani under chama kimoja tawala) lakini kumbuka maendeleo/hasara sio za hicho chama bali ni watz wote kwa ujumla, sasa sijui unataka kufaidika nini kwa kuponda chama haswa pale isipostahili, i simply dont understand what it is that you are trying to achieve, and fortunately naona unapoibua neno SISIEMU nadhani unapata wafuasi wengi kiasi kwamba unadhani una-achieve kitu fulani, lakini kumbuka kwamba, unapoandika uongo chembe moja hata kama zilikuwa kurasa 10 nzima za facts tupu, TRUST ME TUTAONA KURASA ZOTE 10 NI UOZO MTUPU !
get it !
Rafiki zake Lowassa wote macho mekundu kama ya kindi kwa kuvuta bangi ili kujipooza na kujisahaulisha uuaji wao.
Wanao mzunguka Lowassa wengi hawaoni taabu kuua mtu yeyote hata kama ni mama yao mzazi.
Hata maaskofu wanao mzunguka hawaoni taabu kuua ili mradi hawazikosi sadaka na zaka za Lowassa, nasikia siku zoteEL huangusha pochi nene ya kifisadi kwenye matoleo na michango.
Tatizo la kutishia wajenzi wa uwazi ni moja.
Mtishaji husaidia kusambaza taarifa aitoazo mjenzi wa uwazi.
Ni sawa na kufagia zizi la mbuzi na kutupa taka kwenye shamba la mahindi ukitegemea mahindi yatapa tetenasi, unakua umechemsha ile mbaya, mavuno mara dufu.
Pole sana Mkuu Kubenea