Kubenea, njoo uone barabara zako za Sinza

Kubenea, njoo uone barabara zako za Sinza

Kubenea na Mnyika pamoja na Chadema Dar! Ni muhimu sana kutoitegemea serikali kwa barabara za mitaani.Huu ni wakati wa kuwashirikisha wananchi katika hili.Mjiongeze na muwe wabunifu.Tumieni akili kubwa kujiongeza.wakazi wa ubungo na kibamba hawashindwi kuchangia greda la kusawazisha na tingatinga la kusindilia!. Mjiongeze!
wawe wabunfu kabisa na mwingine ni huyu Mdee sioni chochote anachofanya huko Kawe
 
Ndio, atoe za mfuko wa jimbo!
Kwahiyo wewe unafikilia huo mfuko wajimbo nikufika nakuchukua2.kilakitu kina utaratbu wake.nivitu vingapi toka uhuru havjaboleshwa?leo hii una mlaumu asie naserikali,we tanzanian we have 2change.tutaendelea kulaumiana vizazi na vizazi tusipouona ukweli.
 
Muda wa kwenda ofisini kwa mbunge unatoka wapi wewe, yeye afanye kazi watu tuone
Hyo in case ya watu mnalalamika sana bila kujua hatua zilizofikiwa..... maana humu JF kubenea inaweza kuwa hayupo sasa itasaidia nini zaidi ya wananchi kulalamika na kujijibu wenyewe wakati ofisi husika ipo na namba zake za cmu zipo wazi!!!!!
 
sio hivyo wewe mbunge yeye ndo inabidi akapige kelele kule bungeni kuhusiana na masuala yetu yeye ndio mtu wa kusimama kwa niaba ya watu awasilishe mawazo ya watu juu ya ishu fulani lakini sasa huyu Kubenea yeye kila siku ni masuala ya chama, kugombana na serikali kuu kuhusiana na masuala yasio na msingi kabisa mwisho wa siku ni kulimbikiziwa makesi rundo sasa kwa hali kama hii kwa akili tu ya kawaida nchi inapokuwa na viongozi wa namna hii unafikiri tutasonga kuna maendeleo ya kutegemea hapo
Ndugu labda kama umekuwa mgeni kuhusu ishu za barabara
Bara bara zilizo chini ya Tanroads na barabara amabzo zipo chini ya halmashauri
Kwahiyo barabara za sinza nachoamini zipo chini ya halmashauri kwahiyo pesa hutoka katika mifuko ya halmashauri
Sema hivi imbeni wimbo na muheshimiwa diwani ili akaongee katika vikao vyao vya madiwani kuhusu hizo barabara za ndani ya mji
Nachoakijua ndio hicho ila ukisema mbunge ajenge utakuwa unamuonea tu...!!
 
Ukiniambia kuwa ni wabunge wa ccm pekee ndo walikataa kipengele hicho nakataa. Hawa wabunge wetu huwa pamoja maslah yao yanapoguswa. Rejea kuhusu posho zao zilipotaka kuguswa jinsi walivyoshikamana. Yaani huwezi jua mpinzani ni yupi... Gongelea na kauli ya wakili msomi sana kuhusu posho. Pia mbona sijaona mbunge wa upinzani yeyote aliyepeleka hoja binafsi bungeni kuhusu hili? Hawa wote ni mapacha wanaofanana.
Mkuu posho wanafanana?? Mbona silinde aliwasilisha hoja ya kwamba wabunge wa upinzani wakisusia vikao basi wakatwe mishahara yao!!!! Au umeshasahau walivyopigwa biti na Dk tulia!!! Kma posho wanakuwa sawa mbona mnyika alipiga sana kelele kuhusu posho ya BMK kuwa kubwa sana au posho zipi yena unaongelea mkuu..... kumbuka hta ilani ya chadema uchaguzi walidhamiria kufuta seatin allowance wakichukua dola ssa wamekuwa wamoja kivp kwani ccm wanahicho kipengele kwenye ilani yao
 
Kwahiyo wewe unafikilia huo mfuko wajimbo nikufika nakuchukua2.kilakitu kina utaratbu wake.nivitu vingapi toka uhuru havjaboleshwa?leo hii una mlaumu asie naserikali,we tanzanian we have 2change.tutaendelea kulaumiana vizazi na vizazi tusipouona ukweli.
Kwani kazi ya mbunge ni ipi?
 
