Kubenea safarini India na Sweden leo

Halisi

JF-Expert Member
Jan 16, 2007
2,802
613
Mwandishi Saed Kubenea leo ameondoka kuelekea India kwa matibabu ya macho na baadae Sweden ambako atakutana na wataalamu wa kampuni iliyotengeneza mtambo wa kuchapa magazeti alioununua hivi karibuni.

Kubenea alimwagiwa tindikali na kuathiri macho yake na amekua akipata matibabu nchini India.
 
Mwandishi Saed Kubenea leo ameondoka kuelekea India kwa matibabu ya macho na baadae Sweden ambako atakutana na wataalamu wa kampuni iliyotengeneza mtambo wa kuchapa magazeti alioununua hivi karibuni.

Kubenea alimwagiwa tindikali na kuathiri macho yake na amekua akipata matibabu nchini India.

Best wishes Kubenea!
 
Mwandishi Saed Kubenea leo ameondoka kuelekea India kwa matibabu ya macho na baadae Sweden ambako atakutana na wataalamu wa kampuni iliyotengeneza mtambo wa kuchapa magazeti alioununua hivi karibuni.

Kubenea alimwagiwa tindikali na kuathiri macho yake na amekua akipata matibabu nchini India.

Hivi mpaka sasa polisi bado wanafanya uchunguzi wa ni nani alimmwagia Kubenea Tindikali?
 
Mwandishi Saed Kubenea leo ameondoka kuelekea India kwa matibabu ya macho na baadae Sweden ambako atakutana na wataalamu wa kampuni iliyotengeneza mtambo wa kuchapa magazeti alioununua hivi karibuni.

Kubenea alimwagiwa tindikali na kuathiri macho yake na amekua akipata matibabu nchini India.
sAFARI NJEMA SHUJAA WA KWELI
 
Why i feel something is not quite right with this Kubenea na mwanahalisi? especially after magamba thing.
Na hii habari ya mtambo si tuliambiwa amenunua mtambo toka IPP? sasa Sweden inakujaje kwenye hii equation? unless watuambie kuwa mitambo ya ipp iko sweden????

Monduli is not your average fighter!
 
anakoenda ataona speed ya maendeleo yao, akija atupashe awafungue macho watanzania
 
Mwandishi Saed Kubenea leo ameondoka kuelekea India kwa matibabu ya macho na baadae Sweden ambako atakutana na wataalamu wa kampuni iliyotengeneza mtambo wa kuchapa magazeti alioununua hivi karibuni. Katika safari hiyo ameambatana na mapacha wawili EL na RA.

Kubenea alimwagiwa tindikali na kuathiri macho yake na amekua akipata matibabu nchini India.

Duh, mpaka ifike 2015 atakuwa na Radio na Tv
 
Mwandishi Saed Kubenea leo ameondoka kuelekea India kwa matibabu ya macho na baadae Sweden ambako atakutana na wataalamu wa kampuni iliyotengeneza mtambo wa kuchapa magazeti alioununua hivi karibuni.

Kwa hiyo either Mzee wa Rula alidanganywa au alitudanganya...

Wana JF nimelazimika kupost thread mpya kabisa ili niweze kueleza ukweli juu ya thread hii https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...m-yatimia-kubenea-atiwa-mfukoni-hatimaye.html.
Nililazimika kupiga simu gazeti la Mwanahalisi na simu yangu kupokelewa na mtu anayeitwa Yusuph Abudu - Afisa Tawala wa gazeti hilo na kisheria anayo power ya kuisemea kampuni hiyo. Ilibidi nimsomee thread yote na yeye kuanza kunijibu kashfa moja baada ya nyingine.

Kwanza ameanza kwa kukanusha kwamba si Kubenea wala Hali Halisi Publishers Co. Ltd kuwa imetiwa mfukoni na fisadi yoyote licha ya Rostam ambaye ametajwa katika thread hiyo kwa sababu zifuatazo:-

  1. Hakuna mtambo unauzwa 20ml kama alivyodai kamaudoulton. Mitambo ya kuchapisha magazeti ina thamani zaidi ya hiyo!
  2. Hali Halisi ina mitambo yake tayari na imenunua kutoka kampuni ya IPP iliyo chini ya Mengi na tayari wameshalipa DOWN PAYMENT. . Mitambo hiyo ilikuwa inatumika na kampuni ya IPP lakini saizi hawaitumii tena mara baada ya kununua mipya.
.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Duh, mpaka ifike 2015 atakuwa na Radio na Tv
Gamba jipya hiyo post uliyo quote si ile original ya Halisi (post#1) inawezekana umeongeza maneno kwenye red, kama umeongeza ni kosa kubwa sana kwa JF kubadili maneno ya post ya mwingine unaweza kula hata ban, kama ni kweli yafute au umwombe radhi Halisi kama hakukuruhusu kubadili.
quote_icon.png
Originally Posted by Halisi
Mwandishi Saed Kubenea leo ameondoka kuelekea India kwa matibabu ya macho na baadae Sweden ambako atakutana na wataalamu wa kampuni iliyotengeneza mtambo wa kuchapa magazeti alioununua hivi karibuni. Katika safari hiyo ameambatana na mapacha wawili EL na RA.

Kubenea alimwagiwa tindikali na kuathiri macho yake na amekua akipata matibabu nchini India.

Hii ndiyo post original ya Halisi

Mwandishi Saed Kubenea leo ameondoka kuelekea India kwa matibabu ya macho na baadae Sweden ambako atakutana na wataalamu wa kampuni iliyotengeneza mtambo wa kuchapa magazeti alioununua hivi karibuni.

Kubenea alimwagiwa tindikali na kuathiri macho yake na amekua akipata matibabu nchini India.
 
Kwenye vyombo vyetu vya habari tuna tatizo kubwa kuliko tunavyofikiria.Vyombo vya habari vinaweza kuchangia katika kuua Democracy.
 
Gamba jipya hiyo post uliyo quote si ile original ya Halisi (post#1) inawezekana umeongeza maneno kwenye red, kama umeongeza ni kosa kubwa sana kwa JF kubadili maneno ya post ya mwingine unaweza kula hata ban, kama ni kweli yafute au umwombe radhi Halisi kama hakukuruhusu kubadili.


Hii ndiyo post original ya Halisi
Kama kweli kafanya hivyo ni mbaya sana... hata mi nilipoona quote yake, na kwajinsi ninavyomfahamu Halisi, nikadhani kwua ameedit out hiyo sehemu lakini post yake haionyeshi kuwa it has been edited
 
Kwenye vyombo vyetu vya habari tuna tatizo kubwa kuliko tunavyofikiria.Vyombo vya habari vinaweza kuchangia katika kuua Democracy.

Mkuu kuna kitu cha muhimu sana ulitaka kuchangia lakini umesita, changia tuu mkuu, usihofu ban ni kwa post zinazokiuka sheria za JF.

Karibu.
 
Asije ikawa kalipiwa tiketi na lowasa, niliongea na mmoja wa wamiliki wa mwanahalisi akakana lakini akakiri kuwa siku zakaribuni lowasa aliwapigia simu na kuwashukuru kwa jinsi walivyovalia njuga swala la ccj
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Kama kweli kafanya hivyo ni mbaya sana... hata mi nilipoona quote yake, na kwajinsi ninavyomfahamu Halisi, nikadhani kwua ameedit out hiyo sehemu lakini post yake haionyeshi kuwa it has been edited

Mkuu mpita njia heshima mbele,

Hiyo post ni yangu na si yangu 9 Halisi 1.

Respect
 
Pole sana Said, Mungu akutangulie katika safari yako ya matibabu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom