samirnasri
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 1,388
- 213
ndo maana hakupata muda wa kuandika makala hata moja kwenye gazeti la mwanahalisi la wiki hii. Anyway safari njema.
Ushahidi haukupatikana na kesi ilishaondolewa Mahakamani siku nyingi hakuna lolote hao ndio polisi ccmHivi mpaka sasa polisi bado wanafanya uchunguzi wa ni nani alimmwagia Kubenea Tindikali?
Asije ikawa kalipiwa tiketi na lowasa, niliongea na mmoja wa wamiliki wa mwanahalisi akakana lakini akakiri kuwa siku zakaribuni lowasa aliwapigia simu na kuwashukuru kwa jinsi walivyovalia njuga swala la ccj
Mwandishi Saed Kubenea leo ameondoka kuelekea India kwa matibabu ya macho na baadae Sweden ambako atakutana na wataalamu wa kampuni iliyotengeneza mtambo wa kuchapa magazeti alioununua hivi karibuni.
Kubenea alimwagiwa tindikali na kuathiri macho yake na amekua akipata matibabu nchini India.
Why i feel something is not quite right with this Kubenea na mwanahalisi? especially after magamba thing.
Na hii habari ya mtambo si tuliambiwa amenunua mtambo toka IPP? sasa Sweden inakujaje kwenye hii equation? unless watuambie kuwa mitambo ya ipp iko sweden????
Monduli is not your average fighter!
Mitambo ya Kubenea ipo D'Salaam na ni mitambo iliyokuwa inatumika na IPP. Kama huamini nenda HQ yao wapo huru watakueleza kila kitu, ukiona hilo gumu chukua gazeti la MwanaHalisi tafuta namba yoyote ile kisha piga ujitamblishe wewe ni nani unataka nini kuliko kuendeleza uongo na eti eti za mtaaani.
Hakuna mitambo lakini inawezekana kupata ushauri, maelekezo na mambo mengine kuhusu mitambo hiyo. Vipo vitu vingi ambavyo yeye kama anaweza kuona vina tija ya kupita huko kwa hao manufacturer. Huo wenyewe hajamaliza kuulipia kisha mkuu ununue mwingine?Kwa hiyo Sweden anaenda kuangalia mitambo mingine siyo?
Mwandishi Saed Kubenea leo ameondoka kuelekea India kwa matibabu ya macho na baadae Sweden ambako atakutana na wataalamu wa kampuni iliyotengeneza mtambo wa kuchapa magazeti alioununua hivi karibuni.
Kubenea alimwagiwa tindikali na kuathiri macho yake na amekua akipata matibabu nchini India.
Duh, mpaka ifike 2015 atakuwa na Radio na Tv
Kwa hiyo tufanyeje?Mwandishi Saed Kubenea leo ameondoka kuelekea India kwa matibabu ya macho na baadae Sweden ambako atakutana na wataalamu wa kampuni iliyotengeneza mtambo wa kuchapa magazeti alioununua hivi karibuni.
Kubenea alimwagiwa tindikali na kuathiri macho yake na amekua akipata matibabu nchini India.
Duh, mpaka ifike 2015 atakuwa na Radio na Tv
Kwa hiyo tufanyeje?
alipiwe tiket na lowasa poa tu ndo hela yetu,mbona jk alisaidiwa na wazir dume so rizik
kwenye vyombo vyetu vya habari tuna tatizo kubwa kuliko tunavyofikiria.vyombo vya habari vinaweza kuchangia katika kuua democracy.
alipiwe tiket na lowasa poa tu ndo hela yetu,mbona jk alisaidiwa na wazir dume so rizik