Hyo in case ya watu mnalalamika sana bila kujua hatua zilizofikiwa..... maana humu JF kubenea inaweza kuwa hayupo sasa itasaidia nini zaidi ya wananchi kulalamika na kujijibu wenyewe wakati ofisi husika ipo na namba zake za cmu zipo wazi!!!!!
Em ngoja nikuulize wewe maana inaonekana una mengi ya kujifunza toka kwangu kati ya wananchi na mbunge nani bosi? Kati ya wananchi na mbunge nani kampa mwenzake kula au kwa namna nyingine ulaji. Nijibu alaf utajua huyu Kubenea na wapinzani wenzake wanakosea wapi
 
Em ngoja nikuulize wewe maana inaonekana una mengi ya kujifunza toka kwangu kati ya wananchi na mbunge nani bosi? Kati ya wananchi na mbunge nani kampa mwenzake kula au kwa namna nyingine ulaji. Nijibu alaf utajua huyu Kubenea na wapinzani wenzake wanakosea wapi
Siwezi kataa kujifunza kutoka kwako i believe i have a lot to learn from u...... lakini hoja hapa ni kwamba kwani hta kubenea akiongelea suala hili kwenye halmashauri maana anaingia kma diwani au akiongelea bungeni kwa njia ya maandishi je wwe kma mwananchi wa kawaida utajuaje??? Si ndio waenda kwenye ofisi zake ama maana hta yeye pia akitaka kuwasiliana na wananchi huwa anafanya mikutano ya nje na ndani ssa humu JF mtu akilalamika itasaidiaje??? Kma shida ni urgent unaenda ofisi za mbunge au unapiga simu au mkuu unaona sawa analalamika anaishia kujibiwa na wananchi ambao hta hawaishi huko sinza!!!
 
Ndugu labda kama umekuwa mgeni kuhusu ishu za barabara
Bara bara zilizo chini ya Tanroads na barabara amabzo zipo chini ya halmashauri
Kwahiyo barabara za sinza nachoamini zipo chini ya halmashauri kwahiyo pesa hutoka katika mifuko ya halmashauri
Sema hivi imbeni wimbo na muheshimiwa diwani ili akaongee katika vikao vyao vya madiwani kuhusu hizo barabara za ndani ya mji
Nachoakijua ndio hicho ila ukisema mbunge ajenge utakuwa unamuonea tu...!!
Jitieni mnajua sana itifaki na sheria upinzani utabomoka huu nyinyi mnabidi mshambulie kila kitu ilihali ni kwa maslahi ya wananchi na ishu ni ya jimboni kwako na kingine ishu ya kukaa vikao na madiwani sisi wananchi tunaweza kumtuma mbunge akafanye hiyo kazi sababu lazima ujue kwamba watu wana ishu nyingi za kufanya sasa sisi wananchi tufanye kazi tuwatafutie kodi alaf tena tusumbuane kwenye vikao na madiwani sasa mbunge yeye ana kazi gani ndio maana mimi nimesema hivi wapinzani wabadilike wawe wabunifu
 
KUISHAURI SERIKALI, KUTUNGA SHERIA NA PIA KUISIMAMIA SERIKAL,SIJUI WEWE UNAJUA KAZI YA MBUNGE NI IP? LABDA YAWEZEKANA UNAJUA ZAID UTUSAIDIE
Je ulishawahi kumsikia kubenea anaishauri serikali kuhusu hizo barabara zinazoongelewa? Vp jana ulimsikia vizuri Mwigulu nchemba jinsi alivyotumia pesa ya mfuko wake wa jimbo?
 
Siwezi kataa kujifunza kutoka kwako i believe i have a lot to learn from u...... lakini hoja hapa ni kwamba kwani hta kubenea akiongelea suala hili kwenye halmashauri maana anaingia kma diwani au akiongelea bungeni kwa njia ya maandishi je wwe kma mwananchi wa kawaida utajuaje??? Si ndio waenda kwenye ofisi zake ama maana hta yeye pia akitaka kuwasiliana na wananchi huwa anafanya mikutano ya nje na ndani ssa humu JF mtu akilalamika itasaidiaje??? Kma shida ni urgent unaenda ofisi za mbunge au unapiga simu au mkuu unaona sawa analalamika anaishia kujibiwa na wananchi ambao hta hawaishi huko sinza!!!
Kwenda ofisini ni sawa na kuleta mada humu JF pia ni sawa
 
Kwenda ofisini ni sawa na kuleta mada humu JF pia ni sawa
Hakuna aliyekataza yeye kuleta mada ila ssa yeye inaonekana anatafuta solution humu humu kitu ambacho hakiwezekani unless kubenea au jacob wanapitia nyuzi za humu ndani......

