Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 613
Mwandishi Saed Kubenea leo ameondoka kuelekea India kwa matibabu ya macho na baadae Sweden ambako atakutana na wataalamu wa kampuni iliyotengeneza mtambo wa kuchapa magazeti alioununua hivi karibuni.
Kubenea alimwagiwa tindikali na kuathiri macho yake na amekua akipata matibabu nchini India.
Kubenea alimwagiwa tindikali na kuathiri macho yake na amekua akipata matibabu nchini India.