Ila hoja hapa ni kwamba analalamika tu kuwa barabara ni mbovu ila hajabother kuuliza hatua zinazochukuliwa au kufuatilia at least ajue wamefikia wapi then ndio aje kulalamika sababu mvua imeharibu barabara nyingu dar ssa isiwe lawama kwa mtu moja zaidi angehoji hatua zilizofikiwa wakikaa kimya ndio aje amwage povu humu.... ila sio tatizo linatokea anaanza kulalamika humu anaacha kwenda ofisi husika inakuwa hatumsaidii kabxa
 
Je ulishawahi kumsikia kubenea anaishauri serikali kuhusu hizo barabara zinazoongelewa? Vp jana ulimsikia vizuri Mwigulu nchemba jinsi alivyotumia pesa ya mfuko wake wa jimbo?
Mkuu una uhakika?? Kwani bajeti ya ujenzi ikipitishwa hajachangia hta kwa maandishi ndio ulalamike humu..... mfuko wa jimbo hautoshi kurekebisha barabara hta kidogo zaidi ni kuipush serikali ifanye wajibu wake which i believe kubenea anafanya na ataendelea kufanya maana hta kwenye vikao vya halmashauri ya ubungo aliraise hii issue mara kibao tu ssa nashangaa mnamsulubu humu wakati anaplay his part tyari
 
Kuiambia serikali kwangu kuna shida ya barabara, na serikali itengeneze, maana ndio inayo kusanya kodi, sio kubenea, mwenye pesa ni serikali, mbunge ni lofa tuu, maana hakusanyi kodi
mbona alituahidi kufanya haya kwenye kampeni
 
Kwa mtazamo wangu mbunge ni mwakilishi wa shida zetu na changamoto zetu mtatuaji ni serikali zaidi pale itakaposikia ile kero namaanisha serikali kuu lakini pia pale fungu la kutatulia hiyo changamoto likifika jimboni mbunge anatakiwa kufatilia kujua linaendaje hilo fungu.Kwa maana hiyo mbunge pia tujue anaweza kusema na asitekelezewe na hata akijiongeza kwa wahisani Nje lazima serikali ifahamishwe na ikifahamishwa lazima pia kunaweza tokea lolote alive msikiliza Kitwanga anaeza elewa kitu nasema.Lakni na nyie wabunge hata kma mamlaka yenu iko hivyo ?piteni kwenye Barabara zenu ili wananchi waone na wapate faraja kua mnaona msiadimike kieango tukahisi tumempa jambazi jimbo.
 
kiukweli barabara nyingi nchini hasa Dar kwa sasa ni mbovu sana , hasa baada ya hii mvua ilyonyesha hivi karibuni, barabara nafikiri sio jukumu la mbunge kujenga, mbunge kazi yake ni kuhamasisha na kuhakikisha serikali husika inafanyia kazi kero hiyo, ila kitu kingine hawa watu wanaopewa tenda za kukarabati barabara ni majipu, kila mwaka tunafukia mashimo yale yale, na mvua ikinyesha yanarudi tena na inakuwa dili nyingine, wanafanya chini ya kiwango kwa kuhakikisha kazi hizi zinapatikana kila mwaka, huu ni ufujaji wa kodi za wananchi.
 
Kabla ya Kubenea alikuwepo Mnyika. Hakuna cha maana alichofanya na watu walilalamika sana humu na kuapa kutomchagua tena. Alichofanya alienda gombea jimbo jingine na kumwachia Kubenea, naye hakuna la maana linaloendelea. Hilo jimbo bila CCM hakuna atakayelirekebisha; kubali au kataa.

Sitaki mapovu mie sio ccm ila najua chadema wamebanwa hapo hawawezi furukuta.
Keenja alifanya kazi nzuri sana. Ndio maana wakaamua kuichagua CHADEMA.
 
Je ulishawahi kumsikia kubenea anaishauri serikali kuhusu hizo barabara zinazoongelewa? Vp jana ulimsikia vizuri Mwigulu nchemba jinsi alivyotumia pesa ya mfuko wake wa jimbo?
We umeuliza swali nimekujibu,nami ninahitaji uniambie kazi ya Mbunge uijuayo,kwani hilo hilo Jimbo kabla ya Mnyika na sass Kubenea huko nyuma lilikuwa linaongozwa na Chama gani? miaka takribani 40 mbona hamkuhoji?,miaka 15 mmeanza kuhoji!
 
Back
Top Bottom